1500 years Old Bible found in Turkey

1500 years Old Bible found in Turkey

Nimekupa mifano ya watu waliopitia mateso ambayo unayaita wewe mitihani. Nini sifa ya mtihani na adhabu. Nini kusudi la mtihani na adhabu? Kwanini unasema kwa mjibu wangu Yesu ameadhibiwa? Nimesema popote? wala hakuna fungu lolote katika Biblia linalosema Yesu ameadhibiwa. Unaweza kuonyesha kama lipo.

Unaonekana unadonoa donoa ama umekaririshwa.
Sasa hapo ndipo munavyojichanganya. Kwahiyo hiyo Kusulubiwa kwa Yesu munayoilazimisha Sio ADHABU??? Ilikuwa nini kama Sio Adhabu?? Watu gani walikuwa wakiadhibishwa kwa Crucifiction?? Watu ambayo wanelaaniwa na Mungu. Hiyo Kusulubiwa ni ADHABU.

Nini maana ya Mitihani. Mungu anawapa challenge(Mitihani) binaadamu wote. Hata kama ni Mtume lakini kwa kuwa ni Binaadamu basi hatakuwa exception juu ya challenges atakazo pewa na Mungu.

Hata wewe na Mimi tuna challenges nyingi ambazo Mungu anatupa in our everyday life. Kwa kuwa huna imani ya kweli ni vigumu kuelewa hivi vitu. Huko kanisani hamufundishwi chochote kuhusu imani. Munafundishwa kumuomba Mungu kwa mambo ya Dunia tu.
 
ROHO MTAKATIFU ni ROHO na sio nyama ya mwili yaani ipo kwenye Ulimwengu wa kiroho
Inamaana Yesu aliposema Bila ya Yeye kuondoka huyo ROHO mtakatifu hatokuja alikuwa anamaanisha nini??
 
Hahahahahahaha wewe utanipa habari za Issa wenu wa Quran ambae hata simtambui
Sema tu sijui. Issa ni Mtume wetu mpendwa. Nyinyi munamdhalilisha kwa kutokuwa na uwezo wa kuelewa. Unajua kuwa Yesu akizungumza akiwa mtoto Mchanga?? Hiyo Bible haikuandikwa.
 
Jesus and Barabbas
Pilate gave the Jews a choice between Jesus and Barabbas. But did you know that Barabbas' first name was also Jesus? This detail isn't mentioned in the King James version, but is in the New Revised Standard Version. While it's an interesting coincidence that Barabbas's first name was Jesus, wait till you hear the rest. First, here's the entire story, as written in the New Revised Standard Version.
Matthew 27:11-26(New Revised Standard)Now Jesus stood before the governor; and the governor asked him,Are you the King of the Jews?Jesus said,You say so.But when he was accused by the chief priests and elders, he did not answer. Then Pilate said to him,Do you not hear how many accusations they make against you?But he gave him no answer, not even to a single charge, so that the governor was greatly amazed. Now at the festival the governor was accustomed to release a prisoner for the crowd, anyone whom they wanted. At that time they had a notorious prisoner, called Jesus Barabbas. So after they had gathered, Pilate said to them,Whom do you want me to release for you, Jesus Barabbas or Jesus who is called the Messiah?For he realized that it was out of jealousy that they had handed him over. While he was sitting on the judgment seat, his wife sent word to him,Have nothing to do with that innocent man, for today I have suffered a great deal because of a dream about him.Now the chief priests and the elders persuaded the crowds to ask for Barabbas and to have Jesus killed. The governor again said to them,Which of the two do you want me to release for you?And they said,Barabbas.Pilate said to them,Then what should I do with Jesus who is called the Messiah?All of them said,Let him be crucified!Then he asked,Why, what evil has he done?But they shouted all the more,Let him be crucified!So when Pilate saw that he could do nothing, but rather that a riot was beginning, he took some water and washed his hands before the crowd, saying,I am innocent of this man's blood; see to it yourselves.Then the people as a whole answered,His blood be on us and on our children!So he released Barabbas for them; and after flogging Jesus, he handed him over to be crucified.
Not only was Barabbas's first name Jesus, but his last name, Barabbas, meansson (bar) of the father (abba). Jesus had always referred to himself as the Son of the Father (and his adversaries had always refused to acknowledge that he was). So now we had two men named Jesus, each a "son of the father", but opposite fathers, it would seem. Jesus was an innocent man about to murdered, and Barabbas was a murderer about to be set free.
Very Interesting. It Could be Barabbas who was Crucified instead of Jesus son of Mary. The Christians are made to believe vice versa.
 
