1970s kila Nyumba ilipewa Pipa la kutupia takataka na Gari lilipita kila Siku Bure. Siku hizi kuzoa taka ni SIASA tena Biashara!

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†dah ila humu?
 
Huyo chawa luka amepewa ajira ya muda kuandikisha wapiga kura basi anapandisha mabega anaona maisha ameyapatia
 
Chawa Toka ukose uteuzi vikao vya Dodoma halafu ukatoka pale na wale maadui wa ARV naona umeleave group. Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma mmeambukizana sana na UTEUZI KAPEWA MZEE ATAKAYEKUFA APRIL.
 
Chawa Toka ukose uteuzi vikao vya Dodoma halafu ukatoka pale na wale maadui wa ARV naona umeleave group. Nashukuru Trump amezuia ARV maana kama vikao vya juzi Dodoma mmeambukizana sana na UTEUZI KAPEWA MZEE ATAKAYEKUFA APRIL.
Unaogopa kufa?

Nyie ndio Kagame anaiona Tanzania ilivyo ๐Ÿผ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