200 Mil biashara gani ya kunilipa fasta

200 Mil biashara gani ya kunilipa fasta

Mpunu.... Kuna kitu kimoja lazima ukifahamu, ukishindwa kufanya research sahihi juu ya aina ya wazo lolote, tegemea kufail kwa asilimia 95, hakuna experience inayofaa kuigwa zaidi ya ile ya kwako, kwa wengine tunajifunza tu.
Unasema kawaida sana eti biashara ya kulipa fasta fasta. Hakuna biashara ya kulipa fasta fasta duniani, there's a price for everything what u see, huyo bank mwenyewe anayekukopesha alitengeneza mfumo uliomgharimu muda, fedha, dharau, kebehi na vyote uvijuavyo still aliamini katika mfumo fulan.....
Think twice bro
 
Benki ya kukupa pesa hiyo bila ya kuwa na biashara kwanza ni jipu, maanake kama ni mkopo wa biashara benki inakupa ili kuongeza katika mtaji wa biashara yako na si vinginevyo. Hata kama una nyumba ya mil 200, bila biashara yoyote benki hawawezi kukupa mkopo, kwani lengo la mkopo ni kuendeleza biashara na si kuanzisha biashara. Dhamana inakuwepo tu kulinda mkopo uliochukua na si nia ya benki kuchukua dhamana yako.
 
nunua eneo ekar 5 utapata kwa 130ml then ukata viwanga vya kutoka kimoja 5ml ha.po unapata kama viwanga 50 ndan ya miez mitano ukivipromot vizur unamaliza ni vikindu nicheki
 
Hiyo benki iliyo kupa huo mkopo nayo ni jipu, inafaa itumbuliwe.
 
nunua eneo ekar 5 utapata kwa 130ml then ukata viwanga vya kutoka kimoja 5ml ha.po unapata kama viwanga 50 ndan ya miez mitano ukivipromot vizur unamaliza ni vikindu nicheki

Duuh kwahiyo hekari moja inauzwa kwa 26m. na hiyo ekari moja inatoa viwanja 10???hebu mueleweshe vizuri ndani ya eka tano anatoaje plot 50? kumbuka lazima pawe na njia ...
 
Huwezi kupewa mkopo na benki kama huna biashara.

Hapa tunadanganyana.
 
Usichukue mkopo ukafaya biashara ndugu utalia ooohooo, sahiv biashara nyingi zinaanguka kutokana Na kuanguka kwa uchumi WA nchi yetu kwa kiasi kikubwa, au Kama vip chukua ml. Kumi nunua hisa basi
 
Nina nyumba ambayo bank wamekubali kunikopesha million 200, je ni biashara gani itakayo nilipa fasta yaani zaidi ya mil 10 kwa mwezi!

Ndugu yangu nimepitia mawazo ya wachangiaji wooote pamoja na uzoefu wangu kwenye biashara (25+ yrs)
HAKIKA SIJAONA WAZO SAHIHI KWAKO kama ulivyojieleza pia sijaona wazo linalolipa hata kama si mkopo kwa kiwango cha 18%-20% kwa mwaka ila kuna ushauri mzuri sana nakushauri wafuatilie wakufafanulie zaidi

1. KISIMA nimekubali ushauri wake 2. BUSHLAND Pia ameongelea uhalisia wa uchumi wetu kwa sasa ni KWELI.

NOTE: Sina nia ya kukukatisha tamaa ila kama uko tayari kumeza hiyo RISK by 80% iko wazi au KUCHEZA KAMALI ya pata potea (hiyo sio biashara) JARIBU
 
Mimi nimeweka hela kama hizo fixed deposit nakula kwa ulaini sana. Kwa mwaka sikosi 30m.
Ivi ukiweka fixed deposit,iyo interest unachukua kila mwezi au hadi matured date ya fixed deposit kama ni mwaka umeweka kwa mwaka utachukua baada ya mwaka?
 
Ivi ukiweka fixed deposit,iyo interest unachukua kila mwezi au hadi matured date ya fixed deposit kama ni mwaka umeweka kwa mwaka utachukua baada ya mwaka?
uwongo huo, 200 million huwezi pewa riba ya 30 million,
hiyo ukiiweka bank hata riba yake haizidi million 20, hapo ni kwa benk ya riba nzuri kuliko zote
 
Nina nyumba ambayo bank wamekubali kunikopesha million 200, je ni biashara gani itakayo nilipa fasta yaani zaidi ya mil 10 kwa mwezi!

Unahitaji Sh milioni 50 tu kwenye hizo hela kununua uniti 757 za Cashback Marketing kwa bei ya USD 30 Kwa kila uniti ili uweze kupata kipato cha zaidi ya milioni 10 kwa mwezi kwa sababu utalipwa daily cashback ya 1% inayotumika kwa sasa ambayo kwa hela hizo utakazonunulia uniti za Cashback Marketing basi utakuwa unapata TZS 450,000 kila siku ambayo ni sawa na TZS 13,500,000 kwa mwezi.

Hivyo badala ya kuziweka hela zote hizo kwenye mradi mmoja, fikiria kutenga TZS milioni 50 ununue uniti za CBM zikupatie kipato hicho cha zaidi ya TZS milioni 10 kwa mwezi na zilizobaki (TZS milioni 150) uwekeze kwenye mradi mwingine utakaoamua baada ya kupata ushauri hapa.

Tuwasiliane kwa namba hii 0772 977 330 au 0658 977 330 kwa maelezo ya ana kwa ana au tupange kukutana ofisini kwangu. Ofisi ipo Makumbusho Bus Terminal & Shopping Complex, Block A, Ghorofa ya kwanza, chumba No. FF-04.

Kwa maelezo zaidi kuhusu aina hii mpya ya ujasiriamali kwa kutumia bidhaa ya kimataifa inayokupatia cashback kila siku, fungua blogs zangu hizi kwa maelezo zaidi:

 
Milioni 200 unajenga minengo mitatu kama alivyosema The Boss ukishindwa kurejesha mkopo wataipiga mnada nyumba yako uliyoweka dhamana na wewe utabakiwa na tatu ulizojenga kwa mkopo wao.
 
Ndio maaana biashara huwa hazifiki mwisho maaana watu wanakopa bila kujua nini watafanya
 
Nina nyumba ambayo bank wamekubali kunikopesha million 200, je ni biashara gani itakayo nilipa fasta yaani zaidi ya mil 10 kwa mwezi!
Rekebisha Kwanza isomeke hiv:
Nina nyumba ya urithi ................ ..






Ushauri ndugu zako wanajua usije wauzia ndan?
 
Back
Top Bottom