BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,732
- 3,508
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
By professional huyo jamaa ni mganga ndo maana anapenda Sana kuingiza mambo yake ya kiganga Sana kwenye mambo mengiHakuna kitu kama hicho na kuimba vizuri nako je? Huyu anafanya branding nzuri tu
Kutokea mwingine atatokea na lazima atokee hata kama itachukua muda mrefu unless other wise bongofleva ife,Sasa hivi amekuwa kama Rais, kila akishuka sehemu lazima mafuriko ya watu yatokee mondi kiukweli anapendwa sana, sijui kama kutatokea celebrity mwingine akawa maarufu kama Mondi hapa Tz.
Kweli mkuu,Nguvu kubwa ya redio kum-promote msanii kimuziki ilikuwa zmani, sku hizi wimbo kama ni mkali unasogea wenyewe tu mtaani hata kama redio DJ atakuwa haupigi hewani. Zile zama za redio DJ kukupangia playlist zimepitwa na wakati. Siku hizi playlist watu wanazo kwenye smartphone zao.
Acha ushamba wewe .. Treni Ina vyoo, mabafu, Sehemu ya kupiga vinywaji na sehemu ya kulala (vitanda ).. vitu vingine muwe mna-googleHivi hili treni la Diamond limeshafika Dodoma? I can imagine tangu jana watu hawajaoga wala kupiga mswaki, yaani wanakunywa tu pombe na kucheza kibao kata. Eew!
Kwanini usimpende tu huyu ninja hata kama ni kwa roho nusuNipooo mafuriko ya kuiba picha za wazungu
Heshima yako mamaKwanini usimpende tu huyu ninja hata kama ni kwa roho nusu
Sent using Jamii Forums mobile app
NENO 💯💯💯Nguvu kubwa ya redio kum-promote msanii kimuziki ilikuwa zmani, sku hizi wimbo kama ni mkali unasogea wenyewe tu mtaani hata kama redio DJ atakuwa haupigi hewani. Zile zama za redio DJ kukupangia playlist zimepitwa na wakati. Siku hizi playlist watu wanazo kwenye smartphone zao.