Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Je, wewe mwana JF ulikuwa wapi miaka karibu 19 iliyopita wakati wa michezo ya 100 ya Olimpiki?
Mimi bado naikumbuka hii michezo kama vile ilifanyika jana.
Moja ya matukio ambayo sitoweza kuyasahau maishani mwangu ni pale Muhammad Ali aliposhikilia kiwasha mwenge cha mwenge wa Olimpiki.
Mwili na mikono yake ilikuwa ikitetemeka na hofu yangu kubwa ilikuwa endapo atakidondosha hicho kiwasha mwenge.
Nadhani watu wengi walimwonea huruma sana lakini papo hapo walifurahishwa na ujasiri wake.
Mimi bado naikumbuka hii michezo kama vile ilifanyika jana.
Moja ya matukio ambayo sitoweza kuyasahau maishani mwangu ni pale Muhammad Ali aliposhikilia kiwasha mwenge cha mwenge wa Olimpiki.
Mwili na mikono yake ilikuwa ikitetemeka na hofu yangu kubwa ilikuwa endapo atakidondosha hicho kiwasha mwenge.
Nadhani watu wengi walimwonea huruma sana lakini papo hapo walifurahishwa na ujasiri wake.
Last edited by a moderator: