2012 African Cup of Nations.

Zambia wanaonyesha kuchoka sasa, wamecheza kwa nguvu sana.
 
Safi sana Kennedy Mweene...

Kipa katulia sana huyu....


Mayuka anakosa goli la wazi kabisa........Kona
 
1993,ni machozi,leo itakuwa furaha if Zambia wins
 

....mayuka karibia anivunjishe mguu hapa kwa mdadi...dahh! what a save from kolo!
 
Mpira uishe sasa mana naona bp inanipanda! bora dkk 120-, kuliko hizi za majeruhi.
 
Safi sana Kennedy Mweene

Mpira umekwisha.....Dakika 4 zimeisha tayari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…