Kuna kitu kidogo hukielewi na Huwezi kukielewa,,,,kwamba mindset yako inauwezo wa kuelewa quran tu,,,,na kamwe Huwezi kuielewa biblia.Kwa sababu biblia inahitaji mindset ambayo haiko twisted.Yaani ilio tofauti na hio ya kwako.Wakristo wanaoelewa biblia wana mindset yao ilio tafauti na ya waislamu.Take your time to find out.
Sio mimi sielewi, ni wewe mwenyewe huelewi kwa hiyo hujui uielezee vipi.

Ni kweli kuna ndugu yangu mmoja sliuliza hapa, hebu twambie kwanza mna roho watakatifu wa aina ngapi,maana roho mtakatifu alikuwa akishuka mara kwa mara kwa mjibu wa bible,hata siku yesu wanambatiza alishuka.

sasa huyu ROHO wa kweli asingeweza kuja wakati yesu yupo,yesu mwenyewe alisema "yanipasa niondoke maana nisipoondoka huyo roho wa kweli hawezi kuja"

so tunapata kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu ROHO wa kweli ni yupi?,

pili,huyo roho ATAWAFUNDISHA NA KUWAMBIA YOTE,ambayo yesu hakuwambia,

sasa hebu tuonyeshe huyo ROHO mtakatifu aliyeshuka kwa wanafunzi wa yesu siku ya pentacoste aliwafundisha yote yapi na kuwaeleza yote yapi hayo?,
ina maana hapa alikuwa anaongelewa mtu na si viginevyo. Tafakari ukweli.
 
Duh!!! Agano la kale ni sehemu ya Biblia na ni maandiko ya kabla ya kuja Kristo (BC). Je, unatuambiaje katika hili?

Nauona mkanganyiko katika hili jambo.
Waislamu hatupingi agano la kale. Kwani mafundisho yake yako sambamba kabisa na Uislamu. Shida ni agano jipya. Ambayo ndiyo tunaiita INJIL, kitabu cha Yesu. Mkorogano wote upo hapo.
 
Unapotumia energy kumuelewesha muislamu jua unaipoteza kwa sababu nia yao si kuelewa ila ni kukupa mtazamo wake kwa msaada wa biblia..Wao HUDHANI aya za biblia zimeteremshwa na Allah Subhanna wataalah..Hivyo kuendelea kudhani ziko aya ama mistari inayoongelea dini yao ilioanzishwa mwaka wa 570 AD na mtume wao Muhammad..Huku wakijibidiisha kuelewesha wakristo kwa kila namna.WAO HUWA HAWAELEWI WANAONGEA NINI NA pia kudhania kwamba wako sahihi..ila hawachunguzagi mtazamo wao juu ya biblia kwamba hauna mantiki hata Kidogo.
Jesus Son of Mary ni Mtume wetu mpendwa tena Saaana. Na tunamuamini 100%. Tusipomuamini Jesus sisi Uislamu wetu haupo. Ndio maana tunatetea haki zake na maneno yake ya Kweli ni sawa na mitume yote iliyopita.

