1981 Israel Raid on the Reactor: Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa la umeme huko Ethiopia?

1981 Israel Raid on the Reactor: Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa la umeme huko Ethiopia?

Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme huko Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam) kama ambavyo Israel Defense Force (IDF) walivyofanya "Raid on the Nuclear Reactor" huko Iraq mwaka 1981?

SOMA KWA UFUPI KISHA CHA ISRAEL NA UVAMIZI KATIKA KINU CHA NYUKLIA HUKO NCHINI IRAQ:

Mnamo mwaka 1976, Iraq ilinunua kinu cha nyuklia (nuclear reactor) kutoka Ufaransa. Wakati Iraq na Ufaransa walikuwa wakiiendelea na ujenzi wa kinu kile cha nyuklia, ambacho wafaransa wenyewe waliamua kukipa jina la OSIRAK, na kilikusudiwa kwa matumizi ya amani hususan katika utafiti wa kisayansi, Waisrael waliutazama mradi ule kwa jicho la mashaka sana, wakiamini ya kwamba ulilenga katika kutengeneza silaha za nyuklia.

View attachment 1527149

Mnamo tarehe 7 mwezi wa June Mwaka 1981, msafara wa midege ya kivita ya Israel aina ya F-16A ikisindikizwa na ndugu zake aina ya F-15As iliangusha makombora na mabomu mazito na kuharibu nyang'anyang'a kinu hicho cha OSIRAK. Israel wali iita operation ile kuwa ni ya kujilinda (pre-emptive attack) wakisema kwamba kinu kile kilikuwa kina si zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kuanza kutumika (before it might have become critical).

View attachment 1527150

Askari kumi wa Iraq pamoja na engineer mmoja wa Ufaransa waliuawa. Shambulizi hilo lilifanywa wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu ndani ya bunge la Israel (Knesset).

Kwa wakati ule, shambulizi hili lilikutana na ukosoaji mkubwa sana kutoka jumuiya za kimataifa, ikiwemo Marekani, baraza la usalama pamoja na mkutano mkuu wa umoja wa mataifa katika matamko mawili tofauti.

Baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vilifikia mpaka hatua ya kusema kuwa huu ulikuwa ni ugaidi wa kufadhiliwa na serikali (state-sponsored terrorism) na kwamba kitendo cha Israel kushambulia kinu hicho kwa kuvizia ni hatua ya ubabe na uchokozi usiosameheka.

View attachment 1527152

Uharibifu wa kinu cha Osirak umekuwa ukitizamwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya usalama, siasa pamoja na sheria za kimataifa kama mfano moja wapo wa shambulizi za kuzuia hatari (preventive strike) ambao wanasema pia ya kwamba liliirudisha nyuma sana Iraq kutoka hatua chache za kuwa na uwezo wa nyuklia (it brought back Iraq from the brink of nuclear capability) na kuzima kabisa ndoto za Rais Saddam Hussein kuja kumiliki silaha za nyuklia hapo baadae.

MZOZO BAINA YA MISRI NA ETHIOPI JUU YA BWAWA KUBWA LA KUZALISHIA UMEME:

View attachment 1561801

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Ethiopia inataka kujaza bwawa la Grand Renaissance kwa miaka 6 lakini Misri imependekeza angalau mradi huo uchukue kipindi cha miaka 10 kwa kuhofia kwamba kuchukua kipindi kifupi kutaathiri mtiririko wa maji ya Mto Nile ambayo inategemea asilimia 90 ya maji ya mto huo.

View attachment 1561803

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Ujenzi wa Bwawa la Grand Renaissance linalojengwa Ethiopia ukishamalizika, mradi huo unaogharimu kima cha bilioni 5 za Marekani, litakuwa ndio bwawa kubwa zaidi la uzalishaji umeme barani Afrika lenye uwezo wa 6,000MW.

(1) JE, AFRIKA ITAARAJIE KWA MARA YA KWANZA KUPOKEA "BREAKING NEWS" KAMA ZILE TULIZOZOEA KUZISIKIA KATIKA ARDHI YA MASHARIKI YA KATI?

