2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

2001 Dudubaya(Konki) na Mr Nice walipopigana kumgombea Barbou

Ni kawaida lakini wengine wanazidisha.Huyu barabuu naskia alipigiwa simu na mkwere ama mtu wa mkwere akiombwa kuchangia juhudi sasa walipomaliza kuongea na simu akijua kuwa simu imekatika akawa anatoa maneno ya shombo towards mkwere huku simu bado ikiwa iko hewani mkwere na wenzie wakawa wanasikia anayoyaropoka kuwa anasumbuasumbua na kuwa mkwere anajidanganya hatashinda kinyang'anyiro.kwakifupi alileta dharau mingimingi.
Mkuu mambo ni mengi! Kilicho mlostisha mwarabu jamaa alikuwa anapiga dili zakuwauzia mafuta waasi wa kongo akishirikiana na makamo wa ben! Baada ya kabila kustukia mchezo alimweleza ben. Ben alimwita makamo wake akamweleza uchafu wake anao fanya na pia anaipaka nchi matope. Baada ya siku chache makamo wake alifariki na misukosuko ya mwarabu ilianzia hapo.
 
Anaitwa Merey Balhabou (ruksa kurekebisha)

Alikuwa Mmiliki wa Moro United ya akina Kaseja, Nsajigwa, Boban, Nsa Job, Katalay na wengineo!

Wakati Msoga anagombea 2005, RC Mashishanga aliwakusanya matajiri wa Morogoro na kumpa nguvu Sumaye!

Msoga alipofika Morogoro hakupata kile alichotarajia, aliambulia wafuasi wachache kwa ushawishi wa watu wake km Hassan Bantu (Fundi wa zamani wa kushona uniform za shule zote za secondary Morogoro)

Baada ya Msoga kushinda, kilichompata Balhabou ndio kile sisi watoto wa Tandika tunaita KIKICHOMPATA MAMBA NA BOKO KITAMPATA!

Balaaa juu ya balaaa! Moro United ikauzwa DSM! Nyumba yake krb na JUWATA "ikawaka" moto afu FIRE wakaenda km mashuhuda! Baadae ikaja kesi ya wizi wa USD pale Barclay's!
Kumbe visasi ni jadi yetu wabongo
 
Huyu jamaa ana gorofa kubwa 2 pale Kihonda hivi sasa ñi hostel za SUA sasa sijui kataifishiwa au laaa !! Maan hz Si Hasa hizi hatarii
 
Mkuu mambo ni mengi! Kilicho mlostisha mwarabu jamaa alikuwa anapiga dili zakuwauzia mafuta waasi wa kongo akishirikiana na makamo wa ben! Baada ya kabila kustukia mchezo alimweleza ben. Ben alimwita makamo wake akamweleza uchafu wake anao fanya na pia anaipaka nchi matope. Baada ya siku chache makamo wake alifariki na misukosuko ya mwarabu ilianzia hapo.
Uongo mtupu huu.
 
Sisi wahenga tunaukumbuka vizuri ugomvi wa mwaka 2001 wa Mr.nice na konki..dudu baya walipokuwa na ugomvi mkubwa ikitajwa walikuwa wakimgombe tajiri maarufu..barbou wa mji kasoro bahari..

Nani anaukumbuka ugomvi huu?nini ilikuwa chanzo?mwenye data atiririke.

Naona watu wanataka kufufua kabuli la boss Ahmed barbuu...huyu jamaa ukitaka habar zake waulize akina dully,blue,tonya na hao waliotajwa kumpgania,jamaa aliwasaidia sana vijana kutoka kimuziki ila in_return aliitaji malipo ambayo baadhi ya wahusika waliosaidiwa hawatosahau mpaka kufa kwao.....bora kamanda Alafati ngumi jiwe aliamua kuhama nchi na kwenda south africa yalipomkuta
Huyu jamaa ni mtu wa karibub sana na jamaa mmoja maarufu sana anatangaza moja ya vipindi vya michezo pale E'efm na inasemekana ndye bibie wake wa sasa!
 
Merey Balhabou ni mshikaji wangu wa siku nyingi sana.
Dudubaya nilifahamiana naye miaka ya 1998's akiwa anasoma ufundi pale Kilakala Morogoro njia panda ya kwenda Kichangani.
Mr Nice Mkenda naye ni rafiki yangu kupitia kwa baba yake ambaye kwenye 1996's alikuwa anaendesha grocery moja maeneo ya Sabasaba Mjini Morogoro.
SIO SIRI MEREY NJUGU ZILIKUWA ZIMEMTEMBELEASANA MIAKA YA 1995's-2005's.
Swala la Dudubaya na Nice kumgombania Merey ni la kweli maana jamaa(Merey) alikuwa anawachafua vijana wengi sema sio maarufu ila hawa wawili walifahamika sana kwamba ni mizigo ya Merey.
Unakumbukumbu mzazi
 
Naona watu wanataka kufufua kabuli la boss Ahmed barbuu...huyu jamaa ukitaka habar zake waulize akina dully,blue,tonya na hao waliotajwa kumpgania,jamaa aliwasaidia sana vijana kutoka kimuziki ila in_return aliitaji malipo ambayo baadhi ya wahusika waliosaidiwa hawatosahau mpaka kufa kwao.....bora kamanda Alafati ngumi jiwe aliamua kuhama nchi na kwenda south africa yalipomkuta
Huyu jamaa ni mtu wa karibub sana na jamaa mmoja maarufu sana anatangaza moja ya vipindi vya michezo pale E'efm na inasemekana ndye bibie wake wa sasa!
kumbe Afande Sele Yupo Sahihi
 
Back
Top Bottom