Hivi hamujawahi kujiuliza iweje Mtume Muhammed(Rehma na amani zimfikie) kuwa mtu ambaye alikuwa kabla ya utume wake hakusoma na hajui hata kuandika, itokee aje na Quran ambayo inaelezea history ya Dunia pamoja na mitume yake maarufu akiwemo Yesu na pia kuzungumzia Akhera kwa kina kirefu. Na mtiririko wa Quran umeandikwa kwa ufundi wa Hali ya juu ambapo binaadamu yoyote hakuna aliyetokea kuichallenge Quran au kuandika hata ukurasa mmoja unaofanana na Quran. Na amekamilisha hiyo mission aliyotumwa ni 23yrs Only. Na alipotoa hutuba yake ya mwisho kusema kuwa nimewakamilishia Dini ya Mwenyezi Mungu, swahaba wake wa karibu alilia sana na wenzake walimuuliza ni kwanini unalia? Akasema kama mtume amekamilisha kazi aliyotumwa na Mola basi hatokuwa na sababu ya kuishi duniani. Na ni kweli haikuchukua muda mrefu Mtume amefariki. Muhammed(rehma na amani zimfikie) ni mtume pekee aliyekamilisha kazi yake kikamilifu and Successfully. He is currently ranked as the most influencial person in the history of the world. And now ISLAM is the fastest growing religion in the world regardless na vita vikubwa inavyopigwa na mayahudi.

Huoni kama huyu mtu alikuwa anapokea Devine inspiration from God otherwise asingeweza kuyajua haya yote kwa sababu alikuwa hana elimu yoyote.
 
Inamaana Yesu aliposema Bila ya Yeye kuondoka huyo ROHO mtakatifu hatokuja alikuwa anamaanisha nini??
Alikua anamaanisha ni lazima yeye akiondoka atuachie msaidizi wa kutongoza kiroho kwenye ulimwengu wa kiroho ambaye ndo ROHO MTAKATIFU
 
Sema tu sijui. Issa ni Mtume wetu mpendwa. Nyinyi munamdhalilisha kwa kutokuwa na uwezo wa kuelewa. Unajua kuwa Yesu akizungumza akiwa mtoto Mchanga?? Hiyo Bible haikuandikwa.
Na ni kweli hujui bora umekili.....yeah issa ni mtume wenu ingawaje mnakomaa kulazimisha afanane na YESU KRISTO.........YESU alizungumza akiwa mchanga??? Hebu nipe hiyo reference ya bibble maana nakuona ni muislamu mzuri sana unaeisoma biblia
 
Na ni kweli hujui bora umekili.....yeah issa ni mtume wenu ingawaje mnakomaa kulazimisha afanane na YESU KRISTO.........YESU alizungumza akiwa mchanga??? Hebu nipe hiyo reference ya bibble maana nakuona ni muislamu mzuri sana unaeisoma biblia
Inabidi usoma statement yangu vizuri. Nimekwambia kuwa Biblia yenu haikuzungumzia hilo. Sasa unaniambia niku reference kwenye Biblia kivipi?? Sema Nikupe reference kwenye Quran.
 
Alikua anamaanisha ni lazima yeye akiondoka atuachie msaidizi wa kutongoza kiroho kwenye ulimwengu wa kiroho ambaye ndo ROHO MTAKATIFU
Sasa hebu twambie kwanza mna roho watakatifu wa aina ngapi,maana roho mtakatifu alikuwa akishuka mara kwa mara kwa mjibu wa bible,hata siku yesu wanambatiza alishuka.

sasa huyu ROHO wa kweli asingeweza kuja wakati yesu yupo,yesu mwenyewe alisema "yanipasa niondoke maana nisipoondoka huyo roho wa kweli hawezi kuja"

so tunapata kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu ROHO wa kweli ni yupi?,

Unaona Biblia na nyinyi wenye munavyo jikoroga hapo. Nipe jibu la hilo.
 
