2006 Ulikuwa wapi

2006 Ulikuwa wapi

Nilikuwa kijana machachari nafanya kazi kwenye kampuni mmoja hivi ya clearing and fowarding pale kurasini, Nchi ilikuwa tamu sana laki unaipata kirahis kama buku.
Nimemkumbuka Fina bint mrembo matata alikuwa anaishi pale karibu na buguruni shell, tafadhal Fina ukiona ujumbe huu njoo PM.
 
Nilikuwa kijana machachari nafanya kazi kwenye kampuni mmoja hivi ya clearing and fowarding pale kurasini, Nchi ilikuwa tamu sana laki unaipata kirahis kama buku.
Nimemkumbuka Fina bint mrembo matata alikuwa anaishi pale karibu na buguruni shell, tafadhal Fina ukiona ujumbe huu njoo PM.
Ahhahah unauwakika yupo hapa
 
Back
Top Bottom