(2) Njia ipi sahihi itumike katika matumizi ya maji ya mto Nile ili uhusiano miongoni mwa nchi za Africa uendelee kuwa mwema na imara??

WADAU KARIBUNI SANA KWA MICHANGO.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Msaada Please: Ninaomba kuonana na ndugu Athumani Kihamia
Rais Magufuli anafaa aongezewe muda anafanya mambo makubwa sana.
 
Rekebisha hapo pekundu, ulipaswa kuandika hivi.....''of last resolve'',hamna kitu kama ''of last resolute'' kwenye uandishi wa lugha ya kiingereza.

Alamsiki.
Asante sana kwa kunisahihisha mkuu.

Ninaomba pia kukusahihisha na wewe kidogo kaka mkubwa. Sio "of last resolve" kama ulivyopendekeza bali ni "of last resort" ndio sahihi zaidi.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme huko Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam) kama ambavyo Israel Defense Force (IDF) walivyofanya "Raid on the Nuclear Reactor" huko Iraq mwaka 1981?

SOMA KWA UFUPI KISHA CHA ISRAEL NA UVAMIZI KATIKA KINU CHA NYUKLIA HUKO NCHINI IRAQ:

Mnamo mwaka 1976, Iraq ilinunua kinu cha nyuklia (nuclear reactor) kutoka Ufaransa. Wakati Iraq na Ufaransa walikuwa wakiiendelea na ujenzi wa kinu kile cha nyuklia, ambacho wafaransa wenyewe waliamua kukipa jina la OSIRAK, na kilikusudiwa kwa matumizi ya amani hususan katika utafiti wa kisayansi, Waisrael waliutazama mradi ule kwa jicho la mashaka sana, wakiamini ya kwamba ulilenga katika kutengeneza silaha za nyuklia.

View attachment 1527149

Mnamo tarehe 7 mwezi wa June Mwaka 1981, msafara wa midege ya kivita ya Israel aina ya F-16A ikisindikizwa na ndugu zake aina ya F-15As iliangusha makombora na mabomu mazito na kuharibu nyang'anyang'a kinu hicho cha OSIRAK. Israel wali iita operation ile kuwa ni ya kujilinda (pre-emptive attack) wakisema kwamba kinu kile kilikuwa kina si zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kuanza kutumika (before it might have become critical).

View attachment 1527150

Askari kumi wa Iraq pamoja na engineer mmoja wa Ufaransa waliuawa. Shambulizi hilo lilifanywa wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu ndani ya bunge la Israel (Knesset).

Kwa wakati ule, shambulizi hili lilikutana na ukosoaji mkubwa sana kutoka jumuiya za kimataifa, ikiwemo Marekani, baraza la usalama pamoja na mkutano mkuu wa umoja wa mataifa katika matamko mawili tofauti.

Baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vilifikia mpaka hatua ya kusema kuwa huu ulikuwa ni ugaidi wa kufadhiliwa na serikali (state-sponsored terrorism) na kwamba kitendo cha Israel kushambulia kinu hicho kwa kuvizia ni hatua ya ubabe na uchokozi usiosameheka.

View attachment 1527152

Uharibifu wa kinu cha Osirak umekuwa ukitizamwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya usalama, siasa pamoja na sheria za kimataifa kama mfano moja wapo wa shambulizi za kuzuia hatari (preventive strike) ambao wanasema pia ya kwamba liliirudisha nyuma sana Iraq kutoka hatua chache za kuwa na uwezo wa nyuklia (it brought back Iraq from the brink of nuclear capability) na kuzima kabisa ndoto za Rais Saddam Hussein kuja kumiliki silaha za nyuklia hapo baadae.

MZOZO BAINA YA MISRI NA ETHIOPI JUU YA BWAWA KUBWA LA KUZALISHIA UMEME:

View attachment 1561801

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Ethiopia inataka kujaza bwawa la Grand Renaissance kwa miaka 6 lakini Misri imependekeza angalau mradi huo uchukue kipindi cha miaka 10 kwa kuhofia kwamba kuchukua kipindi kifupi kutaathiri mtiririko wa maji ya Mto Nile ambayo inategemea asilimia 90 ya maji ya mto huo.