Inabidi usoma statement yangu vizuri. Nimekwambia kuwa Biblia yenu haikuzungumzia hilo. Sasa unaniambia niku reference kwenye Biblia kivipi?? Sema Nikupe reference kwenye Quran.
Kwenye Quran si mmetohoa kutoka kwenye biblia alafu mkamvisha huyo jamaa yenu Issa uhusika wa YESU KRISTO.......sasa skia mkuu YESU atakuja siku ya mwisho kwa ajili ya hukumu na kila jicho litamwona
 
Maana nib1500 years old ambayo ina maana miaka ya karne ya 5 yaani 500 AD.
Sasa jiulize yesu aliishi 500 years before that .na ilikiwa written katika biblia kuwa alisulubiwa sasa inakuaje mtu aje abadilishe.
Mfano mzur nyerere amefariki london na kuzikwa butiama baada ya miaka mia tano 500 wanaibuka watu wanasema alikufa butiama na kuzikwa london
Nani asiyejua kuwa JKN ndie aliyepigania uhuru? Na kama wakiibuka na kusema kuwa vinara wa ukombozi ni akina Abdulwahid Sykes, John Rupia, Chief Abdallah fundikila nawengineo pamoja na wale wazee wa Tabora na si JKN pekee kama ilivyoandikwa....... JE WATAKUWA HAWAPO SIHIHI?
 
Sasa hebu twambie kwanza mna roho watakatifu wa aina ngapi,maana roho mtakatifu alikuwa akishuka mara kwa mara kwa mjibu wa bible,hata siku yesu wanambatiza alishuka.

sasa huyu ROHO wa kweli asingeweza kuja wakati yesu yupo,yesu mwenyewe alisema "yanipasa niondoke maana nisipoondoka huyo roho wa kweli hawezi kuja"

so tunapata kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu ROHO wa kweli ni yupi?,

Unaona Biblia na nyinyi wenye munavyo jikoroga hapo. Nipe jibu la hilo.
Anhaaa kumbe shida ni hapo tu, ROHO MTAKATIFU ni moja na ni kweli alishuka kipindi YESU yupo ili kuudhihirishia ulimwengu kua ni yule alotumwa duniani kuokoa ulimwengu.....sasa kipindi YESU anapaa ROHO MTAKATIFU akashuka ili atuongoze tulio wafuasi wa YESU katika ulimwengu wa kiroho.
 
