1500 years Old Bible found in Turkey

1500 years Old Bible found in Turkey

Yesu aliomba sana kabwa hajasulubiwa;

Mathew 26: 38 - 39

38 Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.

39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Luke 22: 44
44 Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.

“And Jesus saith, for with God all things are possible.” [Mark 10:27]

Luke 4: 10 - 11
10 kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde; 11 na ya kwamba, Mikononi mwao watakuchukua,Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

Yesu asema hapo Mungu ni muweza wa kila kitu. Na aliomba sana Dua Mungu amuokoe na Mungu naye alimpaisha.


Sasa pia tutazame Plsams 91. Pia yazungumzia Crucifiction. Na yaonyesha kuwa Mungu alimpaisha Yesu kabla ya kuguswa na yesu akashuhudia mtubmwengine badala yake kusulubiwa. Tazama mtiririko wa statements hapo chini;

A. GOD will hear his cries (Psalm 91:15) and will save him (Psalm 91:3).

B. GOD will cover him with His Protection (Psalm 91:4).

C. Christ will then not have any fear in him (Psalm 91:5).

D. Christ will then observe with his own eyes the punishment of the crucified ones (Psalm 91:8).

E. No harm (this includes crucifixion!) or disaster will even come near Christ (Psalm 91:10….this even contradicts him getting beaten up before crucifixion).

F. GOD will send down the Angels to protect him and lift him (Psalm 91:11-12, 14, Isaiah 52:13). Not even his foot will strike the ground from his enemies pushing, grappling and punishment.

G. Christ’s call will be HEARD, and he will be delivered and honored (Psalm 91:15, Isaiah 52:13).

No way would these verses be valid if Christ got crucified.

So in Short according to your Bible Jesus was never Crucified. Crucifiction ni Uzushi tu. Ndio maana tunaiamini hiyo Ancient Bible.
Shida yako wewe unasoma nakala za wanazuoni wa kiislamu wanaoichambua biblia ambao hao maranyingi hutamka maoni yao......Mimi nakushauri soma biblia mwenyewe ukiwa umetulia, uielewe alafu ndo uje kuongea hapa
 
utanimalizia bundle tu, maana unachouliza kiko nje na nilichojibu. umeelewa isivyo maana ume-focus kumtetea aliyekufa akafa kweli kweli hata kama ni kwa kujitoa ufahamu!!
RUDIA KUSOMA BIBLIA MISTARI NILIYOANDIKA HAPO JUU, KWA UELEWA ZAIDI ila kama unamtetea aliyekufa akafa kweli kweli unapoteza na unanipotezea au tunapotezeana muda tu.
SIYO RAHISI SANA KUTETEA UUNGU WA HUYO MTU WAKO ILA KWAKUWA NI DINI UNAIAMINI HIVYO ENDELEA HIVYO ILA YESU KRISTO ANAPENDA HATA WEWE UOKOLEWE UACHE KUABUDU MASHETWAINI(Ndiyo majini sasa) njoo utakaswe kwa damu ya YESU na usamehewe dhambi zako.
RUDIA KUSOMA BIBLIA USISOME VIFUNGU VYA MWALIMU WA MADRASA TU ALIVYOANDAA KUKUDANGANYIA....
Kwahiyo unamaanisha kuwa Yesu Mungu au???

Kaka binaadamu akifa ni amekufa tu. Haijalishi ana uhusiano gani na Mungu. Mtumbe Muhammed(Rehma na Amani zimshukie) ni binaadamu. Kufa ni haki.

Yesu hakufa ndio maana yupo hai na amepaishwa. Na kama angekufa naye asingefufuka. Usiwe kama kipofu na kiziwi. Unasoma Biblia lakini huoni wala husikii kuelewa. Wewe nimekuuliza swali. Lijibu kama wewe unaelewa unachokisoma.
 
