1991-1994 Kijana mpole kutengeneza milipuko (bombs)& Bunduki hatimaye kushindwa kuishi ndoto zake

Sema huyu jamaa simuaminigi kabisa
Mkuu hichi nilichokiandika kina uongo upi mpaka usiniamini?
Maisha yana mengi ambayo watu huyapitia ingawa si wote hupitia magumu wengine huishi mteremko mpaka kiama na hawana chochote hii ni kutokana na uwezo wa mtu wa kufikiri.
 
Muelezee vizur huyo nungunungu unaemzungumzia wewe yukoje physically??
Sura yake (USO) ni kama Sungura ila anaukubwa zaidi ya Sungura na ana miiba na hupenda kula karanga shambani
 
Hahahaha
Huyo ndiyo zake mdau!!
Anafiksi sanaaa!
Pitia thread zake! Janja mingi!
Also huko anaposema nimekaa lakin hata hilo shimo halipo achilia mbal kusema wanakula nungu nungu!!..
ha
 
Huyo ndo impongo kwenye ubora wake.
All in all usirudie kutengeneza hivyo vitu, kwasasa hali si nzuri nchini
 
Sura yake (USO) ni kama Sungura ila anaukubwa zaidi ya Sungura na ana miiba na hupenda kula karanga shambani
Me nimetokea polini mkuu japo now ni educated so ninaexperience na wanyama wengi ndio nungunungu ana miiba lkn hachimbi shimo na wala ukubwa wake hawezi kumzidi sungura hata siku moja mara nyingi nungunungu mkubwa size yake huweza fananishwa na simbirisi me naona ungeenda direct tu kwenye kilipuzi sio makona kwenye vitu ambavyo havimake sense
 
Naona mnaelekezana kuelekea 26 ila angalieni msijeruhi tusiohusika kama mmeweza tengeneza hadi ya sufuria!!..
 
Huyo ndo impongo kwenye ubora wake.
All in all usirudie kutengeneza hivyo vitu, kwasasa hali si nzuri nchini
Mkuu kwa Tanzania ya viwanda si ndio yanafaa ili tujilinde
 
Kwani mkuu simbilisi na nungunungu ni yupi mkubwa?
 
 
Hawachimbi ila wanaishi katika mashimo
 
Simbilisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…