Unapambana kutengeneza empire for years af anakuja tu mwanasihasa from no where anavunja kila kitu.. THIS IS AFRICA
Africa hatuendelei kwasababu tunavisasiDuh. Ayseee
zuwena soma hapa[emoji116]Mashoga mnakaszi sana
Twende kazi Konk konk
Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
wapi wewe huyo alikuwa muuaji wa chinichiniUtaambiwa JK alikua na upendo na hakuwa mtu wa visasi,teh teh
Vipi kuhusu wewe marinda yako yalinusurika kufumuliwa na uyo Merey Balhabou mshikaji wako wa siku nyingi sana?Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
Mbgala market=african lyonMkuu azam united, sio ambayo ilikuwa inaitwa mbagala market? Baada ya kununuliwa ndio ikaitwa azam FC!!!
Mbgala market=african lyonMkuu azam united, sio ambayo ilikuwa inaitwa mbagala market? Baada ya kununuliwa ndio ikaitwa azam FC!!!
Naongezea , Wakati ule Mzee wa msoga na Raifikiye lowasa walipiga simu kwa Merey Balhbou kuomba msaada wa kifedha kabla jina la Muungwana halijapita , Merey aliwachijia baharini na Bahati mbaya au nzuri simu haikukata Merey akaendelea na mazungumzo upande wa pili na jamaa zake akiwaponda sana Muungwana na Nywele nyeupeAnaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!
Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!
Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)
Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!
Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Mnafiki tu yule mzee simpendi abadani".. yeye na lodilofa ndio waliotuachia hili zimwi linalo tutafunaUtaambiwa JK alikua na upendo na hakuwa mtu wa visasi,teh teh
Acha kabisa "... palikuwa na yule dogo anayechezea moro kids . ilikuwa ni balaa "... hivi huyo barabuu sasa hivi yuko wapi !?Watoto wa Balabohou wame tutesa sana na madinga yao waliokuwa wanakuja nayo shuleni pale Forest Hill daily ni kubadilishana ndinga
Mbagala market ya Samatta iliuzwa kwa Zamunda ndio hii inatiwa African Lyon, Azam ilianzia chini huko mpaka kupanda daraja kama alivyoeleza mchangiaji hapo juu.Mkuu azam united, sio ambayo ilikuwa inaitwa mbagala market? Baada ya kununuliwa ndio ikaitwa azam FC!!!
Nahisi atakuwa nje za nchi nackia alipoona anakaribia kufilisika kwa hujuma aliiuza kila kitu km kurudi labda awamu hiiAcha kabisa "... palikuwa na yule dogo anayechezea moro kids . ilikuwa ni balaa "... hivi huyo barabuu sasa hivi yuko wapi !?
Aisee alivuma sana enzi zake " pia niliwahi kusikia kwamba kuna deal chafu alikuwa anazipiga na tibaiganaNahisi atakuwa nje za nchi nackia alipoona anakaribia kufilisika kwa hujuma aliiuza kila kitu km kurudi labda awamu hii
Mkuu baro umeeleezea vizuri sana na huo ndio ukweli wa nini kilijitokeza 2005 pale Morogoro! Nakumbuka wakati Nyumba ya Merey pale Nunge karibu na JUWATA inawaka moto... yule ndugu yake Balozi alikuwa ndani analia tu... si mapot wala fire waliopokea simu za Merey!Naongezea , Wakati ule Mzee wa msoga na Raifikiye lowasa walipiga simu kwa Merey Balhbou kuomba msaada wa kifedha kabla jina la Muungwana halijapita , Merey aliwachijia baharini na Bahati mbaya au nzuri simu haikukata Merey akaendelea na mazungumzo upande wa pili na jamaa zake akiwaponda sana Muungwana na Nywele nyeupe. Merey alikuwa kwa sumaye na Muungwana alipofika Morogoro alipokelewa na kukirimiwa vizuri sana na Prof Ishengoma aliyekuwa Mayor wa Morogoro (2005-2010) , pamoja na mkewe Mama , Dr Christina ishengoma , now mbunge wa viti maalum mkoa wa Morogoro. Kama ni mfanyabiashara nakushauri usishadadie siasa hasa za Ccm kwenye mchakato wa kuchagua Rais ,maana ambao humjua Rais ajae nchini huwa hawafiki hata 10, ni deep deep state. Yaliyomkuta ,Merey ,Prof Mahalu ,Mashishanga na wengineo ndio visasi vya siasa. Katika kundi la mashishanga alipona Daniel ole njoolay aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza , huyu alitetewa na Lowasa sababu ya umasai wake na akatpwa kuwa RC Rukwa
Hakika bado unakumbu kumbu mbichi kabisaAnaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)
Wandewa kitamboMkuu baro umeeleezea vizuri sana na huo ndio ukweli wa nini kilijitokeza 2005 pale Morogoro! Nakumbuka wakati Nyumba ya Merey pale Nunge karibu na JUWATA inawaka moto... yule ndugu yake Balozi alikuwa ndani analia tu... si mapot wala fire waliopokea simu za Merey!