View attachment 1561803

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Ujenzi wa Bwawa la Grand Renaissance linalojengwa Ethiopia ukishamalizika, mradi huo unaogharimu kima cha bilioni 5 za Marekani, litakuwa ndio bwawa kubwa zaidi la uzalishaji umeme barani Afrika lenye uwezo wa 6,000MW.

(1) JE, AFRIKA ITAARAJIE KWA MARA YA KWANZA KUPOKEA "BREAKING NEWS" KAMA ZILE TULIZOZOEA KUZISIKIA KATIKA ARDHI YA MASHARIKI YA KATI?

(2) Njia ipi sahihi itumike katika matumizi ya maji ya mto Nile ili uhusiano miongoni mwa nchi za Africa uendelee kuwa mwema na imara??

WADAU KARIBUNI SANA KWA MICHANGO.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Msaada Please: Ninaomba kuonana na ndugu Athumani Kihamia
Rais Magufuli anatoa funzo kubwa kwa CHADEMA.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme huko Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam) kama ambavyo Israel Defense Force (IDF) walivyofanya "Raid on the Nuclear Reactor" huko Iraq mwaka 1981?

SOMA KWA UFUPI KISHA CHA ISRAEL NA UVAMIZI KATIKA KINU CHA NYUKLIA HUKO NCHINI IRAQ:

Mnamo mwaka 1976, Iraq ilinunua kinu cha nyuklia (nuclear reactor) kutoka Ufaransa. Wakati Iraq na Ufaransa walikuwa wakiiendelea na ujenzi wa kinu kile cha nyuklia, ambacho wafaransa wenyewe waliamua kukipa jina la OSIRAK, na kilikusudiwa kwa matumizi ya amani hususan katika utafiti wa kisayansi, Waisrael waliutazama mradi ule kwa jicho la mashaka sana, wakiamini ya kwamba ulilenga katika kutengeneza silaha za nyuklia.

View attachment 1527149

Mnamo tarehe 7 mwezi wa June Mwaka 1981, msafara wa midege ya kivita ya Israel aina ya F-16A ikisindikizwa na ndugu zake aina ya F-15As iliangusha makombora na mabomu mazito na kuharibu nyang'anyang'a kinu hicho cha OSIRAK. Israel wali iita operation ile kuwa ni ya kujilinda (pre-emptive attack) wakisema kwamba kinu kile kilikuwa kina si zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kuanza kutumika (before it might have become critical).

View attachment 1527150

Askari kumi wa Iraq pamoja na engineer mmoja wa Ufaransa waliuawa. Shambulizi hilo lilifanywa wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu ndani ya bunge la Israel (Knesset).

Kwa wakati ule, shambulizi hili lilikutana na ukosoaji mkubwa sana kutoka jumuiya za kimataifa, ikiwemo Marekani, baraza la usalama pamoja na mkutano mkuu wa umoja wa mataifa katika matamko mawili tofauti.

Baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vilifikia mpaka hatua ya kusema kuwa huu ulikuwa ni ugaidi wa kufadhiliwa na serikali (state-sponsored terrorism) na kwamba kitendo cha Israel kushambulia kinu hicho kwa kuvizia ni hatua ya ubabe na uchokozi usiosameheka.

View attachment 1527152

Uharibifu wa kinu cha Osirak umekuwa ukitizamwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya usalama, siasa pamoja na sheria za kimataifa kama mfano moja wapo wa shambulizi za kuzuia hatari (preventive strike) ambao wanasema pia ya kwamba liliirudisha nyuma sana Iraq kutoka hatua chache za kuwa na uwezo wa nyuklia (it brought back Iraq from the brink of nuclear capability) na kuzima kabisa ndoto za Rais Saddam Hussein kuja kumiliki silaha za nyuklia hapo baadae.

