Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 850
Ni vizuri uwe kimya kama walivyokuwa Mapabdri wenu. Nyinyi Biblia munaibeba kama mzigo tu lakini hamuisomi wala hamuijui. Tafakari kaka, Dooms day is approaching. Jesus won't save you and no one can.
Tulizana shusha munkari. Hata hivyo hii topic umeileta wewe. Sasa kubali kusikia na usiyo penda kuyasikia. Na ulitakiwa ujue hilo kabla ya kuja na huu uzi hapa.
Na washawasha!