Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 850
Ni vizuri uwe kimya kama walivyokuwa Mapabdri wenu. Nyinyi Biblia munaibeba kama mzigo tu lakini hamuisomi wala hamuijui. Tafakari kaka, Dooms day is approaching. Jesus won't save you and no one can.
Loh, wacha kufurajisha baraza. Jamaa Muongo kweli wewe. Wewe kama muislamu niambie Uislamu ni nini?Ukisoma matendo ya mitume utaiona kazi ya huyu ROHO MTAKATIFU......Wewe jamaa mbona huelewi nmesema ROHO MTAKATIFU alishushwa kutuongoza kwenye ulimwengu wa kiroho.....YESU alivyokua duniani alikua anatufundisha kutokana uwepo wake kimwili duniani, sasa alipoondoka ndo akashuka rasmi ROHO MTAKATIFU ambae mpaka leo ndo anatuongoza wakristo katika ulimwengu wa kiroho, maombi nk.......alafu hao wanaosilimu mm sishangai maana YESU alishatuambia njia ya Uzimani inaonekana kwa wachache lakini ya upotevuni ni wengi.....hata mm nilikua muislamu Ila nikabadili dini baada ya kuujua ukweli wa YESU KRISTO
Wewe mwenyewe hujamtambua mola wako. Sasa unatoa ushsuri upi?Hapana hujalazimishwa. Ni wajibu wetu kuambizana ukweli ulivyo juu ya Mola. Kwani itakuja siku atatuuliza tulitoa mchango gani katika kuwazindua wenzetu kuhusu Yeye Angalau tuwe na majibu ya kusema kuwa tuliwafikishia ujumbe lakini wameukataa. Huu ni ushauri tu wa wewe kuchimbua na utafute ukweli wa imani yako lakini hulazimishwi.
Sasa NIAMBIE HUYO ROHO MTAKATIFU ANAKUFUNDISHENI NINI AMBACHO YESU HAJAFUNDISHA???Ukisoma matendo ya mitume utaiona kazi ya huyu ROHO MTAKATIFU......Wewe jamaa mbona huelewi nmesema ROHO MTAKATIFU alishushwa kutuongoza kwenye ulimwengu wa kiroho.....YESU alivyokua duniani alikua anatufundisha kutokana uwepo wake kimwili duniani, sasa alipoondoka ndo akashuka rasmi ROHO MTAKATIFU ambae mpaka leo ndo anatuongoza wakristo katika ulimwengu wa kiroho, maombi nk.......alafu hao wanaosilimu mm sishangai maana YESU alishatuambia njia ya Uzimani inaonekana kwa wachache lakini ya upotevuni ni wengi.....hata mm nilikua muislamu Ila nikabadili dini baada ya kuujua ukweli wa YESU KRISTO
Tunawaruhusu na Mungu amewaruhusi kwa kauli yake kuwa usome Quran na ulete hizo tofauti. Tusiandikie mate wakati wino upo. Hutaweza kupata chochote chenye hitilafu na ndiyo hujawahi sikia Mkristo au mtu wa dini nyingine yeyote kutoa Kasoro Quran. Hiyo mpaka kufa kwako hutasikia. Unasikia kasoro za Bible siku zote kwa sababu kiongelewachwo kipo! Its as simple as that.Logic is simple unasoma biblia sio kwa kulijua Neno bali kwa kuangalia kitu unacho kiita udhaifu kwenye biblia, ambapo siwezi kushangaa maana wewe ni MTU wa Imani tofauti......hata mm nikianza kuisoma Quran ntakuletea hapa mikanganyiko kibao tu
Nilikuwa nakueleza lakini huelewi. Maneno ya Yesu ni ya kweli. Kwani INJILI ya kweli aliyokuja nayo Yesu ndio hiyo iliyokuwepo kwenye Quran. Muda wote nilikuwa nakueleza hayo lakini muna vichwa vizito kuelewa. Quran comprises of all GODS books, That is TOURA, INJIL, ZABUR, and any other missing books. Quran is Complete edition of all the Books. Sasa Yesu kumbe amekwambia yale yale ninayosema mimi lakini huelewi. Nyinyi sio Wafuasi wa YESU manake munakana maneno yake yote.Siwezi babaika kwenye vitu navyovielewa.....Ila mm nashukuru waislamu mnaisoma na biblia maana mtatusaidia kutangaza injili kwa waumini wenu...........kuna kitu nilikua najiuliza, Yesu alisema mwisho hautakuja hadi injili ienee ulimwenguni Ila nlikua napata ugumu kwa nchi za kiislamu injili itaenea vipi, kumbe mmeanza kuhubiriana wenyewe kwa wenyewe huko misikitini
