Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Mwaka 1998 nakumbuka nilikuwa nipo maeneo ya Kijitonyama mida ya saa 4 asubuhi hivi siku ya Ijumaa kama nitakuwa nakosea na ndio mara yangu ya kwanza kusikia bomu likilindima mpaka kutingisha ardhi.
Tuja kaa vizuri redio na tv zinaanza kutangazia umma kuwa kuna shambulio limetokea ubalozini mwa Marekani kabla kujapishana tunasikia tena Kenya nako hivyo hiyvo.
Tuje kwetu sasa kwa vile lile tukio lilikuwa kubwa na mambo kama haya yalikuwa mageni kwetu basi jeshi letu la polisi kuonesha wao wana weredi wa juu aisee yani watu waliopo Posta, Kinondoni, karibu na maeneo ya vituo vya polisi walibidi kukimbia ili wasije kukusanywa bila sababu.
Kuanzia Ijumaa mpaka FBI wanakuja vituo vyote vya polisi vilijaa kila aina ya watu ila wale jamaa walipokuja tu sijui walitumia mbinu gani kumpata chambo.
Mpaka leo sijui kama polisi wetu walishawai kuandika ili kuhusu walivyofanya
Tuja kaa vizuri redio na tv zinaanza kutangazia umma kuwa kuna shambulio limetokea ubalozini mwa Marekani kabla kujapishana tunasikia tena Kenya nako hivyo hiyvo.
Tuje kwetu sasa kwa vile lile tukio lilikuwa kubwa na mambo kama haya yalikuwa mageni kwetu basi jeshi letu la polisi kuonesha wao wana weredi wa juu aisee yani watu waliopo Posta, Kinondoni, karibu na maeneo ya vituo vya polisi walibidi kukimbia ili wasije kukusanywa bila sababu.
Kuanzia Ijumaa mpaka FBI wanakuja vituo vyote vya polisi vilijaa kila aina ya watu ila wale jamaa walipokuja tu sijui walitumia mbinu gani kumpata chambo.
Mpaka leo sijui kama polisi wetu walishawai kuandika ili kuhusu walivyofanya