2/3 of Africans have no toilets!

2/3 of Africans have no toilets!

kuna rafiki yangu mmoja nilipomueleza kuhusu ishu hii akasema hizo statistics mbona siyo ajabu!, jamaa anadai anakumbuka enzi hizo anasoma skuli, vyoo vyao vilikuwa haviendeki, ukiingia chooni lazima uvue shati otherwise ukitoka tu shati lote linanuka kinyesi,jamaa akadai kulikuwa kuna kichaka near by huko ndo wanafunzi walipokuwa wanashusha haja zao, jamaa anadai tena sometimes mnakutana wengi na stori mnapiga kama kawaida huku mkishusha mambo

Mwulize jamaa yeyote aliyesoma Rungwe secondary school miaka ya 80.

Ulikuwa unaweza kwenda kulia msosi chooni na wala hata usipate taabu. Shule nzima ilikuwa safi, ilikuwa wajibu wa kila mwanafunzi kuhakikisha shule yote ni safi. Kulikuwa na mwalimu tulikuwa tunamwita Hitler, alitufundisha wote nini maana ya usafi. Ingawaje tulimlaumu sana wakati ule, lakini somo lake linaendelea kutusaidia wengine mpaka leo.

Nikaingia baadaye mlimani, vyoo vichafu, afadhali kwenda kichakani. Kama wanafunzi wa secondary wamefanikiwa kutengeneza mazingira yao kwanini wasomi wa mlimani washindwe?

Pale hakukuwa na ubunifu wowote, tulikuwa tunasubiri wasafisha vyoo mpaka waje hata kama ni baada ya siku nne. Watu kama nane tulikuwa tunashindwa kusafisha na kutengeneza mazingira ya choo chetu kimoja. Hapo kweli tulikuwa na haki ya kuilaumu serikali?

Ukipita wizara mbalimbali TZ, hali ya vyoo inatisha, why? Ukishindwa ku manage choo, utaweza ku manage mambo yote ya wizara?
 
Mwulize jamaa yeyote aliyesoma Rungwe secondary school miaka ya 80.

Ulikuwa unaweza kwenda kulia msosi chooni na wala hata usipate taabu. Shule nzima ilikuwa safi, ilikuwa wajibu wa kila mwanafunzi kuhakikisha shule yote ni safi. Kulikuwa na mwalimu tulikuwa tunamwita Hitler, alitufundisha wote nini maana ya usafi. Ingawaje tulimlaumu sana wakati ule, lakini somo lake linaendelea kutusaidia wengine mpaka leo.

Nikaingia baadaye mlimani, vyoo vichafu, afadhali kwenda kichakani. Kama wanafunzi wa secondary wamefanikiwa kutengeneza mazingira yao kwanini wasomi wa mlimani washindwe?

Pale hakukuwa na ubunifu wowote, tulikuwa tunasubiri wasafisha vyoo mpaka waje hata kama ni baada ya siku nne. Watu kama nane tulikuwa tunashindwa kusafisha na kutengeneza mazingira ya choo chetu kimoja. Hapo kweli tulikuwa na haki ya kuilaumu serikali?

Ukipita wizara mbalimbali TZ, hali ya vyoo inatisha, why? Ukishindwa ku manage choo, utaweza ku manage mambo yote ya wizara?

Naam, ndiyo hicho ninachokisema. Hao wanafunzi wa Rungwe hawakuibuka tu kutunza vyoo, ilibidi administration na walimu kama 'Hitla' wajitume ndiyo hali hiyo unayoisifia ilipowezekana. Sidhani kama wangeachiwa wanafunzi wenyewe wangefanikiwa. Hata uingereza walikuwa wanatupa choo barabarani hadi hapo zilipotungwa sheria kali baada ya wimbi la magonjwa. Bila uongozi kuwajibika na kuonyesha nia ya kutatua tatizo hili hakuna kitakachopatikana. Si chuo kikuu wala huko mitaani tunakoishi!

Huko maofisini, kinachotokea ni viongozi ama kujitengenezea self konteina au kutengewa vyoo vyao ambako ndoo za maji zimejazana kama kuna tatizo la maji. Wafanyakazi wengine walie tuu!
 
Miaka 46 baada ya uhuru 90% ya wananchi wanatumia pit latrines achilia mbali huko mikoani hapa hapa Dar - Kariakoo ni nyumba ngapi vyoo vimejaa maji all year round na ukienda ni lazima uruke viunzi?