MZOZO BAINA YA MISRI NA ETHIOPI JUU YA BWAWA KUBWA LA KUZALISHIA UMEME:

View attachment 1561801

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Ethiopia inataka kujaza bwawa la Grand Renaissance kwa miaka 6 lakini Misri imependekeza angalau mradi huo uchukue kipindi cha miaka 10 kwa kuhofia kwamba kuchukua kipindi kifupi kutaathiri mtiririko wa maji ya Mto Nile ambayo inategemea asilimia 90 ya maji ya mto huo.

View attachment 1561803

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Ujenzi wa Bwawa la Grand Renaissance linalojengwa Ethiopia ukishamalizika, mradi huo unaogharimu kima cha bilioni 5 za Marekani, litakuwa ndio bwawa kubwa zaidi la uzalishaji umeme barani Afrika lenye uwezo wa 6,000MW.

(1) JE, AFRIKA ITAARAJIE KWA MARA YA KWANZA KUPOKEA "BREAKING NEWS" KAMA ZILE TULIZOZOEA KUZISIKIA KATIKA ARDHI YA MASHARIKI YA KATI?

(2) Njia ipi sahihi itumike katika matumizi ya maji ya mto Nile ili uhusiano miongoni mwa nchi za Africa uendelee kuwa mwema na imara??

WADAU KARIBUNI SANA KWA MICHANGO.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Rais Magufuli amejua kutupigania Watanzania Wish you all the best Mr President.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme huko Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam) kama ambavyo Israel Defense Force (IDF) walivyofanya "Raid on the Nuclear Reactor" huko Iraq mwaka 1981?

SOMA KWA UFUPI KISHA CHA ISRAEL NA UVAMIZI KATIKA KINU CHA NYUKLIA HUKO NCHINI IRAQ:

Mnamo mwaka 1976, Iraq ilinunua kinu cha nyuklia (nuclear reactor) kutoka Ufaransa. Wakati Iraq na Ufaransa walikuwa wakiiendelea na ujenzi wa kinu kile cha nyuklia, ambacho wafaransa wenyewe waliamua kukipa jina la OSIRAK, na kilikusudiwa kwa matumizi ya amani hususan katika utafiti wa kisayansi, Waisrael waliutazama mradi ule kwa jicho la mashaka sana, wakiamini ya kwamba ulilenga katika kutengeneza silaha za nyuklia.

View attachment 1527149

Mnamo tarehe 7 mwezi wa June Mwaka 1981, msafara wa midege ya kivita ya Israel aina ya F-16A ikisindikizwa na ndugu zake aina ya F-15As iliangusha makombora na mabomu mazito na kuharibu nyang'anyang'a kinu hicho cha OSIRAK. Israel wali iita operation ile kuwa ni ya kujilinda (pre-emptive attack) wakisema kwamba kinu kile kilikuwa kina si zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kuanza kutumika (before it might have become critical).

View attachment 1527150

Askari kumi wa Iraq pamoja na engineer mmoja wa Ufaransa waliuawa. Shambulizi hilo lilifanywa wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu ndani ya bunge la Israel (Knesset).

Kwa wakati ule, shambulizi hili lilikutana na ukosoaji mkubwa sana kutoka jumuiya za kimataifa, ikiwemo Marekani, baraza la usalama pamoja na mkutano mkuu wa umoja wa mataifa katika matamko mawili tofauti.

Baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vilifikia mpaka hatua ya kusema kuwa huu ulikuwa ni ugaidi wa kufadhiliwa na serikali (state-sponsored terrorism) na kwamba kitendo cha Israel kushambulia kinu hicho kwa kuvizia ni hatua ya ubabe na uchokozi usiosameheka.

View attachment 1527152

Uharibifu wa kinu cha Osirak umekuwa ukitizamwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya usalama, siasa pamoja na sheria za kimataifa kama mfano moja wapo wa shambulizi za kuzuia hatari (preventive strike) ambao wanasema pia ya kwamba liliirudisha nyuma sana Iraq kutoka hatua chache za kuwa na uwezo wa nyuklia (it brought back Iraq from the brink of nuclear capability) na kuzima kabisa ndoto za Rais Saddam Hussein kuja kumiliki silaha za nyuklia hapo baadae.

