1001 Inventions Muslim Heritage Exhibition

1001 Inventions Muslim Heritage Exhibition

 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:


 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:


 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
mtaendelea kutawaliwa kimawazo na udini wa mambo ya kiislam na kikirstu .

badala ya kufuatilia inventions walizofanya mababu zetu , kabila lako kwenye mambo ay teknolojia sayasi na chemia unapigia upatu uvumbuzi wa ten kwa tittle ya dini.

Alafu kuna watu wanajiona leo wako huru. kumbe ukoloni wa kidini umeaachia sumu kubwa tu

Peleka kwenye dini kule

Kwanza clip ya kwanza tu inasema This film is for personal use only and must not be exhibted publicly, broadcast or reproduced .
 
mtaendelea kutawaliwa kimawazo na udini wa mambo ya kiislam na kikirstu .

badala ya kufuatilia inventions walizofanya mababu zetu , kabila lako kwenye mambo ay teknolojia sayasi na chemia unapigia upatu uvumbuzi wa ten kwa tittle ya dini.

Alafu kuna watu wanajiona leo wako huru. kumbe ukoloni wa kidini umeaachia sumu kubwa tu

Peleka kwenye dini kule
Nakubaliana na maneno ya mwanafalsafa mmoja, alisema kuwa "Mtu mwenye chuki ndani ya nafsi yake, umpelekea kuzeeka upesi kabla ya wakati wake" Nami naziona dalili hapa.
 
Nakubaliana na maneno ya mwanafalsafa mmoja, alisema kuwa "Mtu mwenye chuki ndani ya nafsi yake, umpelekea kuzeeka upesi kabla ya wakati wake" Nami naziona dalili hapa.

Mwanafaslfasa mmoja ndo nani hapa uko kwenye jukwaa la elimu sio siasa. ongea kielimu elimu mtaje huyo mwanafalsafa na ikiwezekana kitabu chake.

eti mwanafasafa mmoja.
 
Mwanafaslfasa mmoja ndo nani hapa uko kwenye jukwaa la elimu sio siasa. ongea kielimu elimu mtaje huyo mwanafalsafa na ikiwezekana kitabu chake.

eti mwanafasafa mmoja.
Pole kwa kuzoea kutafuniwa!
 
Aksante sana nitajie basi huyo mwanafalsafa au kitabu chake. nitafurahi kuisoma kitabu chacke
Umesoma kichwa cha thread... Kinahusu nini?

Kama huna cha kuchangia si lazima uwepo hapa mkuu...!
 
Umesoma kichwa cha thread... Kinahusu nini?

Kama huna cha kuchangia si lazima uwepo hapa mkuu...!


sio kichwa cha thread tu hata video ulioweka nimetazama ndio maana nikakwambia clip ya kwanza wanasema hivi .


This film is for personal use only and must not be exhibted publicly, broadcast or reproduced .

Unaelewa maana ya hiyo sentesi
 
sio kichwa cha thread tu hata video ulioweka nimetazama ndio maana nikakwambia clip ya kwanza wanasema hivi .[/COLOR]



Unaelewa maana ya hiyo sentesi
Naelewa sana kuliko unavyofikiria...!

Nashangaa ni vipi hizo clip wameziweka youtube... Insahangaza sana kwenda kinyume na walicho kiandika kama angalizo!

Lakini nawe si umefaidika kwa kiasi fulani?
 
Back
Top Bottom