Majini hawaogopi Biblia hata kidogo. Majini wanaogopa maneno ya Mungu ambayo hajatiwa mikono na wanaadamu. Majini waogopa sana Quran ndiyo dawa yao.
Hahahaha hahahahaha a hahahahahahaha alafu we jamaa usije ukafikiri mimi Uislamu siujui.....naishi na jamii ya kiislamu na ninashuhudia wanachofanya.....majini ndo kinga yenu hata kwenye Albadili ndo mnayatumia sana hayo mambo.....ishu za kutumia kuran kurushiana majini yapo sana tu......Ila huyo allah wenu nyie ngojeni tu, mwisho wa dunia si utakuja tu
 
Majini hawaogopi Biblia hata kidogo. Majini wanaogopa maneno ya Mungu ambayo hajatiwa mikono na wanaadamu. Majini waogopa sana Quran ndiyo dawa yao.
Mwisho wa dunia YESU KRISTO atakuja na kila jicho litamwona, hata katika Uislamu mnaamini hivyo ryt......YESU KRISTO anakuja mwisho wa dunia kwasababu yeye ndiye mkombozi wa huu ulimwengu hata huyo Muhammad wenu anamsubilia YESU afufuliwe mwisho kwa ajili ya kiama
 
Yesu aliomba sana kabwa hajasulubiwa;

Mathew 26: 38 - 39

38 Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.

39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifulifuli, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke; walakini si kama nitakavyo mimi, bali kama utakavyo wewe.

Luke 22: 44
44 Naye kwa vile alivyokuwa katika dhiki, akazidi sana kuomba; hari yake ikawa kama matone ya damu yakidondoka nchini.

“And Jesus saith, for with God all things are possible.” [Mark 10:27]

Luke 4: 10 - 11
10 kwa maana imeandikwa, Atakuagizia malaika zake wakulinde; 11 na ya kwamba, Mikononi mwao watakuchukua,Usije ukajikwaa mguu wako katika jiwe.

Yesu asema hapo Mungu ni muweza wa kila kitu. Na aliomba sana Dua Mungu amuokoe na Mungu naye alimpaisha.


Sasa pia tutazame Plsams 91. Pia yazungumzia Crucifiction. Na yaonyesha kuwa Mungu alimpaisha Yesu kabla ya kuguswa na yesu akashuhudia mtubmwengine badala yake kusulubiwa. Tazama mtiririko wa statements hapo chini;

A. GOD will hear his cries (Psalm 91:15) and will save him (Psalm 91:3).

B. GOD will cover him with His Protection (Psalm 91:4).

C. Christ will then not have any fear in him (Psalm 91:5).

D. Christ will then observe with his own eyes the punishment of the crucified ones (Psalm 91:8).

E. No harm (this includes crucifixion!) or disaster will even come near Christ (Psalm 91:10….this even contradicts him getting beaten up before crucifixion).

F. GOD will send down the Angels to protect him and lift him (Psalm 91:11-12, 14, Isaiah 52:13). Not even his foot will strike the ground from his enemies pushing, grappling and punishment.

G. Christ’s call will be HEARD, and he will be delivered and honored (Psalm 91:15, Isaiah 52:13).

No way would these verses be valid if Christ got crucified.

So in Short according to your Bible Jesus was never Crucified. Crucifiction ni Uzushi tu. Ndio maana tunaiamini hiyo Ancient Bible.
HIYO BIBLIA ULIYOSOMA NA UNAYOSOMA NI YA KUKIDHI MATAKWA YA DINI YAKO TU, ANGALIA NA USOME BIBLIA ZINAZOTUMIWA NA WAKRISTO TANGU MIAKA NA MIAKA, NA UKASOME TENA ISAYA 53:1-11.
HAYO ULIYOANDIKA NI MAANDIKO ILA HAYANA MAANA HIYO ACHA KUPOTOSHA. KUAGIZIWA MALAIKA NI AHADI YA ULINZI WA MUNGU KWA WOTE WANAOMCHA NA NDIYO MAANA SHETANI ALIPOMJARIBU YESU ALIMWAMBIA 'IMEANDIKWA' ILI AMPOTOSHE YESU KAMA WEWE UNAVYOTAKA KUPOTOSHA WATU WA MUNGU SOMA ZABURI YOTE YA 91 (ITS ALL ABOUT GOD'S PROTECTION FOR THOSE WHO FEAR HIM; NA MIMI NIKIWEMO)
USILETE SUMU ZA MADRASA HAPA, WALA HUWEZI UKAWA MWALIMU WA BIBLIA HAPA FORUMS WEWE SEMEA TU HICHO KITABU CHAKO 'KILICHOANGALIZIA BIBLIA ILI KIWEPO' ILA BIBLIA KAMA BIBLIA INAJITOSHELEZA KWA MAFUNDISHO YA UTAKATIFU WOTE.
 