MZOZO BAINA YA MISRI NA ETHIOPI JUU YA BWAWA KUBWA LA KUZALISHIA UMEME:

View attachment 1561801

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Ethiopia inataka kujaza bwawa la Grand Renaissance kwa miaka 6 lakini Misri imependekeza angalau mradi huo uchukue kipindi cha miaka 10 kwa kuhofia kwamba kuchukua kipindi kifupi kutaathiri mtiririko wa maji ya Mto Nile ambayo inategemea asilimia 90 ya maji ya mto huo.

View attachment 1561803

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Ujenzi wa Bwawa la Grand Renaissance linalojengwa Ethiopia ukishamalizika, mradi huo unaogharimu kima cha bilioni 5 za Marekani, litakuwa ndio bwawa kubwa zaidi la uzalishaji umeme barani Afrika lenye uwezo wa 6,000MW.

(1) JE, AFRIKA ITAARAJIE KWA MARA YA KWANZA KUPOKEA "BREAKING NEWS" KAMA ZILE TULIZOZOEA KUZISIKIA KATIKA ARDHI YA MASHARIKI YA KATI?

(2) Njia ipi sahihi itumike katika matumizi ya maji ya mto Nile ili uhusiano miongoni mwa nchi za Africa uendelee kuwa mwema na imara??

WADAU KARIBUNI SANA KWA MICHANGO.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Tunashukuru Tanzania tumepata Rais Mzalendo anayeipenda Nchi yake Asante Magufuli oooyeeeeee.
 
Lissu Afanye kazi yeyote ila sisi hatumuhitaji,Rais Magufuli anatosha.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme huko Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam) kama ambavyo Israel Defense Force (IDF) walivyofanya "Raid on the Nuclear Reactor" huko Iraq mwaka 1981?

SOMA KWA UFUPI KISHA CHA ISRAEL NA UVAMIZI KATIKA KINU CHA NYUKLIA HUKO NCHINI IRAQ:

Mnamo mwaka 1976, Iraq ilinunua kinu cha nyuklia (nuclear reactor) kutoka Ufaransa. Wakati Iraq na Ufaransa walikuwa wakiiendelea na ujenzi wa kinu kile cha nyuklia, ambacho wafaransa wenyewe waliamua kukipa jina la OSIRAK, na kilikusudiwa kwa matumizi ya amani hususan katika utafiti wa kisayansi, Waisrael waliutazama mradi ule kwa jicho la mashaka sana, wakiamini ya kwamba ulilenga katika kutengeneza silaha za nyuklia.

View attachment 1527149

Mnamo tarehe 7 mwezi wa June Mwaka 1981, msafara wa midege ya kivita ya Israel aina ya F-16A ikisindikizwa na ndugu zake aina ya F-15As iliangusha makombora na mabomu mazito na kuharibu nyang'anyang'a kinu hicho cha OSIRAK. Israel wali iita operation ile kuwa ni ya kujilinda (pre-emptive attack) wakisema kwamba kinu kile kilikuwa kina si zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kuanza kutumika (before it might have become critical).

View attachment 1527150

Askari kumi wa Iraq pamoja na engineer mmoja wa Ufaransa waliuawa. Shambulizi hilo lilifanywa wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu ndani ya bunge la Israel (Knesset).

Kwa wakati ule, shambulizi hili lilikutana na ukosoaji mkubwa sana kutoka jumuiya za kimataifa, ikiwemo Marekani, baraza la usalama pamoja na mkutano mkuu wa umoja wa mataifa katika matamko mawili tofauti.

Baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vilifikia mpaka hatua ya kusema kuwa huu ulikuwa ni ugaidi wa kufadhiliwa na serikali (state-sponsored terrorism) na kwamba kitendo cha Israel kushambulia kinu hicho kwa kuvizia ni hatua ya ubabe na uchokozi usiosameheka.

