20 Percent Nyota kubwa ya Muziki wa Kitanzania inayopotea

20 Percent Nyota kubwa ya Muziki wa Kitanzania inayopotea

Alikuwa mtu na nusuSema kitabu cha zama kimemfunika.
Tupo kipindi cha generation Alpha kinachopenda amapiano kinaishia 2024/2025 kuanzia 2025/2026 itaingia generation nyingine itakayoenda kufanya mengine kwa hio Mambo hayabaki vile vile na kila baada ya miaka kinakuja kizazi kipya.

Usiwaone wanajiweka km wehu wehu au wanaimba kiwehuwehu ukawaona wehu wanaangalia na wateja wao wanahitaji nini ambao ni wengi generation Alpha wanataka nini subiri ipinduke 2025 utaelewa jambo itaibuka generation nyingine mpya kabisa.

20 per ni generation X ambae alipendwa na generation Y walipokuja generation Z wakamtoa kwenye reli hawezi kurudi hata IWEJE maana sasa ni kipindi cha generation Alpha ambao wengi wao hawakuwepo kipindi chake.

Akitoka generation Alpha anakuja generation Beta kuanzia 2025 mpaka 2039 huyu sasa ndio anakuja kupinduapindua yote yaliyofanywa na generation Z & Alpha na kutengeneza vya kwake yeye na wenzake.

Kinachotokea wengi ambao ni generation Y wanajua kuwatambua generation Alpha (mtoto wa generation Y) wanataka nini Ila akiingia generation Beta (mtoto wa generation Z) Mambo hayatokua rahisi hata generation Y asipokua makini anaweza akatolewa kwenye reli na generation Beta km ambavyo generation Alpha (mtoto wa generation Y) alivyomtoa kwenye reli generation X (20 per).

Generation Y na generation Alpha ni baba na mtoto ndio kipindi hiki wanatamba mpaka 2024/2025.

Akiingia generation Beta mtoto wa generation Z Mambo hayatokua hivi yatabadirika zaidi.

Akitoka generation Beta anakuja generation Gama mtoto wa generation Alpha.

Akitoka generation Gama anakuja generation Delta huyu ni mtoto wa generation Beta.
 
Back
Top Bottom