Ya nini kuhangaika na Biblia iliyo chakachuliwa wakati una mpaka video ya original komedi/sorry bible. Nukuu mistari ya hii biblia yako ya kweli. Au basi onesha mstari wa original bible ulikuwa huu hapa na ukachakachuliwa ukawa hivi. Hebu nitafasirie sababu za hawa waturuki kutokuwaruhusu Roma kuichunguza hiyo original bible? Si unajua sielewe mwenzako.

Na washawasha!
Shida ni kwamba wewe unaleta ushindani wa kitoto wakati mimi nipo katika kukuelimisha. Usiniulize mimi maswali kana kwamba mimi nimeandika hiyo Bible. Kama wewe ungekuwa Kweli mpenda Yesu basi ungelitaka kujua zaidi kuhusu ukweli kati ya hiyo Bible na your current Bible. It is you to search further and find out to know your religion. Mimi nimekupa starting point, now you need to research and work forward. Mimi majibu ninayo. Ninajaribu kukuelezea lakini huelewi. Sasa wewe find out the truth yourself.
 
Jotu, hata hivyo haibadilishi ujumbe. Ujumbe ni ule ule. Huwezi kumtolea fidia nduguyu hata kama tajiri. The concept is the same. You can not sacrifice for your brother.

What about Deuteronomy 24:16??


Sawa tumekuelewa tuambie sababu za yuda kusulubiwa kama zilivyo elezwa kwenye original bible. Hii original bible ina vitabu vingapi?

Na washawasha!
 
Toa hayo majibu basi maana ndio nipo katika hiyo truth finding mission. Sasa mtoto ni mimi au wewe unaeshindwa kutetea ulichokileta mbele ya maelfu ya watu. Unanilazimisha nikuelewe kama haueleweki au sikuelewi, wewe vipi bwana?

Niama ujibu maswali unayo ulizwa au ukubali kuwa your workdone here is zero ndio sufuri huo ndio ukweli mchungu

Na washawasha!



Shida ni kwamba wewe unaleta ushindani wa kitoto wakati mimi nipo katika kukuelimisha. Usiniulize mimi maswali kana kwamba mimi nimeandika hiyo Bible. Kama wewe ungekuwa Kweli mpenda Yesu basi ungelitaka kujua zaidi kuhusu ukweli kati ya hiyo Bible na your current Bible. It is you to search further and find out to know your religion. Mimi nimekupa starting point, now you need to research and work forward. Mimi majibu ninayo. Ninajaribu kukuelezea lakini huelewi. Sasa wewe find out the truth yourself.
 
Mmmmmmmmh mkuuu biblia gani imetamka neno "christ" moja kwa moja kwenye Old testament....hebu nipe hiyo bibble........alafu pia nakukumbusha maswali yangu....naomba mistari ya bibble ya kiebrania iliyoandika jina "Ahmad".....alafu pia nmekujibu kuna YESU KRISTO na ROHO MTAKATIFU
Nani Roho mtakatifu? Ni Yesu?
 
Kwahiyo unamaanisha kuwa Yesu Mungu au???

Kaka binaadamu akifa ni amekufa tu. Haijalishi ana uhusiano gani na Mungu. Mtumbe Muhammed(Rehma na Amani zimshukie) ni binaadamu. Kufa ni haki.

