2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

Mashoga mnakaszi sana
Twende kazi Konk konk
zuwena soma hapa[emoji116]
Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
 
Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
Vipi kuhusu wewe marinda yako yalinusurika kufumuliwa na uyo Merey Balhabou mshikaji wako wa siku nyingi sana?
 
Watoto wa Balabohou wame tutesa sana na madinga yao waliokuwa wanakuja nayo shuleni pale Forest Hill daily ni kubadilishana ndinga
 
Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)

Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!

Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!

Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)

Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!

Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Naongezea , Wakati ule Mzee wa msoga na Raifikiye lowasa walipiga simu kwa Merey Balhbou kuomba msaada wa kifedha kabla jina la Muungwana halijapita , Merey aliwachijia baharini na Bahati mbaya au nzuri simu haikukata Merey akaendelea na mazungumzo upande wa pili na jamaa zake akiwaponda sana Muungwana na Nywele nyeupe

Merey alikuwa kwa sumaye na Muungwana alipofika Morogoro alipokelewa na kukirimiwa vizuri sana na Prof Ishengoma aliyekuwa Mayor wa Morogoro (2005-2010) , pamoja na mkewe Mama , Dr Christina ishengoma , now mbunge wa viti maalum mkoa wa Morogoro

Kama ni mfanyabiashara nakushauri usishadadie siasa hasa za Ccm kwenye mchakato wa kuchagua Rais ,maana ambao humjua Rais ajae nchini huwa hawafiki hata 10, ni deep deep state ,

Yaliyomkuta ,Merey ,Prof Mahalu ,Mashishanga na wengineo ndio visasi vya siasa ,

Katika kundi la mashishanga alipona Daniel ole njoolay aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza , huyu alitetewa na Lowasa sababu ya umasai wake na akatpwa kuwa RC Rukwa
 
Watoto wa Balabohou wame tutesa sana na madinga yao waliokuwa wanakuja nayo shuleni pale Forest Hill daily ni kubadilishana ndinga
Acha kabisa "... palikuwa na yule dogo anayechezea moro kids . ilikuwa ni balaa "... hivi huyo barabuu sasa hivi yuko wapi !?
 
Mkuu azam united, sio ambayo ilikuwa inaitwa mbagala market? Baada ya kununuliwa ndio ikaitwa azam FC!!!
Mbagala market ya Samatta iliuzwa kwa Zamunda ndio hii inatiwa African Lyon, Azam ilianzia chini huko mpaka kupanda daraja kama alivyoeleza mchangiaji hapo juu.
 
Acha kabisa "... palikuwa na yule dogo anayechezea moro kids . ilikuwa ni balaa "... hivi huyo barabuu sasa hivi yuko wapi !?
Nahisi atakuwa nje za nchi nackia alipoona anakaribia kufilisika kwa hujuma aliiuza kila kitu km kurudi labda awamu hii
 
Nahisi atakuwa nje za nchi nackia alipoona anakaribia kufilisika kwa hujuma aliiuza kila kitu km kurudi labda awamu hii
Aisee alivuma sana enzi zake " pia niliwahi kusikia kwamba kuna deal chafu alikuwa anazipiga na tibaigana
 
Naongezea , Wakati ule Mzee wa msoga na Raifikiye lowasa walipiga simu kwa Merey Balhbou kuomba msaada wa kifedha kabla jina la Muungwana halijapita , Merey aliwachijia baharini na Bahati mbaya au nzuri simu haikukata Merey akaendelea na mazungumzo upande wa pili na jamaa zake akiwaponda sana Muungwana na Nywele nyeupe. Merey alikuwa kwa sumaye na Muungwana alipofika Morogoro alipokelewa na kukirimiwa vizuri sana na Prof Ishengoma aliyekuwa Mayor wa Morogoro (2005-2010) , pamoja na mkewe Mama , Dr Christina ishengoma , now mbunge wa viti maalum mkoa wa Morogoro. Kama ni mfanyabiashara nakushauri usishadadie siasa hasa za Ccm kwenye mchakato wa kuchagua Rais ,maana ambao humjua Rais ajae nchini huwa hawafiki hata 10, ni deep deep state. Yaliyomkuta ,Merey ,Prof Mahalu ,Mashishanga na wengineo ndio visasi vya siasa. Katika kundi la mashishanga alipona Daniel ole njoolay aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza , huyu alitetewa na Lowasa sababu ya umasai wake na akatpwa kuwa RC Rukwa
Mkuu baro umeeleezea vizuri sana na huo ndio ukweli wa nini kilijitokeza 2005 pale Morogoro! Nakumbuka wakati Nyumba ya Merey pale Nunge karibu na JUWATA inawaka moto... yule ndugu yake Balozi alikuwa ndani analia tu... si mapot wala fire waliopokea simu za Merey!
 
Mkuu baro umeeleezea vizuri sana na huo ndio ukweli wa nini kilijitokeza 2005 pale Morogoro! Nakumbuka wakati Nyumba ya Merey pale Nunge karibu na JUWATA inawaka moto... yule ndugu yake Balozi alikuwa ndani analia tu... si mapot wala fire waliopokea simu za Merey!
Wandewa kitambo
 
Back
Top Bottom