2010 Subaru Forester - Habari ya mjini now

2010 Subaru Forester - Habari ya mjini now

gango2

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2011
Posts
1,956
Reaction score
2,274
Naona! sana upepo umeziangukia gari hizi! SUBARU FORESTER- Hizi gari nyingi ni za mwaka 2010, lakini hapa mjini now ndio zinaingia sana!
1584276001359.png


1584276036575.png


1584276075984.png


1584276109681.png


Actually kwa wale wenye plan za kununua magari recently sio mbaya sina hizi gari:

1-Engine capacity ni 2000cc - sio mbaya kwa matumizi binafsi
2- Zinatumia sana Petrol
3. Ndani pia muonekano wake sio mbaya- inaspace kubwa na inatosha
4- Speed ni balaa zimefika 240km/hr
5- Mostly ni Automatic

6- Price range ukiagiza unaweza pata from 16mil na kuendelea.
 
Unachosema ni sahihi kabisa,hizi gari zimetokea kupendwa Sana hasa Kwa DAR.
Sisi wabongo tulilogwa na Toyota ndiyo maana watu wengi wamegeukia Magari kama Subaru n.k

Hizi gari ni mbadala wa Toyota harrier, RAV4 na vanguard hata space na comfortability iko poa zaidi kuliko hizo Toyota
 
Back
Top Bottom