MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Huo mwaka nilisingiziwa mimba nikaikataa. Na hiyo mimba ndo ulizaliwa wewe. Huenda sasa hivi ningekuwa na mtoto punguani π2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? πππ
Matimila mkuuπKadogo wapande zipi ππ
Sasa baba yangu nimekuwa nilikuwa nakutafuta baba πππ hatimae nimempata babaHuo mwaka nilisingiziwa mimba nikaikataa. Na hiyo mimba ndo ulizaliwa wewe. Huenda sasa hivi ningekuwa na mtoto punguani π
Unapafahamu muhewesi?Matimila mkuuπ
Una zulula siyo ππNilikuwa njuka
Uwe unaniamkia aisee dahNilikuwa form one
Ndo nakariri what is Biology....Tukaletewa somo linaitwa PHYSICS WITH CHEMISTRY wapuuzi walinifanya nije kusoma HGKUna zulula siyo ππ
Napasikiaga tu ila sijawahi fikaUnapafahamu muhewesi?
Unapenda ukubwa ww kwan tangu ukipo anza kuamkiwa umejenga gorofa ngapiUwe unaniamkia aisee dah
Nakapanya?Napasikiaga tu ila sijawahi fika
πππ kwahio ulikuwa unataka soma pcmNdo nakariri what is Biology....Tukaletewa somo linaitwa PHYSICS WITH CHEMISTRY wapuuzi walinifanya nije kusoma HGK
Hata huko pia sijafika mkuu πNakapanya?
Ukiamka asbh ukaona kidume kinatoka kifua wazi chumbani kwa mama yako huku kimevaa kanga ya mama yako basi huyo ndo baba yako hata kama unamzidi umri.Sasa baba yangu nimekuwa nilikuwa nakutafuta baba πππ hatimae nimempata baba
πππNdo nakariri what is Biology....Tukaletewa somo linaitwa PHYSICS WITH CHEMISTRY wapuuzi walinifanya nije kusoma HGK
Lengo kupiga PGM sasa ningesomaje PCGM?π€£π€£π€£πππ kwahio ulikuwa unataka soma pcm
Kwahiyo ujawai toka njee ya matimilaHata huko pia sijafika mkuu π
Kumbe wewe ni muhuni ulie zeeka πππ2006 nilitoka Bukoba baada ya kufukuzwa shule mwaka 2005 nikiwa form 3, nikapitia Kigoma kusalimia then nikaenda Tanga. Nikaanza shule tena pale Tanga mjni nikarudia form 2
Ww si umeniambia wewe ndionbaba yangu sasaUkiamka asbh ukaona kidume kinatoka kifua wazi chumbani kwa mama yako huku kimevaa kanga ya mama yako basi huyo ndo baba yako hata kama unamzidi umri.