kumekuwa na kawaida kwa ulimwengu wa Kiislamu kufanya kila juhudi kuonyesha kwamba Biblia imepotoshwa, ingawaje jambo hilo si kweli hata kidogo. Ukiachilia mbali makosa ya kibinadamu ya hapa na pale ambayo yanaingia kutokana na ukweli kwamba Biblia imetafsiriwa na inaendelea kutafsiriwa mara nyingi sana, hakuna makosa ya makusudi yanayofanywa ili kupotosha au kuficha ukweli.
Na juhudi hizi zote zinafanywa ili kutaka kuonyesha kwamba Quran ni neno la Mungu la kweli ambalo halijapotoshwa hata kidogo. Basi mimi naomba mnisaidie majibu ya maswali haya machache kati ya mengi:
1. Sura 54:19 inasema kuwa mji wa Aad uliharibiwa kwa siku moja na sura 69:6,7 inasema kuwa uliharibiwa kwa 'usiku' sita na siku nane (seven nights and eight days). Hapo kuna mkanganyiko au la?
2. Sura 19:17 inaonyesha kuwa malaika alimtokea Mariamu lakini sura 3:42 inasema walikuwa malaika wengi.
3. Sura 28:40 inasema kuwa farao alizama na kufia kwenye maji lakini sura 10:92 inasema kuwa farao huyo alipona.
4. Sura 18:86 inasema kuwa jua huzama kwenye chemchemi ya maji yenye tope. Unadhani hii ni sahihi. Jua lina joto la zaidi ya nyuzijoto 6000 kwenye uso wake. Lakini maji yakifika nyuzijoto 100 yanageuka mvuke. Je, maji yanayotajwa kwenye sura hii ni maji gani? Unadhani ni Mungu aliyeumba jua na maji ndiye anayesema haya?
5. Sura 15:19 inasema kuwa dunia ni bapa kama meza (flat). Kama Mungu ndiye aliumba dunia na ndiye alileta Quran, anaweza kusema jambo kama hili?
6. Sura 86:6,7 inasema kuwa manii ya mwanamume hutokea kati ya uti wa mgongo na mbavu. Hii ni sayansi ya wapi? Ni kutoka kwa Mungu aliyeumba wa mbingu na nchi na uti wa mgongo na mbavu kweli? Kama haitoki kwa Mungu basi hata kitabu chenyewe nacho hakitoki kwa Mungu, au siyo?
7. Sura 19:27,28 inasema kuwa Mariamu alikuwa ni dada wa Haruni. Lakini tangu Haruni aishi ilipita miaka 1300 ndipo alipozaliwa Mariamu. Ni Mungu gani basi anayeweza kusema maneno kama haya?
8. Sura 28:8 inasema kuwa farao na Hamani waliishi wakati mmoja na mahali pamoja. Lakini historia iko wazi kwamba kuna tofauti ya miaka takribani 1000 kati ya watu hawa. Vilevile, farao aliishi Misri wakati Hamani aliishi Uajemi kwenye ngome iliyoitwa Shushani.
MAONI YANGU
Biblia na Quran zote zina makosa fulanifulani ya kibinadamu yalioyoingia humo wakati wa kuandikwa kwa vitabu hivyo. Kwa upande wa Biblia (sijui sana upande wa Quran), huwa nakutana na makosa kadhaa, kwa mfano kukosewa kuandikwa kwa neno, kutafsiriwa vibaya kwa neno, kukosewa kwa takwimu, n.k. Mimi nadhani kuwapo kwa makosa ya aina hii si ishara kwamba kitabu hiki hakitoki kwa Mungu. Ingekuwa ni kweli kwamba makosa haya yaliingizwa ili kuficha au kupindisha ukweli fulani, basi huko ndiko kungekuwa ni kupotosha maandiko.
Kwa upande wangu kipimo kikuu cha kutambua iwapo neno fulani ni la Mungu au la, ni MAFUNDISHO ya Mungu anayehusika. Kwa mfano, hapo juu nimetoa mfano wa Sura 54:19 inayosema kuwa mji wa Aad uliharibiwa kwa siku moja ilhali sura 69:6,7 inasema kuwa uliharibiwa kwa 'usiku' sita na siku nane (seven nights and eight days).
Mimi sioni kama hiki ni kigezo cha kusema kuwa Quran si kitabu cha Mungu wa kweli. Au aya moja kusema farao alizama maji na nyingine ikasema hakuzama. Aina hii ya ukinzani kwangu si kigezo cha kubatilisha kitabu.
Lakini tunapoenda kwenye mafundisho yanayohusu mwenendo wa kuishi na wanadamu wenzako, vigezo vya utakatifu, wajibu wa muumini kwa Mungu, wanadamu wenzake na jamii kwa ujumla, n.k., hapo ndipo ninaona kuna uwezekano wa kutenganisha kati ya ujumbe wa Mungu wa kweli na usio wa Mungu wa kweli.
Kama Mungu mmoja anasema wachukie wanadamu wasio na imani kama yako, waue; halafu kuna Mungu mwingine anasema wapende, wasamehe, waombee, wavumilie, n.k., bila shaka hapa ndipo penye uwanja sahihi wa kutenganisha pande hizi mbili.
Mungu wa Ibrahimu na Isaka na Yakobo akubariki ndugu msomaji.
Sasa tuingie katika Maoni yako.
Kwenye page 31 ref [HASHTAG]#309[/HASHTAG] nimekuelezea maswali yako yote na its CLEAR without doubt Hakuna Contradiction yoyote kwenye Quran. Kwahivyo maoni yako sio VALID kulinganisha Quran na Bible katika contradiction.

