Huwa nashangaa kitu kimoja, kwanini baadhi ya waislam ukiwemo wewe mmekuwa na agenda ya kuushambulia ukristo?, hivi hilo ndiyo kusudio la dini yenu, maana kila kukicha mnawaza ni jinsi gani mta deal na ukristo, wakati huo bado mnafanya maovu kinyume kabisa na dini yenu, ushauri wangu kwenu, acheni kwa maovu, njooni na clean hands then tutawasikiliza, maana mmezidi, wakristo wakristo, utafikiri uislamu ulianzishwa kwa ajili ya ku deal na wakristo, na siyo kuhubiri amani.
Hakuna muislamu anayeshambukiwa wakristo. Mimi nimeshakufahamisha sana humu jambo hilo. Sisi waislamu tuna haki kubwa sana na Yesu kwa kuwa ni Mtume wetu kama Mitume Mingine iliyopita. Nilikufahamisha vizuri tu hili jambo.
Tunapomzungumzia Yesu tunamzungumzia Kama Mtume wetu mtukufu. Ndio maana huwezi sikia mwislamu anamtukana Yesu hata siku moja. Sasa huwezu kutuzuia tusimzunguzie moja kati ya Mitume yetu.
Kwa kuwa Biblia inamzushia Yesu uongo uliokuwa wazi sisi wajib wetu kuwaeleza kuwa munasema uongo kuhusu Yesu. Na uongo huo huo unajionesha wazi kwenye Biblia. Sasa kosa letu kumtetea Mtume wetu na kukuambieni ukweli???
Soma hizo Chini;
John 16:7 - 8
7 Nevertheless I tell you the truth; It is expedient for you that I go away: for if I go not away, the Comforter will not come unto you; but if I depart, I will send him unto you.
Hapo Comforter ni NANI??
8 And when he is come, he will reprove the world of sin, and of righteousness, and of judgment
And When HE[emoji118] ni kiingereza inashiria mtu wa jinsia gani ? Mwanaume
9 Of sin, because they believe not on me;
Kwa sababu watu wake walimkataa Yesu kwa hiyo Ataletwa mtu/Comforter/he kuwaeleza kuhusu ujio wake yeye YESU
10 Of righteousness, because I go to my Father, and ye see me no more;
Mtu ambae righteous, Nitaenda kwa Baba yangu hamutaniona tena. Yaani huyo Comforter ni righteous na atakapokuwa kaja Yesu hatakuwepo.
11 Of judgment, because the prince of this world is judged.
Hapo ni kusema kila mtu lazima ahukumiwe.
12 I have yet many things to say unto you, but ye cannot bear them now.
13 Howbeit when he, the Spirit of truth, is come, he will guide you into all truth: for he shall not speak of himself; but whatsoever he shall hear, that shall he speak: and he will shew you things to come.
Huyo Spirit of Truth hata jizungumzia yeye mwenyewe, atawaongoza njia sahihi na ataongea kile anachoambiwa na Mungu.
14 He shall glorify me: for he shall receive of mine, and shall shew it unto you.
Na pia atanitukuza.
Huyo anayemzungumzia YESU ni mtu wala sio Roho kama munavyo ambiwa. Tafuta Biblia ya Armeic uthibitishe tafsiri ya Huyo Comforter in Jewish, ametajwa kwa Jina "AHMAD" ambae ni Muhammed.
Na Mtume Muhammed(SAW) pamoja na kumtukuza (GLORIFY) Yesu ameyafanya hayo yote anayezungumzia YESU. Na Quran jinsi ilivyo ukisoma kila sehemu Mtume anaambiwa SEMA , nayo inaandikwa hivyo hivyo SEMA so & so. Direct words from God, ndio maana Yesu kasema hatajisemea mwenyewe atasema kila anachoambiwa. Hiyo ndio maana yake.
Sasa Nakupa reference ya Quran:
Sura 61:6
And when Jesus son of Mary said
‘O Children of Israel!
Indeed I am the apostle of Allah to you,
to confirm what is before me of the Torah,
and to give the good news of an apostle
who will come after me,
whose name is Aḥmad.’
Yet when he brought them manifest proofs,
they said, ‘This is plain magic.’
Na hayo kweli ndiyo nyinyi munayosema. Munasema Muhammed Mchawi.
Sasa mimi nakuachia haya. Yafanyie kazi. Kama nimekosea niambie.