10 years of Diamond Platnumz

Next story...the rise and fall...coming soon!
 
Ndivyo tulivyo wabongo mkuu. Huo wote wivu. Mtu akifanya vizuri tumsapot na kumpongeza. Wapo wachawi wanaosubiri kwa hamu kubwa anguko la Diamond

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi namuwazia mtoto wa tanasha jamani. Roho inaniuma kweli kweli
Hivi hili treni la Diamond limeshafika Dodoma? I can imagine tangu jana watu hawajaoga wala kupiga mswaki, yaani wanakunywa tu pombe na kucheza kibao kata. Eew!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…