Jugado
JF-Expert Member
- Oct 28, 2021
- 1,446
- 3,184
38 ndo kumekucha ngoja nifike 50 kwanzaUnaenda uzeeni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
38 ndo kumekucha ngoja nifike 50 kwanzaUnaenda uzeeni
Ahahahah ukifika 50 lete hela nikutunzie38 ndo kumekucha ngoja nifike 50 kwanza
Broiler siku hizi utafikir wakubwa na midevu yetu kumbeeeeeeDogo kabisa
Vitoto vya juzi tu dahBroiler siku hizi utafikir wakubwa na midevu yetu kumbeeeeee
kazini mwaka wa 92006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Acha basi now unakaribia kustaafu mzee?kazini mwaka wa 9
DUh..!! 2006 kabla ya Juni, nilikuwa nafanya kazi KMCL (process plant). Jui nikahamia kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi.2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Hongera sana mkuu now si ushazeekaDUh..!! 2006 kabla ya Juni, nilikuwa nafanya kazi KMCL (process plant). Jui nikahamia kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi.
Ipo kadogoooform one
Wengine tuna vimiili ambavyo, ukiniona unaweza dhani nipo second year UDSMHongera sana mkuu now si ushazeeka
Darasa la sita, nawahi namba kidumu na mfagio.2006 ulikuwa wapi?
Mimi nilikuwa ndio nazaliwa wewe je? 😂😂😂
Ahahahha selfika hapa tukuoneWengine tuna vimiili ambavyo, ukiniona unaweza dhani nipo second year UDSM
CC Bantu Lady
Ahahah na ukichelewa jiandae kupigwaDarasa la sita, nawahi namba kidumu na mfagio.
Kwa kweli huzeeki kaka yangu. Kwa miaka 10 niliyokufahamu, uko vilevile since day one nilivyokuona Ngalikihinja halafu uko nje au umerudi? Nimemiss Flying Fish na kiti baridi, sema basi.Wengine tuna vimiili ambavyo, ukiniona unaweza dhani nipo second year UDSM
CC Bantu Lady
Ahahhahah mimi nazeeeka kabla ya muda wangu so?Kwa kweli huzeeki kaka yangu. Kwa miaka 10 niliyokufahamu, uko vilevile since day one nilivyokuona Ngalikihinja halafu uko nje au umerudi? Nimemiss Fyling Fish na kiti baridi, sema basi.
Aah wewe hata 30's hujagusa unaonekana uko 40's 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ahahhahah mimi nazeeeka kabla ya muda wangu so?
Dah inabidi kaka ako anipe sir sasa maana dahAah wewe hata 30's hujagusa unaonekana uko 40's 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa kweli, huyo hazeeki sijui siri yake nini. AtuambieDah inabidi kaka ako anipe sir sasa maana dah
Ngalikihinja uko wap njoo uniambie mimi dogo lako hapaKwa kweli, huyo hazeeki sijui siri yake nini. Atuambie
CC Ngalikihinja