View attachment 1527152

Uharibifu wa kinu cha Osirak umekuwa ukitizamwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya usalama, siasa pamoja na sheria za kimataifa kama mfano moja wapo wa shambulizi za kuzuia hatari (preventive strike) ambao wanasema pia ya kwamba liliirudisha nyuma sana Iraq kutoka hatua chache za kuwa na uwezo wa nyuklia (it brought back Iraq from the brink of nuclear capability) na kuzima kabisa ndoto za Rais Saddam Hussein kuja kumiliki silaha za nyuklia hapo baadae.

MZOZO BAINA YA MISRI NA ETHIOPI JUU YA BWAWA KUBWA LA KUZALISHIA UMEME:

View attachment 1561801

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Ethiopia inataka kujaza bwawa la Grand Renaissance kwa miaka 6 lakini Misri imependekeza angalau mradi huo uchukue kipindi cha miaka 10 kwa kuhofia kwamba kuchukua kipindi kifupi kutaathiri mtiririko wa maji ya Mto Nile ambayo inategemea asilimia 90 ya maji ya mto huo.

View attachment 1561803

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Ujenzi wa Bwawa la Grand Renaissance linalojengwa Ethiopia ukishamalizika, mradi huo unaogharimu kima cha bilioni 5 za Marekani, litakuwa ndio bwawa kubwa zaidi la uzalishaji umeme barani Afrika lenye uwezo wa 6,000MW.

(1) JE, AFRIKA ITAARAJIE KWA MARA YA KWANZA KUPOKEA "BREAKING NEWS" KAMA ZILE TULIZOZOEA KUZISIKIA KATIKA ARDHI YA MASHARIKI YA KATI?

(2) Njia ipi sahihi itumike katika matumizi ya maji ya mto Nile ili uhusiano miongoni mwa nchi za Africa uendelee kuwa mwema na imara??

WADAU KARIBUNI SANA KWA MICHANGO.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mabeberu yanatuonea wivu Maendeleo yanayoletwa na Rais Magufuli yanaumiza sana hawa wajinga.
 
Asante Rais Magufuli kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati Tukikuongezea miaka kumi tutaipiku USA.
 
Mkuu hakuna anayetetemeka, siku tatu Rais Magufuli amepumzika nyumbani maana ushindi ni ni uhakika zaidi ya 95%.
 
Shauri yao Magufuli kiboko yao anakubalika internationally.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme huko Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam) kama ambavyo Israel Defense Force (IDF) walivyofanya "Raid on the Nuclear Reactor" huko Iraq mwaka 1981?

SOMA KWA UFUPI KISHA CHA ISRAEL NA UVAMIZI KATIKA KINU CHA NYUKLIA HUKO NCHINI IRAQ:

Mnamo mwaka 1976, Iraq ilinunua kinu cha nyuklia (nuclear reactor) kutoka Ufaransa. Wakati Iraq na Ufaransa walikuwa wakiiendelea na ujenzi wa kinu kile cha nyuklia, ambacho wafaransa wenyewe waliamua kukipa jina la OSIRAK, na kilikusudiwa kwa matumizi ya amani hususan katika utafiti wa kisayansi, Waisrael waliutazama mradi ule kwa jicho la mashaka sana, wakiamini ya kwamba ulilenga katika kutengeneza silaha za nyuklia.

View attachment 1527149

Mnamo tarehe 7 mwezi wa June Mwaka 1981, msafara wa midege ya kivita ya Israel aina ya F-16A ikisindikizwa na ndugu zake aina ya F-15As iliangusha makombora na mabomu mazito na kuharibu nyang'anyang'a kinu hicho cha OSIRAK. Israel wali iita operation ile kuwa ni ya kujilinda (pre-emptive attack) wakisema kwamba kinu kile kilikuwa kina si zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kuanza kutumika (before it might have become critical).

View attachment 1527150

Askari kumi wa Iraq pamoja na engineer mmoja wa Ufaransa waliuawa. Shambulizi hilo lilifanywa wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu ndani ya bunge la Israel (Knesset).