Ni wazi kuwa Mumerogwa, na mchawi ni nyinyi wenyewe. Kwa kweli hamuna tiba. Naona nikuwache kama ulivyo manake umeshaharibikiwa hapa dunia na akhera. Sasa labda muijiza ikujie kuinusuru nafsi yako. Mimi siwezi Kutukana mtu kwa jinsi unavyotukana wewe. Kama kwa mdomo mchafu umeshinda wewe. Naomba niishie hapo.Hahahaha hahahahahahaha alafu huo mstari mmeukomalia kweli waislamu, mkaamua mtoe neno ROHO MTAKATIFU kisha mkapachika neno ahmad, hivi kwanini mna force vitu yaani mnalazimisha Imani yenu ya majini iwe pamoja na Imani isiyoamini hivyo vitu........hivi huyo muhammad ana roho gani ya ukweli aya kabaka katoto kadogo masikini daaaah, alikua anagonga wafungwa wake daaaah yani sema tu imani imekutia upofu we jamaa
Kaka kwa kweli umenichekesha. Sasa kabla hatujaenda kwa huyo shetani unayemsema wewe. Hivi kwa maelezo uliyoyatoa, nyinyi Wakristo wote hata kama mukifanya madhambi munaenda peponi na hamuna madhambi??? Au Sivyo ulivyosema??Tumeona shetani akijaribu kuhujumu kila mpango wa Mungu kwa mwanadamu. Kule eden tuliona alivyo waingiza mkenge Adam na mkewe Hawa.
Sasa tujiulize huu mpango wa Mungu kumuokoa mwanadamu kupitia yeye Mungu kuja duniani kama Yesu ili amuokoe mwanadamu kwa kuzichukua dhambi zake kwa kutundikwa na kufa pale msalabani. Ili kila mwanadamu atakaye muamini na kuokoka asipotee, bali aokolewe na kuupata uzima wa milele.
Sasa tujiulize upi ni mpango wa shetani kuhusu kumzuia mwanadamu asiweze kuipata neema ya wokovu?. Hebu jaribu kutafakari, nini MPANGO WA SHETANi??? Definitely hii original bible ni moja wapo kati ya mipango mingi ya shetani.
Lakini tuendelee kujiuliza wakina nani wametoka na kuitangaza hii original bible? Je umezingatia sababu zao walizotoa kukataa kuitoa pale walipotakiwa kuitoa ichunguzwe uhalali wake?
Na washawasha!
Angalau wewe umeanzia pazuri. Mungu amekuleta Duniani ili ufanye nini?? Umeshawahi kujiuliza?Uislamu au ukristo hauna msaada wowote kwa mwanadamu. Kujitambua hasa upo hapa duniani ili iweje?
Mungu ni mwema. Mwenye uweza na nguvu, haonekani lakini yupo.
Nikama ulivyosema. Everything has a purpose in this World. What is a puprpose of human being to be here in this world??Ili wema uwepo uovu hauna budi kuwepo mkuu. Usingeujua mchana kama usiku usingekuwako.
All things came from nothing, and finally they will return into nothing.
But don't try to make that nothing into something, you will miss it all.
Ongea point kama mimi navyokupa point. Musiongee ushabiki wa kitoto kutaka kuleta kashfa za kipuuzi. Mimi natoa kasoro za Biblia ndani ya Biblia. Wewe kazi yako to prove me wrong. Au kama unaona Islam inakasoro pia toa kasoro unazoziona wa ushahidi. Usilete ujinga wa kusema Waislamu wana majini. Nikikuambia ulete ushahidi wa maandiko wa kauli yako hutaweza. Kwanini munaongea pumba?? Hapa tunaelimishana kwa reference kama wasomi. Mambo ya vijiweni wekeni vijiweni.Tulizana shusha munkari. Hata hivyo hii topic umeileta wewe. Sasa kubali kusikia na usiyo penda kuyasikia. Na ulitakiwa ujue hilo kabla ya kuja na huu uzi hapa.
Na washawasha!
