Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bishoo:Boshoo anakuambia
Kicheche unayenitaka njoo/
Mimba ntakupa ila pesa hulambi ng'o/
Wasanii wakubwa waliofanya vizuri ni chid Benz tu
Yule jamaa weka mbali na watoto, Cado ni balaa jingine kabisa. Bahati mbaya ndio hivi watu hawamfahamu. Na raha ya rap ni freestyle sasa hao wengine wanachana nyimbo zao ambazo wala hazivutii kuzisikiliza kwenye beats tofauti.Mkuu nilichoona watu humu hawamjui cado Kitengo,wanaenda na nyimbo wamezitunga ,hao wote Kwa freestyle wanakaaa chini Kwa Cado kitengo,angalia tu freestyle battle zake YouTube hatungi
Mbeya boy chumaaaa alifunika mpaka leo cjaona kama yy
RAF MC,Chalii ya Ara aliua kinyama na flow zake za usinishike,,Kwangu ndo moja,,then Chuma Mbeya boy
NYENZA Mc aliua mno...hakuna cha tuendelee ama tusiendelee, mwanzo mwisho ni mawe tu
Sent using Jamii Forums mobile app