1jz GTE ni injini yenye nguvu sana

1jz GTE ni injini yenye nguvu sana

Sana hasa ukute yenye twin turbo ni balaa na ifungwe kwenye gari ndogo kama Toyota Supra ni shida kama ushawahi kuiona Fast and Furious part 2 ipo hiyo Toyota Supra
Kaka ile chaser ya huyo muarusha ni twin turbo, nadhani hata yutong ataisoma namba pale maana mark x tu third generation imesanda pamoja na kwamba ina na 4GR engine.
 
3s hizi ziko tofauti kidogo na 3s za kwenye Noah au rav 4 za zamani hizi ni powered by yamaha
Sorry mkuu tupo kijiweni hapa kun mtu anasema Noah inakimbia kuliko ti na mark 2 maan anadai amepanda Noah inayosafirisha Magazeti ndo amepata kugundua hilo jambo mimi sio mtaalamu wa magari ila niliwahi kusafiri na mark 2 gx 110 dar - songea alikuwa anaendesha bro alinyanyasa mpaka mabasi je katika hili analosema huyu jamaa?
 
Ni kweli ila ukifunga 1jz au 2jz gte ni balaa nimeiona moja kuna jamaa wa team tezza kaifunga kwenye altezza yake yaani ni balaa
Ukiiweka kwenye Verossa ya 1G naamini itaongeza power,swali je,fuel consumption itakuaje? Itakua sawa na 1G ya cc1988?1JZ na 2JZ ina cc2500 au nayo ni 2000(1988?)
 
Hiyo chaser imefungwa 2jz gte halafu wameitune hiyo injini
Kuitune Engine hufanyikaje?
Kwa anaefaham,Engine hiyo ya 1JZ au 2JZ GTE, inapatikana pale Shauri Moyo Used? Na bei yake inaweza kusimama ngapi?
 
Sorry mkuu tupo kijiweni hapa kun mtu anasema Noah inakimbia kuliko ti na mark 2 maan anadai amepanda Noah inayosafirisha Magazeti ndo amepata kugundua hilo jambo mimi sio mtaalamu wa magari ila niliwahi kusafiri na mark 2 gx 110 dar - songea alikuwa anaendesha bro alinyanyasa mpaka mabasi je katika hili analosema huyu jamaa?
Noah inakimbia kuliko ti lakini sio kuliko mark 2 hii ni kutokana na performance ya injini za hizo gari ambazo ni tofauti kabisa
 
Ukiiweka kwenye Verossa ya 1G naamini itaongeza power,swali je,fuel consumption itakuaje? Itakua sawa na 1G ya cc1988?1JZ na 2JZ ina cc2500 au nayo ni 2000(1988?)
Fuel consumption ya 1jz yenye cc 2500 inaweza ikalingana kidogo hasa yenye vvt-i ila 2jz haiwezi kulingana kwani ina cc 3000 na performance yake ni balaa
 
Kuitune Engine hufanyikaje?
Kwa anaefaham,Engine hiyo ya 1JZ au 2JZ GTE, inapatikana pale Shauri Moyo Used? Na bei yake inaweza kusimama ngapi?
Kuna wachina wanazifunga hizo injini wapo mikocheni pamoja na kutune hizo injini zipo Shauri moyo zilikuwa zinapatikana hadi kwa 1.5m ila sasa hivi wameshaziona zina deal wamepandisha bei
 
Fuel consumption ya 1jz yenye cc 2500 inaweza ikalingana kidogo hasa yenye vvt-i ila 2jz haiwezi kulingana kwani ina cc 3000 na performance yake ni balaa
Ok,nashukuru kwa ufafanuzi
 
Kuna wachina wanazifunga hizo injini wapo mikocheni pamoja na kutune hizo injini zipo Shauri moyo zilikuwa zinapatikana hadi kwa 1.5m ila sasa hivi wameshaziona zina deal wamepandisha bei
Nakushukuru mkuu hasa kwa kunitajia bei pale Shaurimoyo.
Samahani maswali mawili madogo ya Nyongeza:-
1. Kuitune ni kuifanya nini Engine,na ikishafanyika,nini huongezeka?
2. Gharama za kuitune kwa Wachina ni bei gani.
Nina kigari changu kina Engine ya 1G-FE(1988-cc), naona kama niibadilishe kama bei za hiyo 1JZ kutune na kuinunua ziko affordable.
 
3s hizi ziko tofauti kidogo na 3s za kwenye Noah au rav 4 za zamani hizi ni powered by yamaha
za kwenye Rav 4 ni 3s fe. ni kavu
za altezza ni 3s ge dual vvti Inanguvu sana hii ni kubwa kuliko 1g fe ya verossa ..3s ge 4 cylinder ina bwia oil 5.5 litre wakati 1g fe 6 cylinder ina bwia litre 4 tu...
 
Sorry mkuu tupo kijiweni hapa kun mtu anasema Noah inakimbia kuliko ti na mark 2 maan anadai amepanda Noah inayosafirisha Magazeti ndo amepata kugundua hilo jambo mimi sio mtaalamu wa magari ila niliwahi kusafiri na mark 2 gx 110 dar - songea alikuwa anaendesha bro alinyanyasa mpaka mabasi je katika hili analosema huyu jamaa?
noah ina shea injini na rav 4 ya zamani..injini yake haina nguvu kama 1g fe ya mark 2..
ni dereva tu hakuamua kumtoroka
 
Ukiiweka kwenye Verossa ya 1G naamini itaongeza power,swali je,fuel consumption itakuaje? Itakua sawa na 1G ya cc1988?1JZ na 2JZ ina cc2500 au nayo ni 2000(1988?)
1g fe ni 1.9 litre centimeter cubic
2jz ni 2.5 litre centimeter cubic

kwaio lazima consuption iongezeke
 
Back
Top Bottom