19 records studio live on muosha rungu TV show

19 records studio live on muosha rungu TV show

Thibitisha kidogo ubora wako

DJ sepetu
1. Sijawahi kufanya mapenzi,

2. Nimebahatika kufanya biashara kadhaa kubwa kubwa,

3. Nina mpango wa kufungua studio kubwa nchini Tanzania na afrika mashariki yenye ubora na kila ala ya muziki pamoja na vyombo vya muziki.

4. Nina mpango wa kufanya project na studio ya COKE STUDIO ya kenya, ROCK - A - FELLA STUDIO ya jay z, STAR BOY RECORDS ya ibrahim balogoun a. K. a wiz kidayo pamoja na LEGENDARY BEATS nigeria, DJ MUSTARD ON THE BEAT marekani, endapo mipango ikienda sawa maana nahitajika kuandaa pesa ndefu.

5. pia nina mpango wa kuanzisha foundation kusaidia watu mbali mbali katika kipindi hiki kigumu cha mheshimiwa JPM.
 
1. Sijawahi kufanya mapenzi,

2. Nimebahatika kufanya biashara kadhaa kubwa kubwa,

3. Nina mpango wa kufungua studio kubwa nchini Tanzania na afrika mashariki yenye ubora na kila ala ya muziki pamoja na vyombo vya muziki.

4. Nina mpango wa kufanya project na studio ya COKE STUDIO ya kenya, ROCK - A - FELLA STUDIO ya jay z, STAR BOY RECORDS ya ibrahim balogoun a. K. a wiz kidayo pamoja na LEGENDARY BEATS nigeria, DJ MUSTARD ON THE BEAT marekani, endapo mipango ikienda sawa maana nahitajika kuandaa pesa ndefu.

5. pia nina mpango wa kuanzisha foundation kusaidia watu mbali mbali katika kipindi hiki kigumu cha mheshimiwa JPM.
Aisee ni ndoto kubwa sana hii
Nini kinakutofautisha Na wanawake wengine!
Upekee wako ni nn hasa

DJ sepetu
 
Aisee ni ndoto kubwa sana hii
Nini kinakutofautisha Na wanawake wengine!
Upekee wako ni nn hasa

DJ sepetu
Kwanza ni kupata support kutoka kwa watu wengine na pia kupata connection na watu mbali mbali, nakumbuka mwaka 2013 nilipata nafasi ya kufanya mafunzo na producer nahreel wa the industry, lakini nikajifunza mengi mno ingawa sio yote asilimia kubwa rapa joh makini alikuwa anasaidia kurekebisha baadhi ya biti / beat


Pia kujituma, kujiamini, kutomuangalia mwingine, ni bora ukawa mwenyewe kwa muda na ukafanya connection na watu wachache wenye nguvu ya kukusapoti sehemu mmoja hadi nyingine,

Kutegemea mtu kwa muda mrefu pia haitakiwi.
 
Kwanza ni kupata support kutoka kwa watu wengine na pia kupata connection na watu mbali mbali, nakumbuka mwaka 2013 nilipata nafasi ya kufanya mafunzo na producer nahreel wa the industry, lakini nikajifunza mengi mno ingawa sio yote asilimia kubwa rapa joh makini alikuwa anasaidia kurekebisha baadhi ya biti / beat


Pia kujituma, kujiamini, kutomuangalia mwingine, ni bora ukawa mwenyewe kwa muda na ukafanya connection na watu wachache wenye nguvu ya kukusapoti sehemu mmoja hadi nyingine,

Kutegemea mtu kwa muda mrefu pia haitakiwi.
What song best describe you

DJ sepetu
 
1. Sijawahi kufanya mapenzi,

2. Nimebahatika kufanya biashara kadhaa kubwa kubwa,

3. Nina mpango wa kufungua studio kubwa nchini Tanzania na afrika mashariki yenye ubora na kila ala ya muziki pamoja na vyombo vya muziki.

4. Nina mpango wa kufanya project na studio ya COKE STUDIO ya kenya, ROCK - A - FELLA STUDIO ya jay z, STAR BOY RECORDS ya ibrahim balogoun a. K. a wiz kidayo pamoja na LEGENDARY BEATS nigeria, DJ MUSTARD ON THE BEAT marekani, endapo mipango ikienda sawa maana nahitajika kuandaa pesa ndefu.

5. pia nina mpango wa kuanzisha foundation kusaidia watu mbali mbali katika kipindi hiki kigumu cha mheshimiwa JPM.
Nimeangalia avatar, alafu nikarudisha macho kwenye hiyo namba moja, Mara usingizi wa ghafla ukanipitia nikasikia sauti ikisema "Nleterewa huyu ndiye ubavu wako niliokuchagulia" naona itakua naota.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Your question is so funny.

Kumiliki kero hii kwa nchi za ulaya ni rahisi ila kwa afrika bado ni changamoto kubwa jinsia ya kike,

Kero hii huwa hainisumbui kivile lakini huwa inatokea
Nini hukufanya kuwatenga hivyo watoto Wa wanawake wenzio[emoji23] [emoji23] du mpaka sasa bila bila!

DJ sepetu
 
What song best describe you

DJ sepetu
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aiseee ngoja nikupe siri,
Nikiwa elementary school nilipenda sana kujua kuimba nyimbo za hip hop lakini nikaambiwa nijitahidi kidogo kidogo ingawa sikuweza nikahamia upande wa rnb bado sikuweza ila nilipo ingia studio ya kwanza ya marylin methods studio bado sikuweza kuimba nikawa nimepoteza hela ya kurekodi ila producer aliniambia nijaribu kufanya instrument mwenyewe hatimaye nikaweza kutengeneza beat kali ila mixed song beat, hapo ndipo nilipo anza kuweka focus katika muziki,

Pia bado sijaweza kivile ila nina mpango nikae na COKE STUDIO nifanye kitu kikubwa zaidi huenda nikatoa SEDUCE ME REMIX na mr. Ali kiba [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2]
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Aiseee ngoja nikupe siri,
Nikiwa elementary school nilipenda sana kujua kuimba nyimbo za hip hop lakini nikaambiwa nijitahidi kidogo kidogo ingawa sikuweza nikahamia upande wa rnb bado sikuweza ila nilipo ingia studio ya kwanza ya marylin methods studio bado sikuweza kuimba nikawa nimepoteza hela ya kurekodi ila producer aliniambia nijaribu kufanya instrument mwenyewe hatimaye nikaweza kutengeneza beat kali ila mixed song beat, hapo ndipo nilipo anza kuweka focus katika muziki,

Pia bado sijaweza kivile ila nina mpango nikae na COKE STUDIO nifanye kitu kikubwa zaidi huenda nikatoa SEDUCE ME REMIX na mr. Ali kiba [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji2] [emoji2]
[emoji122] [emoji122] kwann unapenda music hivyo!
Kazi zingine vipi

DJ sepetu
 
Back
Top Bottom