1500 years Old Bible found in Turkey

1500 years Old Bible found in Turkey

Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.

Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Mpaka wewe usiye na mbele wala nyuma kiteknologia, ukaamini ya kuhadithiwa , inaashiria ulivyo rahisi kurubunika.
 
Hakuna shida..... Hata wangegundua iliyoandikwa miaka 100 AD halafu ikaonekana haielezi kile kilichopo katika imani ya ukristo HAITAWEZA KUBADILISHA UKWELI.

'Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote,kwa maana hapana jina jingine chini ya mbingu walilopewa wanadamu litupasalo sisi kuokolewa kwalo'(MDO 4:12)

Tena Yesu anazungumza mwenyewe akisema:

'Amwaminiye Mwana yuna uzima wa milele; asiyemwamini Mwana hataona uzima,bali ghadhabu ya Mungu inamkalia'(Yoh. 3:18)

Yesu alimwaga damu kama ishara ya ukombozi. Hakuna msamaha bila damu. Mungu ametuhurumia kwa kutuletea Yesu ili awe mpatanishi kati yetu na Mungu.

Huhitaji kutumia nguvu, ni kuamini tu......!
 
Yesu hakuteswa, alioa na kuzaa, mke wake alifahamika kama Maria Magdalena, hakuwahi kusema popote kuwa ni Mwana wa Mungu, alikuwa mweusi tii...

..kama ambavyo Mungai(r.I.p) alitaka kuifanya elimu ndivyo walivyogeuza na kupindisha biblia ila wenye kufuatilia tunazo biblia orijino, zenye injili ya Maria Magdalena, injili ya Yuda Eskalioti(yule waliyetudanganya kuwa alimuuza Yesu kwa euro sijui vipande vya mini)


uzuri wewe mwenyewe ushasema umechanganyikiwa km ilivyo kwy signature yako ! so kwa akili km hizo ua right kabisa mkuu,keep it that way.
 
Fuata yako mkuu. Amini uaminivyo mkuu. Kila mtu na imani yake.
Hapana hujalazimishwa. Ni wajibu wetu kuambizana ukweli ulivyo juu ya Mola. Kwani itakuja siku atatuuliza tulitoa mchango gani katika kuwazindua wenzetu kuhusu Yeye Angalau tuwe na majibu ya kusema kuwa tuliwafikishia ujumbe lakini wameukataa. Huu ni ushauri tu wa wewe kuchimbua na utafute ukweli wa imani yako lakini hulazimishwi.
 
Uturuki nchi ya kiislamu ryt.....ulitegemea uone kitabu gani sasa
Mbona the oldest Quran imeonekana Uingereza? Dunia ina history kubwa. Huenda wakati wa Jesus Uturuki ilikuwa nchi ya kipagani. We never know. Bottom like kimeonekana uturuki. You see people tend to divert from the main concept and instead looking for excuse to deny the truth. The truth is only for your benefit. If you run away from it then at the end of the day you will loose and if you embrace it then it will save you.
 
Tutajuaje imeandaliwa na mpinga Kristo. Hebu tuache siye na imani zetu. Fuata imani yako. Kwa hili hatuhitaji ushauri wako[emoji57] [emoji57] [emoji57]
Hujalazimishwa kufuata chochote. Huu ni ujumbe mzuri ambao kama ukiuzingatia huenda ukapata mwanga wa kumjua mola wako wa kweli. Mpaka taarifa hiyo imekufikia basi huenda Mola wako wa kweli anataka umgeukie yeye na umtafute. Ni wajibu wako kuiuliza imani yako. Inakuwaje kuna maagizo tofauti ndani ya bible? Yesu ni yule yule, Mussa ni yule yule, inakuwaje kila toleo kitabu kinabadilika?
 
Mpaka wewe usiye na mbele wala nyuma kiteknologia, ukaamini ya kuhadithiwa , inaashiria ulivyo rahisi kurubunika.
John 16:7 New International Version (NIV)

7 But very truly I tell you, it is for your good that I am going away. Unless I go away, the Advocate will not come to you; but if I go, I will send him to you.

Ask who is the Advocate???

Jesus Prays to Be Glorified

17 After Jesus said this, he looked toward heaven and prayed:

“Father, the hour has come. Glorify your Son, that your Son may glorify you. 2 For you granted him authority over all people that he might give eternal life to all those you have given him. 3 Now this is eternal life: that they know you, the only true God, and Jesus Christ, whom you have sent. 4 I have brought you glory on earth by finishing the work you gave me to do.

The above clearly shows that Jesus was only a messager of God. He was sent down for a special purpose and did miracles upon permission of God. And clarify that God is ONE.

Hiyo ni Bible. Sio maneno yangu. Je imani yako na hayo maneno ya Bible yapo sawa??
 
Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.

Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
SI KWELI.BIBLIA ILIANZA KUANDIKWA MIAKA 1513 Kabla ya Yesu kuzaliwa.Kitabu cha Injili ya Mathayo Iliandikwa mwaka 41 AD,yaani miaka 8 baada ya Yesu kufufuka.Kitabu cha mwisho Kiliandikwa mwaka wa 98 AD.
 
Mbona the oldest Quran imeonekana Uingereza? Dunia ina history kubwa. Huenda wakati wa Jesus Uturuki ilikuwa nchi ya kipagani. We never know. Bottom like kimeonekana uturuki. You see people tend to divert from the main concept and instead looking for excuse to deny the truth. The truth is only for your benefit. If you run away from it then at the end of the day you will loose and if you embrace it then it will save you.
Haya bas poa, mkweli wewe
 
Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.

Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Mpuuzi wewe, umeanzisha uzi kwa malengo ya kuingiza chokochoko kama hizi.
Who wrote that Bible and who found it?
 
Yesu alituonya mapemaaaa.. so wakristo wenzangu kuweni na amani..

Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe..
 
he was crusifised, he died and after 3 days risen among ded,
ALISULUBIWA
AKAFA
AKAZIKWA
SIKU YA 3 AKAFUFUKA kati ya WAFU..

HII NI AMINA NA KWELI.
Yesu hakusulubiwa, hajafariki, na wala hakuzikwa.

Galatians 3:1-321st Century King James Version (KJ21)

3 O foolish Galatians! Who hath bewitched you, that you should not obey the truth, before whose eyes Jesus Christ hath been clearly set forth, crucified among you?
2 This only would I learn of you: Did ye receive the Spirit by the works of the law, or by the hearing of faith?
3 Are ye so foolish? Having begun in the Spirit, are ye now made perfect by the flesh?

Bilblia inakuambia Yesu hakusulubiwa. Kwanini uamini Yesu kasulubiwa wakati Bilblia inakeambia hakusulubiwa???
 
Mpuuzi wewe, umeanzisha uzi kwa malengo ya kuingiza chokochoko kama hizi.
Who wrote that Bible and who found it?
Usiongee kwa Jazba bila ya kufikiria. Hiyo information iko mtandaoni. Obviously Sikutunga mimi. Fikiria na uiulize imani yako. Hiyo ni Biblia halisi na ina contradict na current Bible. Sasa ulitaka nisukuambie kuwa unafata imani potofu?? Hujui kwamba sisi wanaadamu tuna majukumu ya kuwaeleza ukweli wenzetu waliopotea?? Wewe leta hoja zako tu lakini ukweli ni lazima uzungumziwe.
 
Yesu alituonya mapemaaaa.. so wakristo wenzangu kuweni na amani..

Mti wenye matunda ndio hupigwa mawe..
Tupe ushahidi wa kuwa Yesu amekuonya na watu kama sisi tunayekuzindua na udanganyifu munaofanyiwa na maaskofu wenu kwa kutumia Biblia hiyo hiyo.
 
Biblia haikuandikwa immediately baada ya kuondoka kwa Yesu. Iliandikwa baada ya zaidi ya Karne 4 kupita. Hiyo Copy iliyopostiwa ni genuine copy inayosema sawa na mafundisho ya Quran tukufu.

Kwanini ndugu zetu wakristo munaukana ukweli. Hiyo Bible imepimwa na wataalam na imeonekana ni authentic. Lazima mujiulize hivi ni kwanini muna Bible aina nyingi? Hivi maneno ya Mungu yanabadilika yenyewe kutokana na wakati au kuna mtu anayewabadilishia na wakuwataka muamini wanachokiandika??
Kwaio barua za paulo zote aliandika nani kama sio yeye?okey walioeandika injili zote unajua walikuwa wanaishi pia na Yesu na pia baadhi ni kizazi kimoja tuu ambao wanafahamu kila kitu.
Nakushauri soma historia ya waandishi kina marko kina yohana na luka ambaye alikuwa mwandishi wa yesu kama hujui.
tatizo mnakaririshwa majini
 
Maana nib1500 years old ambayo ina maana miaka ya karne ya 5 yaani 500 AD.
Sasa jiulize yesu aliishi 500 years before that .na ilikiwa written katika biblia kuwa alisulubiwa sasa inakuaje mtu aje abadilishe.
Mfano mzur nyerere amefariki london na kuzikwa butiama baada ya miaka mia tano 500 wanaibuka watu wanasema alikufa butiama na kuzikwa london
Kwanini uamini Yesu amesulubiwa wakati Biblia inakuambia kuwa hakusulubiwa??

Ushahidi:

Wagalatia 3

1 Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa?

2 Nataka kujifunza neno hili moja kwenu. Je! Mlipokea Roho kwa matendo ya sheria, au kwa kusikia kunakotokana na imani?

3 Je! Mmekuwa wajinga namna hii? Baada ya kuanza katika Roho, mnataka kukamilishwa sasa katika mwili?
 
Kweli ujinga na unafiki ni shida wakristo na waislam na wapagani wa sasa dini yetu ni moja tu jina lake ni UOVU kwa sababu tunafanana katika uovu ni muisilamu na mkristo lakini mwizi ni muisilamu na mkristo lakini tapeli ni muisilamu na mkristo lakini kahaba ni muisilamu na mkristo lakini fisadi ni muisilamu na mkristo lakini shoga for now muisilamu na mkristo ni sawa tu wote dugu moja OVU OVU tu akuna kitu hapo
Uovu ni wa binaadamu, sio DINI. Lazima uweze kutenganisha kati ya hivyo viwili.
 
Unalo jiuliza nimejiuliza sana, hii kitu ngumu na nzito mkuuu
Ni wazi kuwa wanaogopa kuuliza maswali IMANI yao. Hawatakiwi kuogopa, kwani ni bora wajue ukweli wakati bado wapo hai kushinda kufa na itikadi potofu kwani hasara ni kubwa mno.
 
Back
Top Bottom