Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi naikibali forester mzee model kama ya kwenye avatar yangu...Mimi ni mpenzi wa SUBARU LEGACY, bado sina gari, ila napenda hii gari iwe gari yangu ya kwanza.
Upo sahihi2JZ ni kubwa ya 1jz
Asante mkuu kwa ufafanuzi...Noah inakimbia kuliko ti lakini sio kuliko mark 2 hii ni kutokana na performance ya injini za hizo gari ambazo ni tofauti kabisa
Sawa mkuu swali la nyongeza kwa hiyo ukiwa mtu wa kusafiri mara kwa mara ni vyema uchukue mark 2 gx 110 kuliko noah?noah ina shea injini na rav 4 ya zamani..injini yake haina nguvu kama 1g fe ya mark 2..
ni dereva tu hakuamua kumtoroka
Na je ulaji wa mafuta noah ukoje(ol model) na mark 2 gx 110 ukoje?...ipi inadumu zaidi kutokna n mabarabara zetu?..nawasilishanoah ina shea injini na rav 4 ya zamani..injini yake haina nguvu kama 1g fe ya mark 2..
ni dereva tu hakuamua kumtoroka
ndo maana akeSawa mkuu swali la nyongeza kwa hiyo ukiwa mtu wa kusafiri mara kwa mara ni vyema uchukue mark 2 gx 110 kuliko noah?
kwa maaana ya body noah inavumiliaNa je ulaji wa mafuta noah ukoje(ol model) na mark 2 gx 110 ukoje?...ipi inadumu zaidi kutokna n mabarabara zetu?..nawasilisha
Asnt mkuukwa maaana ya body noah inavumilia
ulaji wa mafuta karibia sawa tu...
Pa1 mkuundo maana ake
Sawa mkuuMi ningekushauri uchukue noah sbb inavumilia sana na iko kikazi zaidi kuliko mark 2
Hiyo ni engine ya kawaida kwenye saloon car nyiingi hasa mark II au chaser,ni 6 cyclinder roho ya paka hii aina turboIle ya Verossa cc2500 ya D4 ni kama hiyo? Maana kuna 1G-FE ya Verossa pia lakini ina cc1988.
Inapatikana kwdnye gari gani na gan za toyota
Yaani bongo watu wanaongelea sijui mark x, brevis, verosa, mark II, Subaru, hao wanaendesha alteza sasa utafikiri wanaendesha Nissan GTR kumbe sedan ya kawaida tu kelele nyingi gari iko hapohapo. Huwa nacheka sana road wakianza ligi zao za kitoto....Wadau kuna mtu yyte ana jua Toyota Prius yoyote inayouzwa used apa town?????