10 za maangamizi East African Radio ulimkubali sana

10 za maangamizi East African Radio ulimkubali sana

Nyenza mc
Nchama the best
Boshoo ninja
Mbeya boy chuma(alizingua kiaina lugha ya matusi ilitawala sana)
Dizasta Vina
Note:sio freestyle kwa dakika 10 ila uchane kadri unavyoweza kwa dakika 10, aliyefanya freestyle kweli ni Nchama peke yake wengine walikua wanachana nyimbo ambazo wameziandika ila kutokana na kutosikika kwao unaweza dhani ni freestyle, mfano Dizasta vina alichana ngoma ya kanisa, wakati ni nyimbo ya kitambo tu na watu wengi walidhani ni freestle.Ila hongera kwa hao watu maana kuchana dakika 10 sio kazi ndogo, ukitaka kujua hilo tafuta dakika 10 za Young D maana aliboa mpaka basi akaomba tena mwenyewe arudi, hapo akaja kajipanga lkn wapi akadondokea pua raia walimaind sana MB zao[emoji16][emoji16][emoji16]
Hiyo siku ya young d nilibahatika kuisikia, alichemka hata mimi niliona, japo si mtaalam wa mziki
 
Coco beach siwezi kwenda kuna papa
Nikiwa bar mimi ndio boss yule mupe, yule muluke/
Nyie matozi mmepandisha bei ndala nyeupe?/

Eti bongo bahati mbaya halafu unavaa unapendeza/
Bongo kama ulaya uchawi uwe na fedha/
 
Braza big up kweli mziki unaujua... Maoni yako ndio yangu...
Nyenza anajua saana na huyo mbeya boy chuma..

Hapo muongeze dogo maarifa tu.

Yuile nyenza kwanza ni mtulivu saana..
"Maslah ya mlalaji huwa ni kukung'uta jamvi"
Yaah kweli mkuu maarifa anajua sema.. He's lyrical genius... Anajua Sana kuchora Tenzi zake Ila Ana kasoro moja ambayo Kama akifanyia kazi atakuwa bonge la rapa ..
 
Kuna kipindi E.Africa Radio kumi za maangamizi,ni free style kwa dk 10.
Unaweza kusema hip hop au freeystyle ipo underground siyo kwa hawa wasanii waliotoka .Clips za hiyo kipindi vipo YouTube .Hii ni list yangu ya waliotisha.
1.Cado Kitendo.
2.Hidary Scoda
3.Chid Benz
4.Boshoo Ninja
5.Maarifa The Big Thinker
Kama umefuatilia hiki kipindi sijui Nani umemkubali
mbeya boy chuma dizasta na omg (lunya)
 
Umeangalia selementally na ?
Yaah kweli mkuu maarifa anajua sema.. He's lyrical genius... Anajua Sana kuchora Tenzi zake Ila Ana kasoro moja ambayo Kama akifanyia kazi atakuwa bonge la rapa ..
 
"Dizasta vina ni kina JOH sabini , so WAKAZI wa vitongoji kadhaa mkija njoo MAKINI"
 
Nikiwa bar mimi ndio boss yule mupe, yule muluke/
Nyie matozi mmepandisha bei ndala nyeupe?/

Eti bongo bahati mbaya halafu unavaa unapendeza/
Bongo kama ulaya uchawi uwe na fedha/
Matozi wamepandisha bei ndala nyeupe[emoji3] [emoji3]
 
Mademu wanaangalia pesa hawaangalii bamia au muwa
Nikiwa bar mimi ndio boss yule mupe, yule muluke/
Nyie matozi mmepandisha bei ndala nyeupe?/

Eti bongo bahati mbaya halafu unavaa unapendeza/
Bongo kama ulaya uchawi uwe na fedha/
 
Back
Top Bottom