Kwa wakati ule, shambulizi hili lilikutana na ukosoaji mkubwa sana kutoka jumuiya za kimataifa, ikiwemo Marekani, baraza la usalama pamoja na mkutano mkuu wa umoja wa mataifa katika matamko mawili tofauti.

Baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vilifikia mpaka hatua ya kusema kuwa huu ulikuwa ni ugaidi wa kufadhiliwa na serikali (state-sponsored terrorism) na kwamba kitendo cha Israel kushambulia kinu hicho kwa kuvizia ni hatua ya ubabe na uchokozi usiosameheka.

View attachment 1527152

Uharibifu wa kinu cha Osirak umekuwa ukitizamwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya usalama, siasa pamoja na sheria za kimataifa kama mfano moja wapo wa shambulizi za kuzuia hatari (preventive strike) ambao wanasema pia ya kwamba liliirudisha nyuma sana Iraq kutoka hatua chache za kuwa na uwezo wa nyuklia (it brought back Iraq from the brink of nuclear capability) na kuzima kabisa ndoto za Rais Saddam Hussein kuja kumiliki silaha za nyuklia hapo baadae.

MZOZO BAINA YA MISRI NA ETHIOPI JUU YA BWAWA KUBWA LA KUZALISHIA UMEME:

View attachment 1561801

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Ethiopia inataka kujaza bwawa la Grand Renaissance kwa miaka 6 lakini Misri imependekeza angalau mradi huo uchukue kipindi cha miaka 10 kwa kuhofia kwamba kuchukua kipindi kifupi kutaathiri mtiririko wa maji ya Mto Nile ambayo inategemea asilimia 90 ya maji ya mto huo.

View attachment 1561803

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Ujenzi wa Bwawa la Grand Renaissance linalojengwa Ethiopia ukishamalizika, mradi huo unaogharimu kima cha bilioni 5 za Marekani, litakuwa ndio bwawa kubwa zaidi la uzalishaji umeme barani Afrika lenye uwezo wa 6,000MW.

(1) JE, AFRIKA ITAARAJIE KWA MARA YA KWANZA KUPOKEA "BREAKING NEWS" KAMA ZILE TULIZOZOEA KUZISIKIA KATIKA ARDHI YA MASHARIKI YA KATI?

(2) Njia ipi sahihi itumike katika matumizi ya maji ya mto Nile ili uhusiano miongoni mwa nchi za Africa uendelee kuwa mwema na imara??

WADAU KARIBUNI SANA KWA MICHANGO.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
yule mchimbaji mdogo aliyepewa mabilion na Magufuli amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.

Eti ndugu zangu watanzania;

Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme huko Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam) kama ambavyo Israel Defense Force (IDF) walivyofanya "Raid on the Nuclear Reactor" huko Iraq mwaka 1981?

SOMA KWA UFUPI KISHA CHA ISRAEL NA UVAMIZI KATIKA KINU CHA NYUKLIA HUKO NCHINI IRAQ:

Mnamo mwaka 1976, Iraq ilinunua kinu cha nyuklia (nuclear reactor) kutoka Ufaransa. Wakati Iraq na Ufaransa walikuwa wakiiendelea na ujenzi wa kinu kile cha nyuklia, ambacho wafaransa wenyewe waliamua kukipa jina la OSIRAK, na kilikusudiwa kwa matumizi ya amani hususan katika utafiti wa kisayansi, Waisrael waliutazama mradi ule kwa jicho la mashaka sana, wakiamini ya kwamba ulilenga katika kutengeneza silaha za nyuklia.

View attachment 1527149

Mnamo tarehe 7 mwezi wa June Mwaka 1981, msafara wa midege ya kivita ya Israel aina ya F-16A ikisindikizwa na ndugu zake aina ya F-15As iliangusha makombora na mabomu mazito na kuharibu nyang'anyang'a kinu hicho cha OSIRAK. Israel wali iita operation ile kuwa ni ya kujilinda (pre-emptive attack) wakisema kwamba kinu kile kilikuwa kina si zaidi ya mwezi mmoja kabla ya kuanza kutumika (before it might have become critical).

