17 wajeruhiwa katika shambulizi la hospitali ya kujifungua Ukraine - maafisa

17 wajeruhiwa katika shambulizi la hospitali ya kujifungua Ukraine - maafisa

Nasikia kwamba wamewarejesha nyumbani wale vijana wa JKT kufuatia malalamiko ya wananchi na pia ukweli kwamba hao vijana ndio wamekufa wengi baada ya kuwekwa mstari wa mbele wa mapigano.
Ni kweli

Iko hivi Russia kuna uhaba mkubwa wa ajira
Hivyo nafasi nyingi za kazi zilikuwa jeshi la Russia

Kilichofanyika watoto wengi wa vigogo ambao wazazi wao ni vigogo serikalini,bungeni na Jeshini na wanasiasa wakubwa,na ndugu zao ndio walipata hizo ajira.Watoto wa wanyonge wakakosa wakaishia tu kujitolea JKT
Ok wakajaza mitoto yao kuku wa mdondo jeshini waliokulia maisha ya raha wasio jua shida kuwa wanajeshi

Vita na Ukraine ilipolipuka kila mzazi kigogo wa Russia hataki mwanawe aende vitani na mitoto wenyewe haitaki inaogopa vita!!! Ajira jeshini yanataka ila kupigana vita hayataki !! ndipo Putin na vigogo wenzie wakasukumiza hao wa JKT ndio wakapigane ili mitoto yao ibaki salama !!! Wananchi wa kawaida ndipo wakaanza kupiga yowe baada ya kuona watoto wao wanauawa mno Ukraine. Wakaandamana kumpinga Putin kuwa rudisheni watoto wetu hao wa JKT pelekeni hao wenu wanenu mliowaajiri kiupendeleo kama professional soldiers ndio wakapigane huko Ukraine !!
 
Sawa ila wakipigwa wasilalamike kuwa wamepiga mabomu wajawazito!!
Ni uhalifu wa kivita dhidi ya binadamu Askari yuko wodini analinda madaktari,manesi na wagonjwa ili wapate huduma kwenye usalama wewe unawauawa hao madaktari na wagonjwa na waja wazito hayo yako utajua mbele

Hospitali kulindwa hata kipindi cha amani ruksa.Nenda hospitali yeyote walinzi wapo hata hospitali za Tanzania sembuse kipindi cha vita
 
Jibu la Urusi hili hapa:

Hospital was military base’​

  • Russia’s top diplomat Sergey Lavrov claims the hospital was a base for Ukrainian Azov Battalion and “other radicals” and slams the West for supplying them with “deadly weapons”.
  • Sasa kuna MTU alitegemea hospitali iliyogeuzwa kuwa kambi ya jeshi isishambuliwe?
 
Jibu la Urusi hili hapa:

Hospital was military base’​

  • Russia’s top diplomat Sergey Lavrov claims the hospital was a base for Ukrainian Azov Battalion and “other radicals” and slams the West for supplying them with “deadly weapons”.
  • Sasa kuna MTU alitegemea hospitali iliyogeuzwa kuwa kambi ya jeshi isishambuliwe?
Walikuwa wanalinda mali za hospitali,usalama wa madaktari,manesi na wagonjwa wasidhurike huduma zikiendelea

Ni sahihi Askari wa Ukraine kulinda hospitali zao Hakuna kosa ndio kazi ya Jeshi kulinda mali za raia na raia wenyewe wawe hodpitalini ,mashuleni,na popote.

Jeshi la Russia wapumbavu walitakaje wanajeshi wasilinde hospitali zao za Ukraine?
 
Umeandika utoto Askari wa Ukraine wana uhuru wa kukaa popote wako nchini mwao huwezi wapangia wakae wapi

Wao ni Raia halali wa Ukraine waweza kaa kambini ,hospitalini,wodini au vyuoni au popote wako ndani ya nchi yao utawapangiaje kuwa wakae wapi.

Unaungana na huo ujinga wa warusi? Wao kukaa hata hospitali sawa tu si wanalinda hospitali zao kosa lao nini kukaa kulinda majengo yao zikiwemo hospitali?

