Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alibebwa tu, hamna kitu hapo zaidi ya bangi.
Kipaji mile, ukisikiliza Neema, Binti Kimanzi ns Money, anaesema alibebwa hamtendei haki na bado kuna mwaka alichukua tuzo kadhaa za KTMA kwa usiku mmoja huku ukumbi ukirindima na vifijo kuashiria wamekubaliana na ushindiKama kweli alibebwa binafsi nampongeza kwa kubebeka💪
Bangi, pombe na cocaine ni mambo yanayoua ndoto za vijana wengi sana
Swala langu tunampata wapi ili tumbebe tena aendelee kutupatia burudani???
Sio bangi sema bangeAlibebwa tu, hamna kitu hapo zaidi ya bangi.
Hivi mi Nina nuksi gaaaniAlibebwa tu, hamna kitu hapo zaidi ya bangi.
Kwa ushindani wa nyimbo wanazotoa vijana sasa hv, nyimbo zake hazitakuwa na mvuto tena...
Akina juma nature, inspecta, qchira, chid na wakele wengine kila wakijaribu game inawakataa ...wafanye mambo mengine tu.
Aina ya mziki uliyokuwa ukiimbwa nyuma wakiimba sahv hazivumiKwa ushindani wa nyimbo wanazotoa vijana sasa hv, nyimbo zake hazitakuwa na mvuto tena...
Akina juma nature, inspecta, qchira, chid na wakele wengine kila wakijaribu game inawakataa ...wafanye mambo mengine tu.
Sahv hata,wanachoimba hakielewekiNyimbo zake zinakubalika kwa nafasi yake
Sio lazima wote wafanane ndio wakubalike
Kwann hua inaitwa bange
Mwenye taarifa za huyu mwamba yuko wapi, anafanya nini siku hizi tafadhali
Mmekupenda Bure dadaKama kweli alibebwa binafsi nampongeza kwa kubebeka[emoji123]
Bangi, pombe na cocaine ni mambo yanayoua ndoto za vijana wengi sana
Swala langu tunampata wapi ili tumbebe tena aendelee kutupatia burudani???
Bangi haina tatizoKama kweli alibebwa binafsi nampongeza kwa kubebeka💪
Bangi, pombe na cocaine ni mambo yanayoua ndoto za vijana wengi sana
Swala langu tunampata wapi ili tumbebe tena aendelee kutupatia burudani???