smigo4u
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,407
- 2,837
katika mifano yako sijaona mpagani L.O.LKweli ujinga na unafiki ni shida wakristo na waislam na wapagani wa sasa dini yetu ni moja tu jina lake ni UOVU kwa sababu tunafanana katika uovu ni muisilamu na mkristo lakini mwizi ni muisilamu na mkristo lakini tapeli ni muisilamu na mkristo lakini kahaba ni muisilamu na mkristo lakini fisadi ni muisilamu na mkristo lakini shoga for now muisilamu na mkristo ni sawa tu wote dugu moja OVU OVU tu akuna kitu hapo