Eti unawaambia tokeni hapo hospitali malipo mnapolinda majengo vyenu ya hospitali na kulinda madaktari na manesi wasidhuriwe tokeni.Watoke ili uvurunishe makombora uue madaktari ,manesi,wagonjwa nk

Askari wa Ukraine walikuwa sahihi kuweka wanajeshi kulinda hospitali zao

Alichofanya Russia hapo ni uhalifu wa kivita dhidi ya majengo ya kiraia
Walikuwa wanawatumia raia km ngao yao ndio maana hawataki wananchi wakimbie nchi wanawakataza ndio maana sasa hv ukijificha hata shule inimladi ni soldiers unaletewa Moto huko huko
 
Walikuwa wanawatumia raia km ngao yao ndio maana hawataki wananchi wakimbie nchi wanawakataza ndio maana sasa hv ukijificha hata shule inimladi ni soldiers unaletewa Moto huko huko
Tatizo nini wako nchini mwao

Ulinzi wa nchi ni wa kila mu Ukraine

Mu Ukraine Raia anamlinda mwanajeshi na mwanajeshi anamlinda raia.
Wanalindana wako nchini mwao kila mmoja skimlinda mwenzie dhidi ya mashambulizi ya muuaji Mrusi

Urusi wakiua Raia muukraine Jeshi linalia na wananchi Ukraine wanalia.Mwanajeshi akiuawa wanajeshi ukraine wanalia na raia wa Ukraine wanalia nao pamoja na jumuiya ya kimataifa Iinalia nao wanamuongezea vikwazo mrusi.Solidarity ya uhakika
 
Wanajikosha na propaganda mtu lakini wala Haina shida huo ni ushahidi kwenye jumuiya ya kimataifa kuwa wameua walinzi waliokuwa wanalinda majengo ya hospitali ,madaktari, manesi na wagonjwa wasidhuriwe ili huduma ziendelee kama kawaida

Wameua walinzi wa hospitali na wao Russia wamethibisha.
Shida unataka Watu waamini mawazo yako tu
Kwanza Urusi kwann Iliwaacha Mudawote huo
 
Umeandika utoto Askari wa Ukraine wana uhuru wa kukaa popote wako nchini mwao huwezi wapangia wakae wapi

Wao ni Raia halali wa Ukraine waweza kaa kambini ,hospitalini,wodini au vyuoni au popote wako ndani ya nchi yao utawapangiaje kuwa wakae wapi.

Unaungana na huo ujinga wa warusi? Wao kukaa hata hospitali sawa tu si wanalinda hospitali zao kosa lao nini kukaa kulinda majengo yao zikiwemo hospitali?

Eti unawaambia tokeni hapo hospitali malipo mnapolinda majengo vyenu ya hospitali na kulinda madaktari na manesi wasidhuriwe tokeni.Watoke ili uvurunishe makombora uue madaktari ,manesi,wagonjwa nk

Askari wa Ukraine walikuwa sahihi kuweka wanajeshi kulinda hospitali zao

Alichofanya Russia hapo ni uhalifu wa kivita dhidi ya majengo ya kiraia
Huu ulioandika ndio ujinga hasaa. Unakumbuka Israel alitoa saa2 Waandishi watoke kwenye jengo ambalo Hamas walilitumia kama sehemu ya kurushia makombora baada ya muda kuisha Jamaa wakaliporomosha.

Kama Russia wangetaka kuua raia/wagonjwa mbona hakuna kifo zaidi ya majeruhi?? Yaana hospital iteketee kwa bom woote wapone.

Panua kidoooogo kaubongo kako
 
Huu ulioandika ndio ujinga hasaa. Unakumbuka Israel alitoa saa2 Waandishi watoke kwenye jengo ambalo Hamas walilitumia kama sehemu ya kurushia makombora baada ya muda kuisha Jamaa wakaliporomosha.

Kama Russia wangetaka kuua raia/wagonjwa mbona hakuna kifo zaidi ya majeruhi?? Yaana hospital iteketee kwa bom woote wapone.