Wewe usilete ushindani wa kitoto. Ongea hoja yako. Kama ni utoto kawatafute kwengine. Hii thread ni kwa watu wazima. Either utulie na uchangie hoja ili upate kujifunza au tafuta sehemu nyingine ya kuchezaWewe mwenyewe hujamtambua mola wako. Sasa unatoa ushsuri upi?
samahani, sina mlengo wowote wakidini, ila niulize tu; kwani kutotajwa na hao waandishi ndo kunaidhinisha kuwepo au kutowepo kwake karne hizo!?? vp kama mwandishi huyo alikua akiandika kwa personal interest zake?Inawezekana ni kweli kabisa nje ya biblia ni mwandishi mmoja tu wa kale ndio amemtaja Yesu tena naye alikua haaminiki. Ukiangalia mwandishi kama Philo huyu alikua kabila moja na Yesu tena mwandishi mashuhuri kabisa aliishi kerne ya kwanza baada ya yesu hajawahi mtaja popote katika vitabu vyake. kuna mwandishi mwingine mashuhuri anaitwa Josephas na wengine kibao hawajawi kutaja Kuhusu Yesu.
Ukishasema mlezi ina maana kuna mzazi wenu ambae alifariki kisha mkaachiwa huyo mola ambae ni mlezi wenu ryt....from a simple logic, sasa huyo mzazi wenu ni yupi?? Alafu mola akishakua mlezi ina maana pia na yeye anafamilia yake ryt, so it means ana mke pia ryt from very simple logic....Mungu anekulea wewe na babu zako toka uzaliwe mpaka kufa kwako. Sasa unataka asipewe sifa yake??
Wewe utabisha Ila ukweli naujua Mimi na wala sikulazimishi uamini maana hakuna kitu kitakacho badilika.....na sipo hapa kufurahisha barazaLoh, wacha kufurajisha baraza. Jamaa Muongo kweli wewe. Wewe kama muislamu niambie Uislamu ni nini?
Anatufundisha vitu vingi sana kwa mtu mwenye Imani thabiti, tunapewa maono, anatuongoza kuitafsiri biblia maana kuna mistari mingine Yesu aliongea bila ya kuitafsiri, yaani in short ni vitu vingi sana mkuu tunaongozwa kwenye ulimwengu wa kirohoSasa NIAMBIE HUYO ROHO MTAKATIFU ANAKUFUNDISHENI NINI AMBACHO YESU HAJAFUNDISHA???
Mbona hujibu hilo suali??? Nyinyi Memuathiriwa ki akili.
Hahahaha alafu cha ajabu Imani karibia zote zina ia attack biblia slkuanzia Freemason, Uislamu, Mormon nk.......Ila Yesu kishasema mti wenye matunda ndo unaopigwa mawe na nyinyi kwa kuishambulia biblia napata Amani sana maana naona mmeshaufahamu ukweli Ila mnapindisha maneno ili watu wawaamini........nilishaachaga kuisoma maana nilishakataaga kua Imani moja na MajiniTunawaruhusu na Mungu amewaruhusi kwa kauli yake kuwa usome Quran na ulete hizo tofauti. Tusiandikie mate wakati wino upo. Hutaweza kupata chochote chenye hitilafu na ndiyo hujawahi sikia Mkristo au mtu wa dini nyingine yeyote kutoa Kasoro Quran. Hiyo mpaka kufa kwako hutasikia. Unasikia kasoro za Bible siku zote kwa sababu kiongelewachwo kipo! Its as simple as that.
Hakuna kona kona kwenye Uislam. Kila kitu Ni straight foward. Hakuna kupinda pinda.
Hahahahahahaha we jamaa una matatizo sana, unakurupuka kabla ya kuhoji Hapo ninaongelea Injili ya biblia....hiyo injili yenu ya kuitungia mapangoni na issa wenu mimi siitambuiNilikuwa nakueleza lakini huelewi. Maneno ya Yesu ni ya kweli. Kwani INJILI ya kweli aliyokuja nayo Yesu ndio hiyo iliyokuwepo kwenye Quran. Muda wote nilikuwa nakueleza hayo lakini muna vichwa vizito kuelewa. Quran comprises of all GODS books, That is TOURA, INJIL, ZABUR, and any other missing books. Quran is Complete edition of all the Books. Sasa Yesu kumbe amekwambia yale yale ninayosema mimi lakini huelewi. Nyinyi sio Wafuasi wa YESU manake munakana maneno yake yote.