2014 NBA Finals...updates

2014 NBA Finals...updates

Hatupaswi kujivunia Ibaka tunapaswa kujivunia huyo wetu lakini bahati mbaya anatuangusha na yeye wala hajali hilo

Juzi nilitembelea Bahamas.....nilipofika nikaambiwa kwamba kuna IAAF World relays....nikauliza kama kuna nchi kutoka Afrika ikiwemo nchi yangu....nikaambiwa Tanzania haina wawakilishi isipokuwa wapo Kenyans, Ugandans and Ethiopians.....nikaenda kushuhudia....kwa kweli nilifurahi sana kuona Wa-Kenya wakivunja rekodi mbili za dunia......nikashangilia sana....kwa hiyo nilifanya makosa!......can you imagine Wa-Kenya (wadada) waliwazunguka wenzao na kuvunja rekodi..... Ab-Titchaz ulipata nafasi ya kuona zile rekodi?.....hebu tuwekee mapicha please!

Ibaka ni muafrika...tena jirani yetu......ni furaha kumuona anavyojituma na kutuwakilisha waafrika vilivyo Mkuu....
 
Last edited by a moderator:
Mazee Serge yupo level ingine kabisa. Si umeona mwenyewe umuhimu wake kwenye timu?

Natamani sana angecheza zile mechi mbili za mwanzo. Huenda series ingekuwa tied sasa hivi.

Ila OKC wana bahati mbaya sana. Mwaka jana wakamkosa Westbrook na mwaka huu tena Serge ndo hivyo.

Sijui extent ya injury yake ikoje lakini sidhani kama yupo 100%.

Ni kama analazimisha tu kwa vile Western conference finals. La sivyo nadhani angekaa benchi ili apone vizuri.

hapa ndio utajua kuwa hii ni team game hamna cha mvp wala nini....akikosekana westbrook issue,ibaka issue inanikumbusha miami walivyommiss bosh timu ika-struggle sana hadi aliporudi.
 
Tatizo la Thabit ni kuwa hajitumi.......dakika tatu alizopewa kucheza ile juzi.....inadhihirisha hilo....na akaishia kuchezea watu vibaya na kuwa penalised......
The thing is, the guy is not a baller. Amepewa mda wa kutosha sana NBA, lakini ameshindwa kubadilisha mchezo wake!.
 
.....halafu umeona interview ya Paul......alivyompiga dongo Lance!....."sometimes you got to watch what you saying".....maneno yake yamem-backfire.....duuh
inaonekana timu chemistry imekufa sababu ni Paul George na mapenzi bwana inaonyesha ukiwaacha Hibbert kuumia Kama ni kweli na Paul George atakuwa anajisikia guilt alichotenda na wenzake watakuwa wamemtenga kiaina vijana bwana hao ndomana hata. Lebron walimbebea mama yake team mate vijana, Spurs huoni huo utumbo Coach players wote wapo na heshima zao wanatizamana kwa Love ya heshima sio uchu haya ndio yaliharibu Lakers baada jamaa kumbebea Paul Gasol demu wake ndomana Kobe bryant Hana urafiki na vijana kwa nyumbani anamalizana nao staples arena Kobe bryant ndomana anachukiwa ukiona Hood Celebrity inamchukia mtu Kama Kobe Bryant ujue sababu wanamuona Coconut ila hawaelewi malezi ya Kobe Bryant ni tofauti jamaa European.
 
hapa ndio utajua kuwa hii ni team game hamna cha mvp wala nini....akikosekana westbrook issue,ibaka issue inanikumbusha miami walivyommiss bosh timu ika-struggle sana hadi aliporudi.
mkuu umesema kitu ambacho kila siku nakiona KD ni mtu anayependwa Hana image ya kuchukiwa Lebron anakila kitu ila Ana image ya kupendwa na kuchukiwa sasa Westbrook Ana image ya kuchukiwa ila yeye ndio anaibeba OKC Turudi kwa KD jamaa ni Pure 3pointer na umbo la urefu linamsaidia mengine ila haijafikia wengi Pasi hakuna kitu Westbrook au Ibaka hayupo KD anaanguka MVP sababu ya score tu ni good kwa 3point na ni goodplayer anachofanya KD hata Kevin Love hufanya KD kapewa MVP kwa sababu anapendwa na Lebron amebeba sana na tumpe KD Mie naona Tony Parker ndio anahaki.
 
Watanzania wengi wamejaribu mara nyingi kumshauri aweke juhudi katika kuinua kiwango cha uchezaji wake kwa kuwaajiri hata kwa mwezi au miezi miwili akina Mutombo/Olajuwon (mmoja wao wakati wa offseason ili ajifunze toka kwa hawa wakongwe) lakini wapi!!!! Waswahili hawakukosea waliposema "kwenye miti hakuna wajenzi"

Khaaaaa, kumbe ushauri nasaa anapata? basi bwana huyu dogo kwishney....yaani yeye anaona fahari kuja huku Bongo kuuza sura badala ya kujitahidi ili apate mkataba mzuri yeye anaridhika na afadhali?
 
...labda atazinduka kwenye usingizi wake before it's too late.

Khaaaaa, kumbe ushauri nasaa anapata? basi bwana huyu dogo kwishney....yaani yeye anaona fahari kuja huku Bongo kuuza sura badala ya kujitahidi ili apate mkataba mzuri yeye anaridhika na afadhali?
 
aisee leo Russell anawapelekesha Spurs hakuna mfano.....gemu ni zuri kweli kweli leo....
 
