jimmyfoxxgongo
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 5,352
- 9,329
Sema huyu jamaa simuaminigi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hichi nilichokiandika kina uongo upi mpaka usiniamini?Sema huyu jamaa simuaminigi kabisa
Muelezee vizur huyo nungunungu unaemzungumzia wewe yukoje physically??Mkuu nungunungu wanaishi ktk mashimo labda kama wana utofauti.
haHuyo ndiyo zake mdau!!
Anafiksi sanaaa!
Pitia thread zake! Janja mingi!
Also huko anaposema nimekaa lakin hata hilo shimo halipo achilia mbal kusema wanakula nungu nungu!!..
Me nimetokea polini mkuu japo now ni educated so ninaexperience na wanyama wengi ndio nungunungu ana miiba lkn hachimbi shimo na wala ukubwa wake hawezi kumzidi sungura hata siku moja mara nyingi nungunungu mkubwa size yake huweza fananishwa na simbirisi me naona ungeenda direct tu kwenye kilipuzi sio makona kwenye vitu ambavyo havimake senseSura yake (USO) ni kama Sungura ila anaukubwa zaidi ya Sungura na ana miiba na hupenda kula karanga shambani
Labda anamaanisha kalunguyeye.Daaah! Kwenye upande wa nungunungu me naona hili ni tango poli nungunungu hachimbi shimo bana anaechimba shimo ni fuko
Kwani mkuu simbilisi na nungunungu ni yupi mkubwa?Me nimetokea polini mkuu japo now ni educated so ninaexperience na wanyama wengi ndio nungunungu ana miiba lkn hachimbi shimo na wala ukubwa wake hawezi kumzidi sungura hata siku moja mara nyingi nungunungu mkubwa size yake huweza fananishwa na simbirisi me naona ungeenda direct tu kwenye kilipuzi sio makona kwenye vitu ambavyo havimake sense
Me nimetokea polini mkuu japo now ni educated so ninaexperience na wanyama wengi ndio nungunungu ana miiba lkn hachimbi shimo na wala ukubwa wake hawezi kumzidi sungura hata siku moja mara nyingi nungunungu mkubwa size yake huweza fananishwa na simbirisi me naona ungeenda direct tu kwenye kilipuzi sio makona kwenye vitu ambavyo havimake sense
Hawachimbi ila wanaishi katika mashimoMe nimetokea polini mkuu japo now ni educated so ninaexperience na wanyama wengi ndio nungunungu ana miiba lkn hachimbi shimo na wala ukubwa wake hawezi kumzidi sungura hata siku moja mara nyingi nungunungu mkubwa size yake huweza fananishwa na simbirisi me naona ungeenda direct tu kwenye kilipuzi sio makona kwenye vitu ambavyo havimake sense
Me nimetokea polini mkuu japo now ni educated so ninaexperience na wanyama wengi ndio nungunungu ana miiba lkn hachimbi shimo na wala ukubwa wake hawezi kumzidi sungura hata siku moja mara nyingi nungunungu mkubwa size yake huweza fananishwa na simbirisi me naona ungeenda direct tu kwenye kilipuzi sio makona kwenye vitu ambavyo havimake sense