Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Hapo ulishaaza mendea videmu vya shuleForm one
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ulishaaza mendea videmu vya shuleForm one
Duh kwahiyo tunastafu linNimeanza Kazi Enza Zaden Afrca LTD baada ya kumaliza degree yangu ya SUA
ChaliiiDarasa la kwanza
Una kadi yangu ya clinic doctor to be?😂😂Dogo muongo ww una miaka 26 unakuja kutudanganya hapa eti ulikuwa umezaaliwa duuh haya ban
Duh kumbe muhengaDarasa la sita aisee,
Ulitaman siku moja umuoe?mwaka huo ndio namtazama wema sepetu akitangazwa kuwa miss Tanzania nikiwa Kidato cha kwanza Kitangiri Secondary School, Mwanza
Tutakufikilia upat ukuu wa wilaya ata butihama au sengeremaEnzi hizo za 2006 baada ya ari mpya kasi mpya nilikuwa napambana na CCM nikiwa kama mwenezi wa chama kata Jakaya analakunipa kama pongezi 😁😁😁
Kuna watoto wengi sana humu.......mwaka huo tumekusanyika kibanda umiza Advance kuangalia Wema sepetu,Jokate,Sara Kangezi....miss Tz.....nimemiss maisha ya Boys sana2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Mimi last born ujui😂😂dah we dogo sana mm nipo sekondari hapo cha pili..teyari
Dogo mwingine huyu 😂😂😂Chekechea/vidudu
Shikamoo baba 🤣 nataka pc 3J,
wewe ni mwanangu.
nisalimie!
Ulinunua nin cha maananilikuwa nafanya kazi kwenye yadi moja hivi pale kurasini shimo la udongo, nilishika hela si mchezo laki ilikuwa kama buku kwangu.
Usitu shike masikio hapa we ni wa 1996 na ubaya zaidi kwenye threads zako nishaonaUna kadi yangu ya clinic doctor to be?😂😂
Shikamoo babuNamiliki simu yangu ya kwanza Motorola L6 chapati
Dogo mwingine huyu 😂😂😂 ila utoto raha tuludi utotoni tucheze chandimu?Std 0
Shikamoo kaka dah nilisahauSalimia wakubwa kwanza😡😡😡
Mimi nilikuwa darasa la tatu😒😒