FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Ndio huohuo, vyovyote utakavyoupamba, hakuna "chief" bara ambae alikuwa hana watumwa, na ma chief ndio walikuwa ma don wakuuza watumwa.Nazungumzia Chattel Slavery ambapo mtu na uzao wake ulihesabiwa kuwa bidhaa na ulimilikiwa na binadamu mwenzake. Afrika bado upo Mauritania na Sudan. Labda uniambie Tanzania ni wapi watu wanawamiliki wenzao na uzao wao na wanawauza kama bidhaa nyingine.
Amandla...
Tazama watumwa waliopo Amerika, wote walitokea Zanzibar? Usitake kujaza watu ujinga uliojazwa nao. Unajuwa kuwa Meli maarufu iliyopeleka watumwa Amerika ikiitwa Jesus? Unajuwa kuwa jela ya watumwa na pahala walipoteswa pako ndani, chini ya kanisa la wazungu?