Je, ni wangapi wako tayari kurudi bongo na kuanza kuwafundisha watoto wao kutumia vyoo vya kuchuchumaa let alone hapa Kariakoo kuruka viunzi?
 
Miaka 46 baada ya uhuru 90% ya wananchi wanatumia pit latrines achilia mbali huko mikoani hapa hapa Dar - Kariakoo ni nyumba ngapi vyoo vimejaa maji all year round na ukienda ni lazima uruke viunzi?

Je, ni wangapi wako tayari kurudi bongo na kuanza kuwafundisha watoto wao kutumia vyoo vya kuchuchumaa let alone hapa Kariakoo kuruka viunzi?

Mtalonga weeee....mtaweka kila kitu kwenye context, mta-break down meaning, mtafilosofai kila kitu na mengine mengi....ukweli uko pale pale Sisi Ndivyo Tulivyo!!!
 
Miaka 46 baada ya uhuru 90% ya wananchi wanatumia pit latrines achilia mbali huko mikoani hapa hapa Dar - Kariakoo ni nyumba ngapi vyoo vimejaa maji all year round na ukienda ni lazima uruke viunzi?

Je, ni wangapi wako tayari kurudi bongo na kuanza kuwafundisha watoto wao kutumia vyoo vya kuchuchumaa let alone hapa Kariakoo kuruka viunzi?

Dua,

Mimi wanangu wanarudi mpaka kwetu kule kijijini. Wataenda kwenye vyoo vya kuchuchumaa, ila ni visafi hata kama viko nje.

Mimi niliamua toka nilipotoka Rungwe kwamba kukaa kwenye mazingira machafu, ni uzembe wa akili wala huhitaji dola kutengeneza mazingira yako.

Kwa hilo potelea mbali nitumie lugha kali lakini mimi nikiangalia mazingira machafu kwenye baadhi ya maeneo ya waheshimiwa, kichwani kinapata kizunguzungu. Kama unashindwa ku solve suala la choo chako na wanao, hivi kweli wewe unafaa hata kuwa katibu wa kijiji?

Kunahitaji pesa ngapi kutengeneza mazingira ya maana kwenye vyoo vya humo maofisini mwenu?
 
Naam, ndiyo hicho ninachokisema. Hao wanafunzi wa Rungwe hawakuibuka tu kutunza vyoo, ilibidi administration na walimu kama 'Hitla' wajitume ndiyo hali hiyo unayoisifia ilipowezekana. Sidhani kama wangeachiwa wanafunzi wenyewe wangefanikiwa. Hata uingereza walikuwa wanatupa choo barabarani hadi hapo zilipotungwa sheria kali baada ya wimbi la magonjwa. Bila uongozi kuwajibika na kuonyesha nia ya kutatua tatizo hili hakuna kitakachopatikana. Si chuo kikuu wala huko mitaani tunakoishi!

Huko maofisini, kinachotokea ni viongozi ama kujitengenezea self konteina au kutengewa vyoo vyao ambako ndoo za maji zimejazana kama kuna tatizo la maji. Wafanyakazi wengine walie tuu!

Fundi Mchundo,

Hitla aliondoka na bado Rungwe iliendelea kuwa safi kwa miaka mingi baadaye. Somo tulilopata mara moja liliingia kichwani na tukaendeleza mafanikio.

Hivi Watanzania wote wasomi, tunataka tufundishwe mara ngapi kwamba vyoo
kuvuja mitaani ndio mwanzo wa magonjwa kibao?

Kwa kweli mimi haiingii kichwani hasa ninapoona sehemu za maana TZ lakini ukienda vyooni, ni balaa tupu, why?
 
Fundi Mchundo,

Hitla aliondoka na bado Rungwe iliendelea kuwa safi kwa miaka mingi baadaye. Somo tulilopata mara moja liliingia kichwani na tukaendeleza mafanikio.

Hivi Watanzania wote wasomi, tunataka tufundishwe mara ngapi kwamba vyoo
kuvuja mitaani ndio mwanzo wa magonjwa kibao?

Kwa kweli mimi haiingii kichwani hasa ninapoona sehemu za maana TZ lakini ukienda vyooni, ni balaa tupu, why?

Mtanzania!
Ina bidi mtu aanzishe na asimamie mpaka utamaduni unapobadilika. Ndivyo alivyofanya huyo Hitla. Huo ndio uongozi. Ingekuwa kila mahali viongozi wanaongoza namna hiyo hali ingebadilika. tatizo tumekuwa wabinafsi mno kwa kujiangalia wenyewe bila kujua kuwa wote tunakuwa tainted na hali hii.
 
