2012 African Cup of Nations.

Kwa kweli Zambia wanaonesha uhai wa hali ya juu......Wanashambulia
 
Kama kawa katika dk ya 8 zambia wanaonyesha the art of footbal . gonga za hapa na pale japo hazina matunda
 
Kwa kweli Zambia wanaonesha uhai wa hali ya juu......Wanashambulia

Nasikia wachambuzi wanasema on paper ivory coast msindi lakini on statistics Zambia mshindi . Mara nyingi wamekutana zambia amekwa mbabe kwa Ivory coast
 
Nasikia wachambuzi wanasema on paper ivory coast msindi lakini on statistics Zambia mshindi . Mara nyingi wamekutana zambia amekwa mbabe kwa Ivory coast
Kwa dakika hizi 15 za mwanzo Zambia wamewazidi sana CIV........Wanakaba na wanashambulia
 
Refa anaanglia majina...Drogba anadive eti Refa anasema foul!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…