Acheni upuuzi JPM alikuwa na akili tofauti na hawa vilaza!Believe me,hii mipango yote ya kodi na bajeti nzima ya 2021 JPM aliacha ikiwa imekamilika.
Kama bajeti hii ni nzuri credit ziende kwa JPM. Kama ni mbaya lawama ziende kwake pia.
Hahaha..hapo ndipo napogundua ni kweli una vyeti feki..aliekwambia VRF imeondolewa ni nani? Unaskiliza maneno ya jukwaani mkuuu..ebu nenda pale bodi dai statement ya malipo yako..utapewa za uso asubuh kweupee..tulia kijana unyolewee na samia..na huu n mwanzo..We mpuuzi kweli, ningekuwa na vyeti feki nisingekuwa nafurahi kuondolewa kwa VRF, nisingekuwa naongelea maswala ya kupandishwa madaraja wala uhamisho wa watumishi. Unajifanya unanifahamu lakini hunifahamu hata huyo Bungara simjui
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Hahahaha...mkuu unanichekeshaa kwel kwel..waziri wa fedha alikuwa mpango wakat wa jpm..sasa yule madeluu..unajichekeshaa tu..ila ukwel unaoo..jpm was the genius bro..hawezi andaa budget ya kijinga kiasi hichi kuumiza watu wake aliokuwa anawapigania kutwa kuchaa..neverBelieve me,hii mipango yote ya kodi na bajeti nzima ya 2021 JPM aliacha ikiwa imekamilika.
Kama bajeti hii ni nzuri credit ziende kwa JPM. Kama ni mbaya lawama ziende kwake pia.
Huyo jamaa n shoga, mara apige story za kiume mara tena aseme anakojozwaMtu mwenyewe wewe una faida gani sasa si bora umfuate Lisu tu,? View attachment 1854093
Seng3 sana huyo mzee bwegeSio Zungu kweli?π€£π€£
50k ni 50000 na 1k ni 1000Hapo kwenye 50k na 1k. Unamaanisha nini au shilingi ngapi?
Wewe ni pimbi tu ndo maana unajiita sexless na ID yako fake.Mm sitokaa nimkumbuke mshamba, mento yule (according to Diallo), mtekaji, mtukanaji, muuaji mkubwa yule. Never on the Earth!
Mateso gani wewe mjinga. Watu wapo na wataendelea kuwepo, Nyinyi ndo lile kundi la vyeti fake na watu wenye mguu ya supoku mlio na ukabila.Huyu jamaa hajitambui, hajui mateso mangapi watanzania tumepitia kipindi cha Magufuli, haona hata akina Ndugai, Gwajima nk wanavyokula matapishi yao kwa sasa, walikuwa wanalinda matumbo yao kwa kumuogopa Magufuli.
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Hakuna anachojua huyo.
Punguani wa bavicha.
Vyeti feki..Mm sitokaa nimkumbuke mshamba, mento yule (according to Diallo), mtekaji, mtukanaji, muuaji mkubwa yule. Never on the Earth!
Kama sio ww basi kuna ndugu yak alikua mtumbuliwa.."xo jamaa anapata ugari kwa taaab"Wacha ujinga wewe!!! Kwa hiyo muuaji nimshangilie kwa sababu hakuua kwenye ukoo wangu!? Akili za wapi hizi!? π³π³
Si ajabu hizi tozo zitakua za milele hata baada ya kukamilisha hizo mega project!!Watu wengi wanashindwa kujua kwa nini kodi zimepanda. Fuatana nami katika hili;
Kipindi cha magufuli alijidhatiti katika ukusanyaji wa kodi, wafanyabiashara wakubwa waliokuwa wanalipa kodi isiyo sahihi walilazimishwa kulipa kodi sahihi na hii ikapelekea malalamiko haswaa kwa hao wakubwa kwamba wanaonewa na kudhulumiwa lakin jpm hakuwasikiliza walilipa kodi kwa lazima na wengine waliokuwa jeur walilazimishwaa kufungiwa biashara zao. Jambo la pili, magu kwa kiasi kikubwa sana alidhibiti wizi serikalini japo kwa wateule wachache waliendelea kuzipiga kwa akil ila kwa kiwango kikubwa sana alidhibiti mana zaman wakat wa jk hata mkuu wa idara tu alikuwa anaweza kukwapua billions of money. Sasa bas kwa kuwa hela zilikuwa nyingi kipind cha jpm ilipelekea kuanzishwa kwa miradi mikubwa ya serikal kwa kutumia pesa za ndani kwa asilimia kubwa na kias kwa mikopo japo hilo hakulisemea sana. Baada ya jpm kuondoka huku miradi mikubwa ikiwa ndo kwanza inachipua pesa nazo zilihitajika kuiendeleza. Sasa mama alipoingia akaanza na mkwara kwa wakusanya kodi kuhusu kubambikia watu au kuwalazimisha watu walipe kodi stahik huku akiwataka wasiwatishie wafanya biashara wakubwa. Hapo ndo akaharibu mana makusanyo yalishuka kama mwewee, miradi inamwangalia mikopo ni michungu sasa anafanyaje. Option alizonazo mkononi zikawa mbili, either abuni vyanzo vya mapato vingine kufidia gap la kodi kushuka au afuate ushauri wa zungu anaekaa posta ilala kuhusu kugandamiza walala hoi..kubuni vyanzo vingine it will take time and the mega projects will fade away, thus the only option she had was to abide with Zung's deadly and disgusted recommendation.
Hivyo ndo ilivyo tusimlaumu mama hakuwa na jinsi tukomae tu ili miradi mikubwa ikamilike..
Asanteni vijana.
Kama sio ww basi kuna ndugu yak alikua mtumbuliwa.."xo jamaa anapata ugari kwa taaab"
Angekuua na wewe kabisa ili umkumbuke vizuri fala mkubwa.Atakumbukwa kwa mauaji ya kutisha.
Mbeba mabox kwa wazee wa kizungu.ππππππ una ufinyu mkubwa wa akili wewe na umande uliukimbia hata kuandika hujui
π€£π€£π€£π€£π€£ unaandika upuuzi wa xo, ugari, taaab hao ni wadudu gani mpuuzi wewe!?
Mpuuzi WiFi yako,,,kuandika ndo akiliππππππ una ufinyu mkubwa wa akili wewe na umande uliukimbia hata kuandika hujui
π€£π€£π€£π€£π€£ unaandika upuuzi wa xo, ugari, taaab hao ni wadudu gani mpuuzi wewe!?
Mpuuzi WiFi yako,,,kuandika ndo akili