20 bora ya wanamuziki matajiri nchini Nigeria

20 bora ya wanamuziki matajiri nchini Nigeria

Hivi bracket ni wasanii wa nchi gani?
d35b31f7a3ace7b4676614d2412d1782.jpg


-Nyerere-
 
Uzi unauhusiano upi na ulichokomenti? Eti na likes umepata! Kweli kale kautafiti naanza kukaelewa sasa.
We ndo hujaelewa nayaonekana nimmoja wapo kati yawale watz wa4 jifunze kufikiri nje yabox
 
We ndo hujaelewa nayaonekana nimmoja wapo kati yawale watz wa4 jifunze kufikiri nje yabox
Wee ndio ujifunze kwanza kuweka nafasi kati ya neno na neno.
Kichwa cha habari kipo clear kabisa halafu mtu anahoji ni kwa nini msanii wa kibongo hayupo kwenye list na wewe unakuja na nje ya box yako hapa.
Nje ya box my foot.
 
Kuna mtu mwaka jana alisema ice prince ni underground [emoji23][emoji23][emoji23]. Ila yaliyopita si ndwele tugange yajayo.

kumbe phyino anamkwanja eeeh
Haha aise ..ice prince underground?
 
Aiseee P2 ni noma!Ndio nini kuwaacha wenzao gape kubwa hivyo?
Ila nimefurahi kwa Mr. Flavour... Jamaa namkubali na kumuelewa sana.
Mbona Tekno hayupo jamani?Au ndio bado underground? [emoji86]
Best, Tecno nadhani yuko mbioni atachomoza tu kwa single kali anazotoa na pia akizidi kusaini mikataba minono na makampuni
 
Kwa mfano supastaa wetu DIAMOND angekuwa ni m nigeria, ange fall kwenye # ngapi ndani ya hio list
Walisema kwamba ana utajiri wa bilioni 8 za kitanzania ...
sasa hapo naona angeingia namba 11 baada ya tiwa savage
 
Back
Top Bottom