15 November ...snowhite alizaliwa!

15 November ...snowhite alizaliwa!

Hongera saana snowhite..
may god bless you today and everyday..

uzidi kuwa sweet and lovely to everyone
stay blessed
 
Last edited by a moderator:
rafiki na wapendwa wangu!leo ni siku yangu ya kuzaliwa

Namshukuru sana MUUMBA kwa baraka na baraka tele alizonijalia na pumzi anazonijaalia toka nilipozaliwa mpaka sasa

HAKIKA SIFA NA UTUKUFU NI WAKE

Namshukuru sana mama yangu kwa kunizaa na kunilea toka nikiwa tumboni mpaka aliponiacha na kurudi kwa Muumba wake,natamani sana angepata heri ya kuniona nikiwa sasa mama, mke najua na naamini angejivunia sana mimi

HAKIKA NAKUPENDA NA KUKUMBUKA SANA MAMA YANGU

Namshukuru sana baba yangu kwa kunileta duniani na kunilea, yeye amekuwa nguzo yangu na amani yangu mpaka aliponiacha naye kumrudi kwa Muumba wake, naye natamani sana angenishuhudia leo nikiwa ni mwanamke jasiri na shupavu kama alivopenda niwe

HAKIKA I MISS YU daddy,(mwenyewe alikuwa ananiita mama yangu coz nilipewa jina la bibi yangu)

Namshukuru sana mume wangu, amekuwa ni rafiki mpenzi kwa maisha yangu miaka 17 pamoja naye haikuwahi kuwa majuto kwenye maisha yangu!

HAKIKA NAKUPENDA UPEO MAISHA YANGU!(mie humwita NAFSI YANGU MIMI)

Nawashukuru sana watoto wangu, wamekuwa furaha na faraja ya pekee sana kwa maisha yangu wamekuwa zaidi ya watoto wangu, infanct ni mashosti zangu, nawapenda sana na hawajanidissappoint as a mother! I'm very proud of them

HAKIKA NAMASHUKURU MUNGU KWA AJILI YAO

Nawashukuru sana dada zangu,kaka zangu
najua nilivyokuwa mtundu na wa kudeka enzi hizo

MUNGU AWABARIKI SANA KWA KUNIFUNDISHA YOTE!tatizo tu hesabu ndo zilikataa kupanda!

JF friends!
You guys sijui niseme nini kuonyesha kuwa nawapenda sana kila mmoja kwa nafasi na upekee wake FP we unajua ni dada mkubwa, thank you very much for being one gfsonwin weye mwali hata sina maneno ya kukwambia, thank yu very much The Boss we ni big brother si unajua? Ahsante sana kwa kuwa hivyo Ciello wewe ni mamduchu enh? Yap i love you dogo BAK hujawahi kunidisappoint kwenye upande wa miburudiko ahsante brother Boflo ah we mtu sijui nisemeje, jua tu unanipa cheko na bashasha kwa post zako, af nakumbushia ile offer yangu ya massage treat! cacico mke mwenza we wajua vile u remind of those days! SnowBall mtoto wa kiume wa mama yangu thank yu pacha watu8 ahahahahhahhaha ahsante sana kwa mambo yetu yaleeee! Hujawahi kuniangusha si unajua? Kaizer na Asprin mimi proud being ur mwalimu bana lara 1 kino gal, hujawahi kunibore kwa uandishi wako, I like ur style girl!
MJ'r partner shukrani sana kwa kushare nami interest kwenye ushairi Kongosho bi harusi wangu, mimi love you kwa kweli, na ahid ya glambox lazima niitimize Zinduna Madame B , mwaJ na King'asti ndani ya chama letu kubwa nawapenda sana mashosti Mtambuzi mume ya mama ngina wewe lol!ahahahhahhhha love yu sana bana Dark City,HORSE POWER na Mkusa hongera sana kwa mawazo yenu

Well idadi ni kubwa saaaan nashindwa kuimaliza. Wengine woote NAWAPENDA SANA SANA SANA SANA!

happy birthday mamito snowhite
 
Last edited by a moderator:
ahahahhahhahah nilijua tu utaiona!
narudia tena mimi love yu sana!
avatar yako inanifanya nicheke kila siku lol!
Kinachonisikitisha, hiyo kauli yako badala ya moyo wangu kufurahia, kuna lijitu linastuka huku chini. Mi nakasirikaga mimi.....

Sikujua Avatar yangu ni kama Charlie Chaplin kwangu LOL

Heri ya kuzaliwa mwalimu wangu snowhite! Una kila sababu ya kisherekea hii siku. Mi ntakuja na kreti mbili za biya Asprin atabeba konyagi tusherekeeeeeee!

Love u mwalimu! Uishi miaka mia nane!!
Hommie katika hizo kreti mbili usisahau kuwekamo ginesi za kutosha. Hivi unajua mai wifey material cacico kuna limodi lenye roho mbaya kama soksi ya Mugabbe limemlamba ban.

ahsante sana mwanafunzi wangu!
mimi love yu sana jamani,proud being ur mwalimu si wajua!
sema Asprin tu ndo anapiga kelele darasani vinginevyo ah!tushamaliza syllabus siku nyiingi!
akija na hizo nyagi uhakikishe umekuja na fimbo kabisa ili akileta tu fujo!tunatema mate tunamchapa
Mwalimu siku hizi niko chuo kikuu. Nimeacha kukojoa kitandani.
 
Last edited by a moderator:
Kinachonisikitisha, hiyo kauli yako badala ya moyo wangu kufurahia, kuna lijitu linastuka huku chini. Mi nakasirikaga mimi.....

