Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Ndo maana utoto utoto..undezi ndezi haukauki humu ndani😪
2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Good mpambanajiDr at labour
Nilikua advance, enzi hizo picha za wema sepetu kavaa bikini za miss Tanzania zilikua zinabamba bafu la shule2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? [emoji23][emoji23][emoji23]
Jobless until nowDuh kipindi iko ajira zilikuwaje?
Wakat wazee wetu amtaki kutoa pasiUmenikumbusha mbali sn ndugu.
Kweli siku hazigandi.kwa wakati ule sikujua kwamba nitafika huku.tushakubali matokeo tunaachia nyie madogo sasa mpambane
Tunakula sahani moja hatutaki mazoea.Wakat wazee wetu amtaki kutoa pasi
Nilikuwa nazaliw kwwli tena 😂😂😁😁😁😬😬😬 Truth will make you free 2006 ulikuwa na miaka 10 ww sio kuzaliwa acha danganya zako
Bas siludii tena pita mianzini unywe sodaNdo uache uongo uongo wako 😁😬🚶🚶
Bibi ujamboTupo na wajukuu zetu humu
Kwahiyo unaniweka kundi gani bam dogoWe kwetu huwezi kuwa last born......we mtoto wangu...... standard seven wenzangu wanawatoto wakubwa kukuzidi mbali kabisa.....labda we wa nne
Kisa mimi au 😂😂😂Ndo maana utoto utoto..undezi ndezi haukauki humu ndani😪
Wazee wa nyetooo hao washatinga 😂😂😂Nilikua advance, enzi hizo picha za wema sepetu kavaa bikini za miss Tanzania zilikua zinabamba bafu la shule
Na unakuta unakula matusi na mjukuu 🤣Tupo na wajukuu zetu humu
Acha utani basb😂😂😂Jobless until now
😂😂😂 kwahiyo mnatak tufe njaaTunakula sahani moja hatutaki mazoea.
Mwanangu wa Pili weweKwahiyo unaniweka kundi gani bam dogo
Nakubarinsana wapambanajiKampala uganda/ Lusaka zambia
Kusaka tonge