Yesu hakufa ndio maana yupo hai na amepaishwa. Na kama angekufa naye asingefufuka. Usiwe kama kipofu na kiziwi. Unasoma Biblia lakini huoni wala husikii kuelewa. Wewe nimekuuliza swali. Lijibu kama wewe unaelewa unachokisoma.
ENDELEA HIVYO HIVYO, MOTO UNAKUSUBIRI USIPOBADILIKA. MUNGU MFUGA MAJINI MUNGU GANI HUYO?????????/ /MUNGU MFUNDISHA UCHAWI MUNGU GANI HUYO??????? MUNGU WA KUOKOA MPAKA UVAE HIRIZI NA KUFANYA MATAMBIKO NDIYO AKULINDE............UKITAKA MAMBO YANYOOKE HADI UENDE KWA WAGANGA NA WACHAWI WA DINI YAKE, KUPATA WATEJA HADI UFUKIZE UDI,
AKAFIE MBALI KAMA ALIVYOKUFA MTU WAKE HUYO UNAYEMTETEA.
NA YESU NDIYE MUNGU NA TENA NI MWANA WA MUNGU TENA NDIYE ATAMHUKUMU SIKU YA MWISHO HUYO UNAYEMTETEA
 
Unakimbia sana maswali we jamaa, au kila swali huwa unamshirikisha kwanza shehe wako hapo wa karibu
Dah, Wakristo muna vichwa vigumu kweli kuelewa jambo la Imani. You mind is closed. Hakuna swali ulillo uliza ambalo halijajibiwa. Lakini huelewi kila unavyojibiwa.

Au kiingereza shida?
 
Kama una pendekeza tuamini kuwa mohamed alitumwa na Yesu pia unamuumbua mohamedi mfuasi wa kristo (mkristo) alikiuka utume wake na kutangaza mambo aliyoyapenda yeye kwa maslahi yake yaani Ngono na utapeli.
John 16:7 New International Version (NIV)

7 But very truly I tell you, it is for your good that I am going away. Unless I go away, the Advocate will not come to you; but if I go, I will send him to you.

Ask who is the Advocate???

Jesus Prays to Be Glorified

17 After Jesus said this, he looked toward heaven and prayed:

“Father, the hour has come. Glorify your Son, that your Son may glorify you. 2 For you granted him authority over all people that he might give eternal life to all those you have given him. 3 Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent. 4 I have brought you glory on earth by finishing the work you gave me to do.

The above clearly shows that Jesus was only a messager of God. He was sent down for a special purpose and did miracles upon permission of God. And clarify that God is ONE.

Hiyo ni Bible. Sio maneno yangu. Je imani yako na hayo maneno ya Bible yapo sawa??
 
Shida yako wewe unasoma nakala za wanazuoni wa kiislamu wanaoichambua biblia ambao hao maranyingi hutamka maoni yao......Mimi nakushauri soma biblia mwenyewe ukiwa umetulia, uielewe alafu ndo uje kuongea hapa
Shida ni kuwa munakana maneno yakiandikwa ndani ya Biblia kisha munajita Wakristo. Sasa mbona kitabu chenu chenyewe munakikana?

Nimekuuliza unaikubali Deuteronomy 24:16?
Hukunijibu hadi sasa. Au Unakimbia suali?
 
Hahahaha hahahahaha a hahahahahahaha alafu we jamaa usije ukafikiri mimi Uislamu siujui.....naishi na jamii ya kiislamu na ninashuhudia wanachofanya.....majini ndo kinga yenu hata kwenye Albadili ndo mnayatumia sana hayo mambo.....ishu za kutumia kuran kurushiana majini yapo sana tu......Ila huyo allah wenu nyie ngojeni tu, mwisho wa dunia si utakuja tu
Huo mwisho wa Dunia ukifika na wewe upo kwenye hali hii basi kaka utajuta juto la firauni.

Nimekuuliza kuwa Kusulubiwa kwa Yesu inamaana wakristo wote peponi hata kama ukifanya dhambi??? Hebu nijibu kidogo nami nifurahi. Maswali yangu yote hujibu. Typical Christians.
 
Mwisho wa dunia YESU KRISTO atakuja na kila jicho litamwona, hata katika Uislamu mnaamini hivyo ryt......YESU KRISTO anakuja mwisho wa dunia kwasababu yeye ndiye mkombozi wa huu ulimwengu hata huyo Muhammad wenu anamsubilia YESU afufuliwe mwisho kwa ajili ya kiama
Wewe kweli Sifuri. Siku ya mwisho unamaanisha nini?? Hapi katika maelezo yako umechanganya.

