Malizia stori sasaDuuuh. Kuna nini tena man?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malizia stori sasaDuuuh. Kuna nini tena man?
Hii mbona inajulikana kitambo sana kuwa yule jamaa ndio anamiliki pande zote.Kuhusu clouds na wasafi media, yani sijui yupo dunia gani
kwamba naye anatuchezea mchezo wa Mmiliki wa matawi ya coca na pepsi! Ha ha haaa! Kang'amua mapema sana .Hii mbona inajulikana kitambo sana kuwa yule jamaa ndio anamiliki pande zote.
Hakika yupo very smaet sanakwamba naye anatuchezea mchezo wa Mmiliki wa matawi ya coca na pepsi! Ha ha haaa! Kang'amua mapema sana .
sawa mkuu nitamaliziaMalizia stori sasa
Kuna baadhi ya wazungu ni watu wabaya sana.I tell you, hapo zilihitajika billions. Halafu mzungu akupe wewe black kirahisi tuu
Ni nani tena huyo jamaa? Mbona mnagoma kutaja majina?kwamba naye anatuchezea mchezo wa Mmiliki wa matawi ya coca na pepsi! Ha ha haaa! Kang'amua mapema sana .
rejea post namba 36 ya uzi huu.Ni nani tena huyo jamaa? Mbona mnagoma kutaja majina?
kwanini mkuu?Sasa nimejua kwa nini ligi za Ulaya makipa weusi wanahesabika
Hata fulani aliwahi kusema hivyo kuwazima wapinzani wake.No research, no right to speak
Huyo fulani ndio nani?Hata fulani aliwahi kusema hivyo kuwazima wapinzani wake.
Inawezekana hata dona na sembe ni products za mtu mmoja kama Coca na Pepsi, ila tu sisi wananchi tunachezewa akili.muongo sana huyu nilijua nakula ugali wa dona kumbe sembe
Unapenda sana mafumbo kaka mkubwaHata fulani aliwahi kusema hivyo kuwazima wapinzani wake.
Rais Magufuli amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka huu kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki. Nimekihifadhi, nakitunza na nitakilinda ili nichague tena JPM.Secretary wa Vodacom Tanzania anaenda kuuza siri za kampuni yake kwa Tigo Tanzania halafu Tigo wanakataa kununua kisha wanawajulisha police.
Don't you find this strange?
Sawa...Rais Magufuli amenifanya nione kitambilisho changu cha kupigia kura mwaka huu kiwe zaidi ya hata mali ninazomiliki.
CCM oyeeeeee. Wakuu hizi maktaba alizojenga Rais Magufuli viunga vya udsm si mchezo nimejaribu kufanya Uchaguzi wa muda mfupi sioni maktaba bora kama hizi kwa bara la Africa.Hii mbona inajulikana kitambo sana kuwa yule jamaa ndio anamiliki pande zote.
Daaah hii mpya sasa.Same same mmiliki wa vyama vyote vya siasa bongo ni Tiss nyie toaneni macho tu huko buguruni.