Sikujua Avatar yangu ni kama Charlie Chaplin kwangu LOL
ndo ujue sasa!
Hommie katika hizo kreti mbili usisahau kuwekamo ginesi za kutosha. Hivi unajua mai wifey material cacico kuna limodi lenye roho mbaya kama soksi ya Mugabbe limemlamba ban.


Mwalimu siku hizi niko chuo kikuu. Nimeacha kukojoa kitandani.
ahahahahhaahhah bora ulivokuwa unakojoa kitandani ahahahahahha lolest!
 
Kinachonisikitisha, hiyo kauli yako badala ya moyo wangu kufurahia, kuna lijitu linastuka huku chini. Mi nakasirikaga mimi.....

Sikujua Avatar yangu ni kama Charlie Chaplin kwangu LOL

Hommie katika hizo kreti mbili usisahau kuwekamo ginesi za kutosha. Hivi unajua mai wifey material cacico kuna limodi lenye roho mbaya kama soksi ya Mugabbe limemlamba ban.


Mwalimu siku hizi niko chuo kikuu. Nimeacha kukojoa kitandani.


Mi hapana jua iyo makitu aisee hebu tiririka PM hii ni hatari sana kwa ustawi wetu ujue!
 


109679.gif
 
Last edited by a moderator:

NILIKUMISIJEEEEEEEEEEEEEEEEEE!yani mziki wako ulikosekana bana!
ahsante sana BAK ,ulikuwa wapi?umepotea sana humu!kwema?
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwema kabisa snowhite namshukuru Muumba wetu...nilikuwa kwenye furaha ya ushindi wa BO' lol! hahahahahah!



NILIKUMISIJEEEEEEEEEEEEEEEEEE! yani mziki wako ulikosekana bana!
ahsante sana BAK ,ulikuwa wapi?umepotea sana humu!kwema?
 
Last edited by a moderator:
Naonaje aibu sasa mlongo wangu snowhite? najua dada mkubwa atasamehewa, nilikuwa na sababu ya kutosha kusamehewa my dear.
belatedbday.gif
 
Last edited by a moderator:
rafiki na wapendwa wangu!leo ni siku yangu ya kuzaliwa

Namshukuru sana MUUMBA kwa baraka na baraka tele alizonijalia na pumzi anazonijaalia toka nilipozaliwa mpaka sasa

HAKIKA SIFA NA UTUKUFU NI WAKE

Namshukuru sana mama yangu kwa kunizaa na kunilea toka nikiwa tumboni mpaka aliponiacha na kurudi kwa Muumba wake,natamani sana angepata heri ya kuniona nikiwa sasa mama, mke najua na naamini angejivunia sana mimi

HAKIKA NAKUPENDA NA KUKUMBUKA SANA MAMA YANGU

Namshukuru sana baba yangu kwa kunileta duniani na kunilea, yeye amekuwa nguzo yangu na amani yangu mpaka aliponiacha naye kumrudi kwa Muumba wake, naye natamani sana angenishuhudia leo nikiwa ni mwanamke jasiri na shupavu kama alivopenda niwe

HAKIKA I MISS YU daddy,(mwenyewe alikuwa ananiita mama yangu coz nilipewa jina la bibi yangu)

Namshukuru sana mume wangu, amekuwa ni rafiki mpenzi kwa maisha yangu miaka 17 pamoja naye haikuwahi kuwa majuto kwenye maisha yangu!

HAKIKA NAKUPENDA UPEO MAISHA YANGU!(mie humwita NAFSI YANGU MIMI)

Nawashukuru sana watoto wangu, wamekuwa furaha na faraja ya pekee sana kwa maisha yangu wamekuwa zaidi ya watoto wangu, infanct ni mashosti zangu, nawapenda sana na hawajanidissappoint as a mother! I'm very proud of them

HAKIKA NAMASHUKURU MUNGU KWA AJILI YAO

Nawashukuru sana dada zangu,kaka zangu
najua nilivyokuwa mtundu na wa kudeka enzi hizo

MUNGU AWABARIKI SANA KWA KUNIFUNDISHA YOTE!tatizo tu hesabu ndo zilikataa kupanda!

JF friends!
You guys sijui niseme nini kuonyesha kuwa nawapenda sana kila mmoja kwa nafasi na upekee wake FP we unajua ni dada mkubwa, thank you very much for being one gfsonwin weye mwali hata sina maneno ya kukwambia, thank yu very much The Boss we ni big brother si unajua? Ahsante sana kwa kuwa hivyo Ciello wewe ni mamduchu enh? Yap i love you dogo BAK hujawahi kunidisappoint kwenye upande wa miburudiko ahsante brother Boflo ah we mtu sijui nisemeje, jua tu unanipa cheko na bashasha kwa post zako, af nakumbushia ile offer yangu ya massage treat! cacico mke mwenza we wajua vile u remind of those days! SnowBall mtoto wa kiume wa mama yangu thank yu pacha watu8 ahahahahhahhaha ahsante sana kwa mambo yetu yaleeee! Hujawahi kuniangusha si unajua? Kaizer na Asprin mimi proud being ur mwalimu bana lara 1 kino gal, hujawahi kunibore kwa uandishi wako, I like ur style girl!
MJ'r partner shukrani sana kwa kushare nami interest kwenye ushairi Kongosho bi harusi wangu, mimi love you kwa kweli, na ahid ya glambox lazima niitimize Zinduna Madame B , mwaJ na King'asti ndani ya chama letu kubwa nawapenda sana mashosti Mtambuzi mume ya mama ngina wewe lol!ahahahhahhhha love yu sana bana Dark City,HORSE POWER na Mkusa hongera sana kwa mawazo yenu

Well idadi ni kubwa saaaan nashindwa kuimaliza. Wengine woote NAWAPENDA SANA SANA SANA SANA
ok poa,we ni mwezi gani?ahsante rafiki!
Mie 29 nov
 
Back
Top Bottom