Yesu atakuja siku za mwisho wa ulimwengu. Mtume Muhammed ameshatangulia mbele ya haki, yeye hamsubiri Yesu. Wataomuona Yesu ni watu wataokuwa hai wakati huo. Unajua Yesu anakuja kufanini??
 
Sasa pia tutazame Plsams 91. Pia yazungumzia Crucifiction. Na yaonyesha kuwa Mungu alimpaisha Yesu kabla ya kuguswa na yesu akashuhudia mtubmwengine badala yake kusulubiwa. Tazama mtiririko wa statements hapo chini;

A. GOD will hear his cries (Psalm 91:15) and will save him (Psalm 91:3).

B. GOD will cover him with His Protection (Psalm 91:4).

C. Christ will then not have any fear in him (Psal

No way would these verses be valid if Christ got crucified.

So in Short according to your Bible Jesus was never Crucified. Crucifiction ni Uzushi tu. Ndio maana tunaiamini hiyo Ancient Bible.

It seems you have a problem of decontectualization. Umerudia kosa lile lile la kotozingatia mktadha. Zab 91 ni ulinzi wa Mungu kwa waja wake sio specific kwa Yesu. Do not try to insert your own idea which is not there. You should interpret the Bible literary and figuratively according to its context
 
HIYO BIBLIA ULIYOSOMA NA UNAYOSOMA NI YA KUKIDHI MATAKWA YA DINI YAKO TU, ANGALIA NA USOME BIBLIA ZINAZOTUMIWA NA WAKRISTO TANGU MIAKA NA MIAKA, NA UKASOME TENA ISAYA 53:1-11.
HAYO ULIYOANDIKA NI MAANDIKO ILA HAYANA MAANA HIYO ACHA KUPOTOSHA. KUAGIZIWA MALAIKA NI AHADI YA ULINZI WA MUNGU KWA WOTE WANAOMCHA NA NDIYO MAANA SHETANI ALIPOMJARIBU YESU ALIMWAMBIA 'IMEANDIKWA' ILI AMPOTOSHE YESU KAMA WEWE UNAVYOTAKA KUPOTOSHA WATU WA MUNGU SOMA ZABURI YOTE YA 91 (ITS ALL ABOUT GOD'S PROTECTION FOR THOSE WHO FEAR HIM; NA MIMI NIKIWEMO)
USILETE SUMU ZA MADRASA HAPA, WALA HUWEZI UKAWA MWALIMU WA BIBLIA HAPA FORUMS WEWE SEMEA TU HICHO KITABU CHAKO 'KILICHOANGALIZIA BIBLIA ILI KIWEPO' ILA BIBLIA KAMA BIBLIA INAJITOSHELEZA KWA MAFUNDISHO YA UTAKATIFU WOTE.
Unasoma lakini hupati ujumbe. Kama Mungu amekwambia kuwa atamlinda Yesu na chochote kile iweje ashidwe kumlinda na Crucifiction??? Hiyo ilikuwa ndio CONCEPT ya wewe kuipokea na utafakari. Nyinyi munasoma Biblia lakini hamuelewi.
 
Sawa tumekuelewa tuambie sababu za yuda kusulubiwa kama zilivyo elezwa kwenye original bible. Hii original bible ina vitabu vingapi?

Na washawasha!
Sijui inavitabu vingapi. Mimi nimekuanzishia. Wewe ni wajibu wako ufuatikie dini yako ujue ukweli. Usiniulize mimi kana kwamba mimi ndiye nilichokiandika. Nyinyi munataka mutafuniwe, mukitafuniwa munashindwa kumeza. Sasa ni bora mufuatilie imani yenu mupate kujua ukweli.
 
Toa hayo majibu basi maana ndio nipo katika hiyo truth finding mission. Sasa mtoto ni mimi au wewe unaeshindwa kutetea ulichokileta mbele ya maelfu ya watu. Unanilazimisha nikuelewe kama haueleweki au sikuelewi, wewe vipi bwana?

Niama ujibu maswali unayo ulizwa au ukubali kuwa your workdone here is zero ndio sufuri huo ndio ukweli mchungu

Na washawasha!
Nini swali lako kaka? Manake naulizwa maswali mengi humu ndani. Hata sikumbuki nani kauliza nini. Nikumbushie swali.
 
Back
Top Bottom