Serge Ibaka cured by God, ice, family and Keri Hilson

www.usatoday.com Published: May 26, 2014


When it didn't look like Serge Ibaka was going to make it back to the court this playoffs, It came down to a few things for the Thunder's defensive backbone.



Oklahoma City's Serge Ibaka (9) celebrates with Oklahoma City's Kevin Durant (35) as he exits the game during Game 3 of the Western Conference Finals in the NBA playoffs between the Oklahoma City Thunder and the San Antonio Spurs at Chesapeake Energy Arena in Oklahoma City, Sunday, May 25, 2014. Photo by Bryan Terry, The Oklahoman

"I believe in God, and I believe in miracles, and I believe that everything is possible," Ibaka told USA Today Sports. "When I did the MRI (on the calf), and the MRI showed us that I was really bleeding a lot, but I said, 'I just want to keep believing, man.'"

Ibaka lifted the Thunder past the Spurs 106-97 with what he called a miraculous comeback in Game 3. He credited God first and foremost following the game, and the people around him did their best to make sure Ibaka was in good spirits.

Think he was in good spirits after last night? Ibaka had 15 points, seven rebounds and four blocked shots in 30 minutes, but came out 5-of-5 shooting and resurrected the Thunder's season with his presence.

As reported by USA Today's Sam Amick, Ibaka's pop singer girlfriend, Keri Hilson, and his sister, Rachina, played a huge part behind the scenes with Ibaka.

Hilson joked about her nurse to Ibaka role on Instagram, but attributed his quick recovery from a thought-to-be season-ending injury to "God and ice."

"He's one of the most dedicated people I've ever seen in any field, one of the most dedicated people I've ever been able to witness," Hilson told USA Today. "(Rachina) was as much his nurse as I was. She cooks. I do the TLC and cook a little bit. We had to be there for him."




 
Last edited by a moderator:
Yaani gemu lilikuwa safi sana....kama kawaida Ibaka kafanya kazi inayotakiwa.....na Russell kaua!....series iko draw..2-2!
 
Sasa naamini wasemayo watu kuwa hasheem ni useless na hafai kuwa ambassador wetu katika mpira wa kikapu. Yaani mechi ya jana na ukali wote ule bishololo hakucheza wakati huku mitaani watu walipiga kelele kuwa atachezeshwa. This guys is simply pathetic. Hivi hana washauri?
 
Juzi nilitembelea Bahamas.....nilipofika nikaambiwa kwamba kuna IAAF World relays....nikauliza kama kuna nchi kutoka Afrika ikiwemo nchi yangu....nikaambiwa Tanzania haina wawakilishi isipokuwa wapo Kenyans, Ugandans and Ethiopians.....nikaenda kushuhudia....kwa kweli nilifurahi sana kuona Wa-Kenya wakivunja rekodi mbili za dunia......nikashangilia sana....kwa hiyo nilifanya makosa!......can you imagine Wa-Kenya (wadada) waliwazunguka wenzao na kuvunja rekodi..... Ab-Titchaz ulipata nafasi ya kuona zile rekodi?.....hebu tuwekee mapicha please!

Ibaka ni muafrika...tena jirani yetu......ni furaha kumuona anavyojituma na kutuwakilisha waafrika vilivyo Mkuu....

Nenda hapa... https://www.jamiiforums.com/kenyan-...ya-breaks-world-relay-records-in-bahamas.html
 
Sasa naamini wasemayo watu kuwa hasheem ni useless na hafai kuwa ambassador wetu katika mpira wa kikapu. Yaani mechi ya jana na ukali wote ule bishololo hakucheza wakati huku mitaani watu walipiga kelele kuwa atachezeshwa. This guys is simply pathetic. Hivi hana washauri?

Your words too bitter and personal, you sound a looser!
 
Hopefully they will be able to steal game 5 tomorrow in San Antonio and grab home court advantage away from the Spurs.

Yaani gemu lilikuwa safi sana....kama kawaida Ibaka kafanya kazi inayotakiwa.....na Russell kaua!....series iko draw..2-2!
 
Hivi jina la huyu Mtanzania mwenzetu.....linaandikwaje?.......Hasheem/Hashim Thabeet/Thabit......hivi bongo tuna hii kitu "Hasheem" au "Thabeet".....au?
 
Your words too bitter and personal, you sound a looser!


Bora ungeandika kwa kiswahili. Hivi unajisikiaje unavyoboronga Hasheem miaka yote Marekani hata kuandika English unashindwa? Try to assimilate usiwe unajirundika tu kwa watanzania kila wakati.
 
Pacers kam-dunda Heat leo 93-90.......LeBron scored only 7pts!!....duuuhh
 
Hashimu Thabiti
waengereza wanasema Rodney Wabrazil wanasema Rodinho Watanzania wanasema Rodini so sishangai Kama Cheti cha kuzaliwa hakisemi Hashimu Thabiti ila yeye ndio anajuwa tumuacheni dogo ajikamue tu akipata nafasi Yule Adam wa OKC jamaa last born kwenye watoto 12 kutoka Europe anajikamuwa toka aipate nafasi na ilikuwa nafasi ya Hasheem Thabeet tunamuombea bado mafanikio hatumkandamizi ila tunampenda kijana kumuona anatoka angalau na Block 2 na Point 6-8.
 
Back
Top Bottom