13 Problems with Pork, will make you shun the meat

mkuu hata kwenye maji utaambiwa kuna bacterias
 
Hata ma-vegetarian nao hawako salama kivile. Pesticides residue, genetically modified seeds, contaminated water/soil... Ujanja ni kula na kunywa ukipendacho in moderation na ikiwezekana badili badili. Vinginevyo utashindwa kuishi hapa duniani kwani karibu kila kitu inaonekana kina madhara. Wenyewe huwa wanasema "Eat well. Exercise. Die anyway!"
 
Yani majina matamu matamu tu pork chops,pork ribs,pork fillet,kitmoto,ham,becon hapo huchomoki,
Kama jana nikaenda katika kimkahawa fulani hivi amaizing ambapo unachagua ingredients mwenyewe. Basi ngosha pembeni barbecued pork ribs, kwenye salad bacon ya kutosha halafu nikasukumizia na vishoti kadhaa vya Grand Manier. I slept like a baby. Huyu mnyama analeta tulizo na ridhiko la moyo safi sana. Nyie wakandiaji mshindwe na mlegee!
 
Umetisha Mkuu.. Hahaahaaa...
daah raha jipe mwenyewe usisubiri kupewa..
 

Haki ya nani watu kweli mnaonesha sympathy kwenye huyu mdudu
 
Mtoa mada hapa nahisi unajisumbua tuu kwa hawa bin adam. In short huyu myama kadri anavyokuwa anasemewa ndo anavyong'aa kama tanzanite hata Mimi mwenyewe aisee siweziacha hii makitu aisee. Weekend lazima hii makitu iusike
 
Kitimoto ni mtamu jamani, utamu wake hauna mfano.....achana na vitu vinavoanziwa na K!!!!
 
Kitimoto ni mtamu jamani, utamu wake hauna mfano.....achana na vitu vinavoanziwa na K!!!!
[emoji38] [emoji38] [emoji12] vp ushakula ya kuchoma afu ukashushia na tubia tuwili tutatu twa bariiidi. Usiombe ukutwe na bwana pork mwenyewe hadi atajionea wivu[emoji39] [emoji39]
 
[emoji38] [emoji38] [emoji12] vp ushakula ya kuchoma afu ukashushia na tubia tuwili tutatu twa bariiidi. Usiombe ukutwe na bwana pork mwenyewe hadi atajionea wivu[emoji39] [emoji39]
Unanitoa mate.....
Yani huyu kitimoto huyu sijui ni yale mapepo aliyotupiwa ndo yanazidi kumfanya awe mtamu
 
Wakristo na waislamu vitabu vyao vimekataza kula pork. Lakini sisi binadamu ndio hivyo lazima tufanye ubinadamu wetu. Ukifanya research utaona maradhi mengi yaliyotokana na huyu mdudu na watu waliopoteza maisha kwa hayo maradhi. Mtoa mada nadhani ujumbe umefika, ila sio rahisi mtu aliezoea kula huyu mdudu akaacha tu. Labda wale wanaojali sanaaaa afya zao. Kuna msemo unasema "ukila nguruwe utakua kama nguruwe"
 

Kula like mkuuu
 
Nakiri, nipo tayari kuwa nguruwe jike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…