View attachment 1527150

Askari kumi wa Iraq pamoja na engineer mmoja wa Ufaransa waliuawa. Shambulizi hilo lilifanywa wiki tatu kabla ya uchaguzi mkuu ndani ya bunge la Israel (Knesset).

Kwa wakati ule, shambulizi hili lilikutana na ukosoaji mkubwa sana kutoka jumuiya za kimataifa, ikiwemo Marekani, baraza la usalama pamoja na mkutano mkuu wa umoja wa mataifa katika matamko mawili tofauti.

Baadhi ya vyombo vya habari vya kimataifa vilifikia mpaka hatua ya kusema kuwa huu ulikuwa ni ugaidi wa kufadhiliwa na serikali (state-sponsored terrorism) na kwamba kitendo cha Israel kushambulia kinu hicho kwa kuvizia ni hatua ya ubabe na uchokozi usiosameheka.

View attachment 1527152

Uharibifu wa kinu cha Osirak umekuwa ukitizamwa na baadhi ya wataalam wa masuala ya usalama, siasa pamoja na sheria za kimataifa kama mfano moja wapo wa shambulizi za kuzuia hatari (preventive strike) ambao wanasema pia ya kwamba liliirudisha nyuma sana Iraq kutoka hatua chache za kuwa na uwezo wa nyuklia (it brought back Iraq from the brink of nuclear capability) na kuzima kabisa ndoto za Rais Saddam Hussein kuja kumiliki silaha za nyuklia hapo baadae.

MZOZO BAINA YA MISRI NA ETHIOPI JUU YA BWAWA KUBWA LA KUZALISHIA UMEME:

View attachment 1561801

Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.

Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya maji ya mto Nile, hasa baada ya Ethiopia kujenga bwawa (Gerd) kubwa la kufua umeme kwa kutoa maji ya mto Nile kujaza bwawa hilo litakalotumia mabilion ya ujazo ya maji ya Nile.

Ethiopia inataka kujaza bwawa la Grand Renaissance kwa miaka 6 lakini Misri imependekeza angalau mradi huo uchukue kipindi cha miaka 10 kwa kuhofia kwamba kuchukua kipindi kifupi kutaathiri mtiririko wa maji ya Mto Nile ambayo inategemea asilimia 90 ya maji ya mto huo.

View attachment 1561803

Misri kwa upande wake inahofia kuwa ujazo wa maji ya mto Nile yatakayofika Misri utapungua hivyo kuathiri maisha na uchumi wa Misri.

Ujenzi wa Bwawa la Grand Renaissance linalojengwa Ethiopia ukishamalizika, mradi huo unaogharimu kima cha bilioni 5 za Marekani, litakuwa ndio bwawa kubwa zaidi la uzalishaji umeme barani Afrika lenye uwezo wa 6,000MW.

(1) JE, AFRIKA ITAARAJIE KWA MARA YA KWANZA KUPOKEA "BREAKING NEWS" KAMA ZILE TULIZOZOEA KUZISIKIA KATIKA ARDHI YA MASHARIKI YA KATI?

(2) Njia ipi sahihi itumike katika matumizi ya maji ya mto Nile ili uhusiano miongoni mwa nchi za Africa uendelee kuwa mwema na imara??

WADAU KARIBUNI SANA KWA MICHANGO.

OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu katika andiko lako hili, BLITZKRIEG inakosa maana.

Blitzkrieg ni aina ya mashambulizi ya nguvu sana kwa kutumia vikosi vyote vya jeshi, iwe Airforce, Armoured Divisions na Infantry kwa nia ya kuteka sehemu na kuikalia.


Blitzkrieg is a term used to describe a method of offensive warfare designed to strike a swift, focused blow at an enemy using mobile, maneuverable forces, including armored tanks and air support. Such an attack ideally leads to a quick victory, limiting the loss of soldiers and artillery. Most famously, blitzkrieg describes the successful tactics used by Nazi Germany in the early years of World War II, as German forces swept through Poland, Norway, Belgium, Holland and France with astonishing speed and force.
 
Back
Top Bottom