Jambo la Pili ukizingatia Sisi waislamu hatupinga Agano la kale. Mbona tunakubaliana nalo? Iweje tupige agano Jipya tu? Hilo ni swali la wewe kujiuliza.

Agano Jipya ndio foundation ya Christianity. Ipo kinyume kabisa na mafundisho ya Agano la kale na mafundisho ya Islam.
Agano Jipya inazungumzia TRINITY, na hapo hapo inajipinga. Inazungumzia kusulubiwa kwa Yesu na hapo hapo inajipinga. Katika thread hii tumezungumzia vipengele vingi vya contradiction katika the very basic foundation of Christian FAITH. Hiyo ni DOUBT kubwa katika Imani ya Christian.

On the other Hand Quran is pure and authentic. Hakuna msomi au mtu wa aina yoyote anaweza kuja na dosari ndani ya Quran. Mungu amekuruhusu uichallenge Quran na utafute ukweli.
 
Sasa hebu twambie kwanza mna roho watakatifu wa aina ngapi,maana roho mtakatifu alikuwa akishuka mara kwa mara kwa mjibu wa bible,hata siku yesu wanambatiza alishuka.

sasa huyu ROHO wa kweli asingeweza kuja wakati yesu yupo,yesu mwenyewe alisema "yanipasa niondoke maana nisipoondoka huyo roho wa kweli hawezi kuja"

so tunapata kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu ROHO wa kweli ni yupi?,

Unaona Biblia na nyinyi wenye munavyo jikoroga hapo. Nipe jibu la hilo.
Nakupa siri sasa, wakristo hatujichanganyi kwasababu tunatumia kitabu kimoja tu ambacho ni Biblia......nyie waislamu ndo mnajichanganya maana mnaichukua mistari ya biblia alafu mnaforce ilingane na Quran, mkiona hailingani mnakuja na kauli zisizo eleweka.......Mimi nakushauri mkuu Just stick to either Quran au BIble full stop
 
Kwenye Quran si mmetohoa kutoka kwenye biblia alafu mkamvisha huyo jamaa yenu Issa uhusika wa YESU KRISTO.......sasa skia mkuu YESU atakuja siku ya mwisho kwa ajili ya hukumu na kila jicho litamwona
Kaka Yesu hatahukumu mtu yeyote yule. Hiyo sio kazi yake na wala sio sababu wa ujio wake. Ndio maana nimekwambia hujui sababu ya ujio wa Yesu.

Quran ina information zaidi kuhusu Bible yenu, Quran imekuja na mfumo wa Mungu Mmoja na HANA Mshirika wake, HANA mtoto wa kuzaa na Wala HAJAZALIWA. Mbona Biblia yenu iko completely opposite na hayo. Sasa Quran imeiga nini kutoka Biblia wakati ziko tofauti kabisa kiimani?

Mbona unazungumza vitu usivyo vielewa??
 
Enzi za miaka ya 1990s kulikuwa kuna mtoto anaitwa Sharifu hapa Tz nadhani alikuwa 5yrs or below alikuwa amehifadhi Msahafu wote. Na akipelekwa kwenye mihadhara. Naomba uchukue tahadhari unapozungumzia suala la devine power.

Au hujasikia manabii wa x-pel, na miujiza yao ya nguvu kweli kweli. Uzuri wa Biblia Yesu katufundisha njia rahisi ya kuwa ngamua. Njia hii ni matendo yao. Wewe ukiona Nabii/Mtume jua matendo yake na kuyatafakari.

Mfano Ibrahim ni maarufu kuwa Baba wa Iman sasa soma mambo yake kwenye hivi vitabu vitakatifu. Biblia inatufundisha jinsi alivyo kutana na Mungu, wakati mwingine na malaika. Sijawahi sikia au kusoma kuwa aliletewa ujumbe kutoka kwa Mungu kupitia jini/majini.