Panua kidoooogo kaubongo kako
Wale Palestina walikuwa waandishi wa habari sio wanajeshi .Israel Hakusema wanajeshi waondoke lile jengo sababu alijua ni kazi ya wanajeshi kulinda jengo

Pili ile haikuwa hospitali hivi unamwambiaje mfano mwanamke anaenda kujifungua akimbie jengo la hospitali au yuko wodini anatweta anasubiri muda wowote kujifungua waondoke wakimbizi?


Russia alisema wanajeshi waondoke!! Maana yake waache wagonjwa na madaktari na manesi wawaue
 
Wale Palestina walikuwa waandishi wa habari sio wanajeshi .Israel Hakusema wanajeshi waondoke lile jengo sababu alijua ni kazi ya wanajeshi kulinda jengo
Pili ile haikuwa hospitali hivi unamwambiaje mfano mwanamke anaenda kujifungua akimbie jengo la hospitali au yuko wodini anatweta anasubiri muda wowote kujifungua waondoke.


Russia alisema wanajeshi waondoke!!
Walipewa taarifa waondoke sio??? Vita lazima kuna spy anayetoa taarifa kabla ya shambulizi.

Nakuuliza swali si umeona picha ya hospital???? Kwa jinsi ilivyo wangepona wooote halafu uone kamama kamoja kajakazito kamebebwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pro-westerners bhana
 
Walipewa taarifa waondoke sio??? Vita lazima kuna spy anayetoa taarifa kabla ya shambulizi.

Nakuuliza swali si umeona picha ya hospital???? Kwa jinsi ilivyo wangepona wooote halafu uone kamama kamoja kajakazito kamebebwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pro-westerners bhana
Jeshi walinda hospitali wa Ukraine ndio wamesaidia kulinda wagonjwa wao na kupunguza vifo na majeruhi japo 17 wameumia

Fikiria Jeshi shujaa la Ukraine wasingelinda hiyo Hospitali hali ingekuwaje

Napingeza Jeshi la Ukraine kwa kazi kubwa wamefanya kwenye hiyo hospitali kulinda madaktari, manesi na wagonjwa kuokoa muuaji ya kimbari kwenye hiyo hospitali ya wagonjwa,madaktari na manesi

Sawa jengo wauaji warusi wamebomolea mbali cha msingi maisha ya wagonjwa,madaktari na manesi yamenusurika

Jeshi shupavu la Ukraine limetekeleza wajibu wake.Hongera Jeshi la Ukraine
 
Jeshi walinda hospitali wa Ukraine ndio wamesaidia kulinda wagonjwa wao na kupunguza vifo na majeruhi japo 17 wameumia

Fikiria Jeshi shujaa la Ukraine wasingelinda hiyo Hospitali hali ingekuwaje

Napingeza Jeshi la Ukraine kwa kazi kubwa wamefanya kwenye hiyo hospitali kulinda madaktari, manesi na wagonjwa kuokoa muuaji ya kimbari kwenye hiyo hospitali ya wagonjwa,madaktari na manesi

Sawa jengo wauaji warusi wamebomolea mbali cha msingi maisha ya wagonjwa,madaktari na manesi yamenusurika

Jeshi shupavu la Ukraine limetekeleza wajibu wake.Hongera Jeshi la Ukraine
Wamelindaje wakati imeshambuliwa, jamaa mbona unajitoa ufahamu?

Sema wametii amri ya kuhamisha wagonjwa ndani ya mda waliopewa
 
Russia baada ya kuona mambo hayaendi kama walivyokuwa wakifikiria hapo awali matokeo yake wamekuwa desperate hadi sasa wanaua hadi mbwa na paka wanaokutana nao nchini Ukraine.

Wamebanwa sana kwenye vita vya ardhini na sasa wanatumia zaidi makombora ya masafa marefu kuua watu na kuharibu miundombinu.

