johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mambo yanabadilika Kwa Kasi sana ila Ujamaa ulikuwa na Faida zake
Mtu kama Lucas Mwashambwa angekuwa Dereva wa Trekta la Kijiji na kama angesogea hapa Mjini basi City Council wangemuajiri pale DSSD
Lakini zama hizi hawa Vijana wadogo wanapotelea Kwenye Uchawa na Kamari
Inasikitisha sana 🐼
Mtu kama Lucas Mwashambwa angekuwa Dereva wa Trekta la Kijiji na kama angesogea hapa Mjini basi City Council wangemuajiri pale DSSD
Lakini zama hizi hawa Vijana wadogo wanapotelea Kwenye Uchawa na Kamari
Inasikitisha sana 🐼