Ni hilo tu basi.


Na washawasha!

Jesus Son of Mary ni Mtume wetu mpendwa tena Saaana. Na tunamuamini 100%. Tusipomuamini Jesus sisi Uislamu wetu haupo. Ndio maana tunatetea haki zake na maneno yake ya Kweli ni sawa na mitume yote iliyopita.

Hivi hamujawahi kujiuliza iweje Mtume Muhammed(Rehma na amani zimfikie) kuwa mtu ambaye alikuwa kabla ya utume wake hakusoma na hajui hata kuandika, itokee aje na Quran ambayo inaelezea history ya Dunia pamoja na mitume yake maarufu akiwemo Yesu na pia kuzungumzia Akhera kwa kina kirefu. Na mtiririko wa Quran umeandikwa kwa ufundi wa Hali ya juu ambapo binaadamu yoyote hakuna aliyetokea kuichallenge Quran au kuandika hata ukurasa mmoja unaofanana na Quran. Na amekamilisha hiyo mission aliyotumwa ni 23yrs Only. Na alipotoa hutuba yake ya mwisho kusema kuwa nimewakamilishia Dini ya Mwenyezi Mungu, swahaba wake wa karibu alilia sana na wenzake walimuuliza ni kwanini unalia? Akasema kama mtume amekamilisha kazi aliyotumwa na Mola basi hatokuwa na sababu ya kuishi duniani. Na ni kweli haikuchukua muda mrefu Mtume amefariki. Muhammed(rehma na amani zimfikie) ni mtume pekee aliyekamilisha kazi yake kikamilifu and Successfully. He is currently ranked as the most influencial person in the history of the world. And now ISLAM is the fastest growing religion in the world regardless na vita vikubwa inavyopigwa na mayahudi.

Huoni kama huyu mtu alikuwa anapokea Devine inspiration from God otherwise asingeweza kuyajua haya yote kwa sababu alikuwa hana elimu yoyote.
 
Anhaaa kumbe shida ni hapo tu, ROHO MTAKATIFU ni moja na ni kweli alishuka kipindi YESU yupo ili kuudhihirishia ulimwengu kua ni yule alotumwa duniani kuokoa ulimwengu.....sasa kipindi YESU anapaa ROHO MTAKATIFU akashuka ili atuongoze tulio wafuasi wa YESU katika ulimwengu wa kiroho.
Hebu elewa swali vizuri kabla hujakimbilia kujibu. Kwa Mujibu wa Biblia ROHO mtakatifu alishuka mara kwa mara,hata siku yesu wanambatiza nae alishuka.

Sasa kama unasema alishuka wakati YESU yupo nae basi kulikuwa na maana gani YESU kusema "YANIPASA NIONDOKE MAANA NISIPOONDOKA HUYO ROHO WA KWELI HAWEZI KUJA". Huoni kuwa kauli zinagongana hapa???

Kumbe roho wa kweli hangeweza kuja wakati bado yesu akiwepo duniani,sasa huyo roho mtakatifu akishuka kila mara kipindi cha yesu ni yupi na huyu ROHO wa kweli ni yupi????

Hujajibu SWALI.

pili,huyo roho ATAWAFUNDISHA NA KUWAMBIA YOTE,ambayo yesu hakuwambia,

sasa hebu tuonyeshe huyo ROHO mtakatifu aliyeshuka kwa wanafunzi wa yesu siku ya pentacoste aliwafundisha yote yapi na kuwaeleza yote yapi hayo?

Kaka, huna majibu hapo. Haya maswali Wameshindwa kujibu Mapadri wa kubwa matokeo wameukubali ukweli na Kusilimu tu. Au nikutumie video Links za Ahmed Deedat ujionee mwenyewe??
 
Back
Top Bottom