johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
๐๐๐dah ila humu?Mambo yanabadilika Kwa Kasi sana ila Ujamaa ulikuwa na Faida zake
Mtu kama Lucas Mwashambwa angekuwa Dereva wa Trekta la Kijiji na kama angesogea hapa Mjini basi City Council wangemuajiri pale DSSD
Lakini zama hizi hawa Vijana wadogo wanapotelea Kwenye Uchawa na Kamari
Inasikitisha sana ๐ผ
Huyo chawa luka amepewa ajira ya muda kuandikisha wapiga kura basi anapandisha mabega anaona maisha ameyapatiaMambo yanabadilika Kwa Kasi sana ila Ujamaa ulikuwa na Faida zake
Mtu kama Lucas Mwashambwa angekuwa Dereva wa Trekta la Kijiji na kama angesogea hapa Mjini basi City Council wangemuajiri pale DSSD
Lakini zama hizi hawa Vijana wadogo wanapotelea Kwenye Uchawa na Kamari
Inasikitisha sana ๐ผ
Ujamaa hauna mbadala, Musk akimaliza ukaguzi wake mtafunguka macho. Ubepari ni unyama.Mambo yanabadilika Kwa Kasi sana ila Ujamaa ulikuwa na Faida zake
Unaogopa kufa?Chawa Toka ukose uteuzi vikao vya Dodoma halafu ukatoka pale na wale maadui wa ARV naona umeleave group. Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma mmeambukizana sana na UTEUZI KAPEWA MZEE ATAKAYEKUFA APRIL.