2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

Mkuu mambo ni mengi! Kilicho mlostisha mwarabu jamaa alikuwa anapiga dili zakuwauzia mafuta waasi wa kongo akishirikiana na makamo wa ben! Baada ya kabila kustukia mchezo alimweleza ben. Ben alimwita makamo wake akamweleza uchafu wake anao fanya na pia anaipaka nchi matope. Baada ya siku chache makamo wake alifariki na misukosuko ya mwarabu ilianzia hapo.
 
Kumbe visasi ni jadi yetu wabongo
 
Huyu jamaa ana gorofa kubwa 2 pale Kihonda hivi sasa ñi hostel za SUA sasa sijui kataifishiwa au laaa !! Maan hz Si Hasa hizi hatarii
 
Uongo mtupu huu.
 

Naona watu wanataka kufufua kabuli la boss Ahmed barbuu...huyu jamaa ukitaka habar zake waulize akina dully,blue,tonya na hao waliotajwa kumpgania,jamaa aliwasaidia sana vijana kutoka kimuziki ila in_return aliitaji malipo ambayo baadhi ya wahusika waliosaidiwa hawatosahau mpaka kufa kwao.....bora kamanda Alafati ngumi jiwe aliamua kuhama nchi na kwenda south africa yalipomkuta
Huyu jamaa ni mtu wa karibub sana na jamaa mmoja maarufu sana anatangaza moja ya vipindi vya michezo pale E'efm na inasemekana ndye bibie wake wa sasa!
 
Unakumbukumbu mzazi
 
kumbe Afande Sele Yupo Sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…