marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,037
- 3,146
- Thread starter
- #21
Mkuu sidhani kama gari ya 2010 inakuwa imechoka kihivo kwa mazingira yetu ya ‘Kibongobongo’!. Kuna watu kibao naona wanenunua Mercedes w203 (za mwaka 2006 kushuka chini) na bado wanavimba na kutimua vumbi road. Hata BMW nyingi zinazoingia nchini kwa sasa ni za mwaka 2005-2006Najua, nilichomaanisha ni kwamba kununua Bimmer au Mercedes ambayo karibia kila kitu kimeshachoka itakuchukuwa gharama kubwa sana mpaka kuja kuiweka sawa na kuenjoy Bimmer ambapo hiyo gharama ni bora utafute gari za kawaida ( ambazo hazing majina) lkn mpya kidogo ambapo utaitumia kwa muda mrefu zaidi, kununua Mercedes au Bimmer iliyokwishachoka ni kupoteza hela na siyo clever kwani aidha utaipaki kwa kushindwa kuirepair au itakubidi utafute gari nyingine ya pembeni kama toyota ya kutumia kila siku, sasa ukijumlisha hizo stress zote ni bora ujinyime ununue gari ( siyo brand name lkn nzuri) ya miaka max 5 lkn utaishi nayo bila ya stress, …