2006 Ulikuwa wapi

2006 Ulikuwa wapi

Aisee kumbe tunatukanwa na watoto wetu kabisa humu ndani. Nimesikitika sana. 2006 watu tunatafuna mbususu na kuchezea pesa ovyo.
 
Kwa kweli. Na sasa hivi tutoto tuna knowledge vinaweza kukudhalilisha mtu mzima. Mimi ndiyo maana sitaki ligi watoto wadogo wanaweza kukutoa pumu.
Pambana na wakongwenwenzako 😂😂😂 tuachieni na sisi tufaidi mema ya nchi
 
Sawa baba. Nitafanya hivyo baba yangu
Na form four bado hujamaliza. Unless upo nje ya nchi. Tafuta muda uwe unasoma akili yako bado changa sana. Hata humu JF jaribu kutumia muda kujifunza zaidi.

Mleta mada mwenyewe sidhani kama amemaliza form four.

Jaribuni kutumia muda mwingi kujifunza zaidi. Maana humu hakuna baba wala mama.
 
Na form four bado hujamaliza. Unless upo nje ya nchi. Tafuta muda uwe unasoma akili yako bado changa sana. Hata humu JF jaribu kutumia muda kujifunza zaidi.

Mleta mada mwenyewe sidhani kama amemaliza form four.

Jaribuni kutumia muda mwingi kujifunza zaidi. Maana humu hakuna baba wala mama.
Mimi nipo Middle School, 11th Grade.
 
Na form four bado hujamaliza. Unless upo nje ya nchi. Tafuta muda uwe unasoma akili yako bado changa sana. Hata humu JF jaribu kutumia muda kujifunza zaidi.

Mleta mada mwenyewe sidhani kama amemaliza form four.

Jaribuni kutumia muda mwingi kujifunza zaidi. Maana humu hakuna baba wala mama.
😂😂😂 tujifunze nini?
 
Wazazi wangu walikuwa hata hawajuani.

Nilikuwa kwenye kende za mzee.
Kibailojia, ni Chini ya nusu yako tu ndio ilikuwa kwenye kende za huyo mzee. Ila sehemu kubwa iliobaki ambayo ni zaidi ya nusu ilikuwa kwenye nyonga ya bimkubwa wako!
 
Kibailojia, ni Chini ya nusu yako tu ndio ilikuwa kwenye kende za huyo mzee. Ila sehemu kubwa iliobaki ambayo ni zaidi ya nusu ilikuwa kwenye nyonga ya bimkubwa wako!
😂😂😂 ila watu dah mnana kauli
 
2006? Dah...topaz zishachakaza videvu, mbususu tushazila na kushikashika pesa! Kweli tupo na watoto wetu humu.
😂😂😂😂 wazee wa ovyoo hai et mbususu

Mzee mwenye busara hajisifii kula mbususu sana 😂😂😂
 
Back
Top Bottom