And then some people have the nerve to hide under 'utamaduni wetu'
 
Mtanzania!
Ina bidi mtu aanzishe na asimamie mpaka utamaduni unapobadilika. Ndivyo alivyofanya huyo Hitla. Huo ndio uongozi. Ingekuwa kila mahali viongozi wanaongoza namna hiyo hali ingebadilika. tatizo tumekuwa wabinafsi mno kwa kujiangalia wenyewe bila kujua kuwa wote tunakuwa tainted na hali hii.

Sasa kwa nini usigombee wewe huo uongozi? Kazi kulalama tu...oooh viongozi wetu hivi....viongozi wetu vile.
 
Sikuanza kuchangia hoja hii kwako! Don't flatter yourself.

Kwa nini umenijibu kwa kuninukuu?
Nakushauri uache kuninukuu na kujibu chochote ninachobandika hapa
FYI I'm rather disgusted by you quoting and responding to my comment than flattered!
 
N,N.
Unajuaje kuwa mimi sio kiongozi? Kwa vile najiita Fundi Mchundo?

Soma tena ulichoandika utaona mwenyewe kuwa wewe sio kiongozi kwa sababu ungekuwa kiongozi usingesema mnaangalia matumbo yenu wenyewe au uniambie unakiri kuwa kama wewe ni kiongozi basi hufai kwa sababu unaangalia tumbo lako mwenyewe...d'uuuhhhh!!! That was a no brainer
 
Dua,

Mimi wanangu wanarudi mpaka kwetu kule kijijini. Wataenda kwenye vyoo vya kuchuchumaa, ila ni visafi hata kama viko nje.

Mimi niliamua toka nilipotoka Rungwe kwamba kukaa kwenye mazingira machafu, ni uzembe wa akili wala huhitaji dola kutengeneza mazingira yako.

Kwa hilo potelea mbali nitumie lugha kali lakini mimi nikiangalia mazingira machafu kwenye baadhi ya maeneo ya waheshimiwa, kichwani kinapata kizunguzungu. Kama unashindwa ku solve suala la choo chako na wanao, hivi kweli wewe unafaa hata kuwa katibu wa kijiji?

Kunahitaji pesa ngapi kutengeneza mazingira ya maana kwenye vyoo vya humo maofisini mwenu?

Ubinafsi ndio unatuangusha, angalia EL, Karamagi, RA etc. wanaangalia matumbo yao. Kila anayejenga bongo anataka kuwa na septic and sewer tank yake, tuondokane na hilo tuwe na centralised system ambayo ndio itakuwa nyenzo ya kuleta usafi kwa ujumla. Mikoani na vijijini haina neno.
 
Soma tena ulichoandika utaona mwenyewe kuwa wewe sio kiongozi kwa sababu ungekuwa kiongozi usingesema mnaangalia matumbo yenu wenyewe au uniambie unakiri kuwa kama wewe ni kiongozi basi hufai kwa sababu unaangalia tumbo lako mwenyewe...d'uuuhhhh!!! That was a no brainer

Kwenye hilo la kuwa kiongozi mbovu (kama kweli mimi ni kiongozi) ninakiri uko sahihi. Kuna mahali nimesema 'tuko wabinafsi mno.....' No brainer kweli maana hata Nyani ameliona.

Kwa bahati mbaya hauna ubavu wa kunizuia kkunukuu kama vile nisivyo na ubavu wa kukuzuia wewe kuninukuu. Ndizo adha za www, hata mafundi mchundo wanaweza kujidai. Na kujifanya viongozi na watu kuamini.
 
Kwa nini umenijibu kwa kuninukuu?
Nakushauri uache kuninukuu na kujibu chochote ninachobandika hapa
FYI I'm rather disgusted by you quoting and responding to my comment than flattered!

Haukunielewa nilikuwa na maana gani! Kiingereza cha zamani hicho.

Sasa kama unaushauri kuhusu mada hii.........?
 
Kwenye hilo la kuwa kiongozi mbovu (kama kweli mimi ni kiongozi) ninakiri uko sahihi. Kuna mahali nimesema 'tuko wabinafsi mno.....' No brainer kweli maana hata Nyani ameliona.

Kwa bahati mbaya hauna ubavu wa kunizuia kkunukuu kama vile nisivyo na ubavu wa kukuzuia wewe kuninukuu. Ndizo adha za www, hata mafundi mchundo wanaweza kujidai. Na kujifanya viongozi na watu kuamini.

Unachekesha kweli wewe.....you are the latest inductee in my ignore list.
 
Back
Top Bottom