10 za maangamizi East African Radio ulimkubali sana

Mbeya Boy chuma, alikimbiza.

Chiini, chini chini chini kabisa, the guy aliua.
 
Mun
Mbeya Boy chuma, alikimbiza.

Chiini, chini chini chini kabisa, the guy aliua.
Mungu yupo juu shetani yupo chini,mwanafunzi akizingua kamata chini
 
Mkuu wakazi ni fake sana
Tilia mkazo mpaka jamaa akuelewe,

asipokuelewa itathibitisha kua wakazi ni wack sana kiasi kwamba hata ubovu wake hauelezeki na imekua ni ngumu kuelezea mpaka mwingine akaelewa.
 
Eyoo Njoo uone X,Nasema Njoo Uone X Nyumba inabomolewa huko. -CHUMA MBEYA BOY.
 

Hebu sikiliza vema mwanzo utajua ukweli wa kanisa
 

Hebu sikiliza vema mwanzo utajua ukweli wa kanisa
Kiukweli ngoma ya kanisa iko poa sana ila miipuko wake haukua mkubwa sana kama mbeya boy, japokua ngoma zake alizoperfom ukiziskiliza hazitoboi kwa hii ngoma ya dizasta
 
Walioharibu kwangu wa kwanza NGOSHA sijui alichana nini F.....k
 
Kiukweli ngoma ya kanisa iko poa sana ila miipuko wake haukua mkubwa sana kama mbeya boy, japokua ngoma zake alizoperfom ukiziskiliza hazitoboi kwa hii ngoma ya dizasta
Kanisa ni ngoma kali sana ila beat mbovu mno.... Sasa dizasta katoa hii walau watu wataanza kumuelewa kidogo NDOANO.
 
ma mc nyie mkaze msiwe vipyere,
ma natunga nyie mnameza mwaona ryeryere,
nondo chuma nondo msela nondo misyere,
dada zeni hawaishi shobo "kado waryerye".

KADO KITENGO SIYO POUWA
 
Mkuu nilichoona watu humu hawamjui cado Kitengo,wanaenda na nyimbo wamezitunga ,hao wote Kwa freestyle wanakaaa chini Kwa Cado kitengo,angalia tu freestyle battle zake YouTube hatungi
ma mc nyie mkaze msiwe vipyere,
ma natunga nyie mnameza mwaona ryeryere,
nondo chuma nondo msela nondo misyere,
dada zeni hawaishi shobo "kado waryerye".

KADO KITENGO SIYO POUWA
 
Mkuu nilichoona watu humu hawamjui cado Kitengo,wanaenda na nyimbo wamezitunga ,hao wote Kwa freestyle wanakaaa chini Kwa Cado kitengo,angalia tu freestyle battle zake YouTube hatungi
 
Mkuu nilichoona watu humu hawamjui cado Kitengo,wanaenda na nyimbo wamezitunga ,hao wote Kwa freestyle wanakaaa chini Kwa Cado kitengo,angalia tu freestyle battle zake YouTube hatungi
kiufupi mr nijua freestyle yake moja tu iliniacha hoi.hiyo kachana kila aspect ya maisha

kikubwa napenda ile intro yake. "Ayeeeeee sema ayeeee masela ayeeeee"
 
Angalia Kwanza hiyo
kiufupi mr nijua freestyle yake moja tu iliniacha hoi.hiyo kachana kila aspect ya maisha

kikubwa napenda ile intro yake. "Ayeeeeee sema ayeeee masela ayeeeee"
 
Kasoro gani mkuu tumtafute tumchane
Yaah kweli mkuu maarifa anajua sema.. He's lyrical genius... Anajua Sana kuchora Tenzi zake Ila Ana kasoro moja ambayo Kama akifanyia kazi atakuwa bonge la rapa ..
 
Kanisa ni ngoma kali sana ila beat mbovu mno.... Sasa dizasta katoa hii walau watu wataanza kumuelewa kidogo NDOANO.
Hii ndoano nilipost na uzi juzi nimeweka lyrics zake humo,,jamaa katisha sana kaimba kwa emotions kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…