Nasikia kwamba wamewarejesha nyumbani wale vijana wa JKT kufuatia malalamiko ya wananchi na pia ukweli kwamba hao vijana ndio wamekufa wengi baada ya kuwekwa mstari wa mbele wa mapigano.
Ha ha jkt ya Russia
 
Mnamo tarehe 7/03/2022, Majeshi ya Urusi yaligundua kuwa majeshi ya Ukraine yameibadilishia matumishi iliyokuwa hospitali ya wajawazito na watoto na kuifanya maficho ya wanajeshi wa Ukraine ambapo walikuwa wanashambulia kutokea hapo.

Tangu siku hiyo Urusi ilitoa onyo kuwa hospitali hiyo isitumiwe na majeshi ya Ukraine vinginevyo ingeshambuliwa. Ukraine waliendelea kuitumia hospotali hiyo kijeshi na kutokea humo kuendeshaashambulizi.

Kilichowatokea kila mmoja amekisikia na kelele ni kila kona!! Hizi picha wanazoonesha za watoto na wajawazito wakiwa majeruhi zilikuwa zimeandaliwa kabla!

Propaganda Kali inaendeshwa ili tu kuonesha Urusi inafanya unyama!
Hii habari umeitoa wapi?..
Kila mtu anaamua kuamini chanzo kinachoendana na misimamo yake..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Walikuwa wanawatumia raia km ngao yao ndio maana hawataki wananchi wakimbie nchi wanawakataza ndio maana sasa hv ukijificha hata shule inimladi ni soldiers unaletewa Moto huko huko
Wanajeshi wengi wa Ukraine sasa hivi hawavai tena sare za jeshi hivyo huwezi kuwatambua kihivyo.

Russia wanakufa maji baada ya malengo yao kushindwa kutimia pamoja na hasara kubwa waliokwisha pata na wanayoendelea kupata hadi kuamua sasa kuua raia hovyo.
 
Ambaye hajui historia ya Russians wakiwa vitani ndio anaweza akapinga madai hayo. Nikikumbuka vile vita vya warusi kule Chechnya katikati ya miaka ya tisini na Georgia mwaka 2008 siwezi kupinga warusi ni jamii ya watu makatili sana.
Vitani hakuna mwema si tu warusi hata we'we ungekuwa soldier mafunzoni ungefundishwa ukatili was kuua kikatili bila huruma. Unapomhurumia adui yako unaharakisha kifo chako mapema. Adui dawa yake risasi bila huruma.
Mfano kule Vietnam Us walifanya mauaji ya kikatili katika Kijiji Cha Mailay. Hayo mauaji yakaitwa Mailay massacre. Walifanya hivyo ili kumuepuka adui mwenye nguo za kiraia
 
Ni kweli

Iko hivi Russia kuna uhaba mkubwa wa ajira
Hivyo nafasi nyingi za kazi zilikuwa jeshi la Russia

Kilichofanyika watoto wengi wa vigogo ambao wazazi wao ni vigogo serikalini,bungeni na Jeshini na wanasiasa wakubwa,na ndugu zao ndio walipata hizo ajira.Watoto wa wanyonge wakakosa wakaishia tu kujitolea JKT
Ok wakajaza mitoto yao kuku wa mdondo jeshini waliokulia maisha ya raha wasio jua shida kuwa wanajeshi

Vita na Ukraine ilipolipuka kila mzazi kigogo wa Russia hataki mwanawe aende vitani na mitoto wenyewe haitaki inaogopa vita!!! Ajira jeshini yanataka ila kupigana vita hayataki !! ndipo Putin na vigogo wenzie wakasukumiza hao wa JKT ndio wakapigane ili mitoto yao ibaki salama !!! Wananchi wa kawaida ndipo wakaanza kupiga yowe baada ya kuona watoto wao wanauawa mno Ukraine. Wakaandamana kumpinga Putin kuwa rudisheni watoto wetu hao wa JKT pelekeni hao wenu wanenu mliowaajiri kiupendeleo kama professional soldiers ndio wakapigane huko Ukraine !!
Wewe jeshi la Russia au Marekani hakunaga hizo habari za kiJkt.
 
Back
Top Bottom