Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mimi dogoNilikua darasa la saba LY hahaha! Aisee sasa jf kuna vituko mpaka kuna ma Dogo 2006
Wewe ni dogorasKwahiyo mimi dogo
Mzee sawa bhna na bado nakaa kwa mama nakula na kulalaWewe
Wewe ni dogoras
Unapajua Lumumba?Mzee sawa bhna na bado nakaa kwa mama nakula na kulala
Ipo wapi?Unapajua Lumumba?
Ipo DarIpo wapi?
Sema kweliIpo Dar
Vijana kama nyie wanawapa mikopo bureee
Muulize huyu jamaa Elitwege anajua hiloSema kweli
Dogo usiogope, mkopo wa bure huo hakuna Makato hapo LumumbaMimi naogopa madeni nikikopa sasaiv naenda nunua macho matatu ndio akili ilipo
Hakuna chabure hapa dar nitauponza hapanaDogo usiogope, mkopo wa bure huo hakuna Makato hapo Lumumba
Ahhahah unauwakika yupo hapaNilikuwa kijana machachari nafanya kazi kwenye kampuni mmoja hivi ya clearing and fowarding pale kurasini, Nchi ilikuwa tamu sana laki unaipata kirahis kama buku.
Nimemkumbuka Fina bint mrembo matata alikuwa anaishi pale karibu na buguruni shell, tafadhal Fina ukiona ujumbe huu njoo PM.
NINA WAJUKUUAcha basi now unakaribia kustaafu mzee?
siku hizi dunia ni kama kijiji tu kama hayupo basi siku moja anaweza kupita hapaAhhahah unauwakika yupo hapa
Sawasiku hizi dunia ni kama kijiji tu kama hayupo basi siku moja anaweza kupita hapa